Umeambiwa Kagere, mbna una kurupukaa hivyooo??Punguza ujuha basi Chama ni midfielder ulitaka ashindane na toward mayele kwenye ufungaji au maneno maneno tu
Goal bora la michuano mnayo shiriki bado lipo kwetuu, muambie mayele wako na yeye afanye ili achukue km anawezaaa.Mayele kachukua kaweka waa aloo ukiangalia lile goli la pili unajikuta unajipiga kifua na kusema hakika atayeisumbua Gsm chini ya Eng Hersi Said apigwe mboko nyingi tu, jicho la skauti kwa huyu mwamba kongole kwao mwamba anatubeba sana lile goli la pili kusanya washambuliaji wote wa Simba na Nyongeza hakuna anayeweza kulifunga
All the best kwenye majukumu ya Timu ya Taifa the Leopards goli la jana kama lile alilozindulia style yake ya kutetema kwa Manula.
Chama na inonga washawahi zoa tuzo hapo TFF.
Hivi ni nani au akina nani katika hawa wanne ambaye amewahi kutangazwa either na TFF au CAF kuwa ni beki bora au kiungo bora au mshambuliaji bora wa mashindano yoyote yanayoendeshwa na vyama hivyo? [emoji16][emoji16] [emoji16]
Hiyo LV ya Kichina hapo Kariakoo kwa laki mbili unachukua. Dar hii sijaona duka lolote la kuuza LV, BV, Gucci na brands kubwa kama hizoIla wacongo na Louis Vuitton ni kama pete na kidole.Haya endeleeni kumtajirisha Bernard Arnault Tajiri number moja duniani.
Chama na inonga washawahi zoa tuzo hapo TFF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ikute wenzako wanaagiza Dubai au Paris.Kitu OG.Hiyo LV ya Kichina hapo Kariakoo kwa laki mbili unachukua. Dar hii sijaona duka lolote la kuuza LV, BV, Gucci na brands kubwa kama hizo
Hajavaa kitu original hapo, hiyo Nike sina hakika nayo ila naona ni zile za David Sportswear na CR7 Sportswear Kariakoo pale kwa 50,000 unachukua. T-shirt sio brand useme ni original Burberry London, suruali vilevile. Bongo mastaa labda wavae Dickies na Levi's.Ikute wenzako wanaagiza Dubai au Paris.Kitu OG.
Anaonekanaje kishamba?Musonda ni mshamba anaonekana kabisa.
Nami mshamba sijaona kitu hapo.View attachment 2560207
Picha inajieleza...
Sawa..Nami mshamba sijaona kitu hapo.
Umezaliwa lini hujuwa makombe gani yaliletwa na wachezaji wa zamani kweli?Wapi? Mnaleta story za abunwasi kama yule jamaa wa Azam TV siku ya jumapili anachukua muda mwingi kureeemba mambo ya zamani na kuwaita watu wa Zamani. Tuambie hiyo hao wachezaji wa Zamani mnaowasifia waliletankombe gani bongo?
Walishasema wangeweza angewaoaTuna comment ili msiendelee kupotosha vilaza wenzenu. Achilia mbali MK14 , rekodi za Bocco tu bado hajazifikia. Anajitahidi ila ni ukilaza kuandika hajawahi kutokea kama yeye kwenye ligi.