Baada ya kufanya nae mapenzi aliniachia laki moja na ujumbe unaosomeka "nimepata ninachotaka"

Pole sana mkuu ,mishe zako usingizi wa lazima jumlisha ulivyompelekea moto manzi
 
Yaan utombane naye Jumamos, kesho yake uptime UKIMWI, ukute Hauna, Uanze kufurahia Et Sina??.


Haya Ukisema alitaka umpe Mimba, Kwanza Wanawake wote wanapenda Baba wa mimba au mtoto awe karibu yake hata kama hautaleaa.

Pili, Ngono ya siku Moja, haiwezi Mfanya kua na uhakika kua Kapata anachotaka.


Sasa nakupa SAIKOLOJIA ya wenye HIV, ukishamgonga peku, yeye hapohapo anaamini keshakuambukizwa.


Falaaa wewe, Omba Mungu akuepushie Balaa !!.
 
Bora mimi nae hangaika na betting kwa ajili ya watoto wangu kesho na sio kuhangaika na nyapu

Yaani ni ungese tu
 
Mbona nimepima ni clear tu mzee tusubiri Sasa hzo three months
Understanding yako kuhusu HIV ni ndogo sana ndugu sijui tukusaidiaje. Elimu ya ukimwi bado inahitajika sana nchi hii. Huwezi kusex na mtu halafu ukaenda kupima within days eti kipimo kisome positive. Inachukua muda fulani up to 3 months, maana ni mpaka mwili utengeneze defense na kuzalisha antibodies, uwepo wa hizo proteins ndo husomaga kwenye ule mstari wa kuonesha maambukizi. Ndo maana anakushauri kimbilia dawa, kama kuna hatari huenda ukasalimika, ni heri kujaribu kuliko kuacha kabisa, huduma hizo ziko vituo vyote vya kutolea huduma za afya.
 
Wewe ni baba kijacho kwa mtoto ambaye hatakuwa wako maishani. Huenda atapewa mtoto mwanaume mwenye ukwasi. Wanawake wako kimasrahi sasa hivi
 
We did it f Lakini wataalamu wanasema kama mbususu ikiloa sana na ikitokea wote hamna michubuko muathirika na ambaye si muathirika ni ngumu kupata HIV in case kama mucus ilikua ya kutosha labda friction(bark and forth) ilete mchubuko
 
Kwahyo huna ushauri zaidi ya kuvunja moyo?
Ngono zembe na unangonoka kabla haujaoa unataka ushauri gani ndugu.

Uzembe wako mwenyewe kujitia kidume kwenye mambo yanayohitaji akili
 
Umesoma kada gani Mkuu ungekuwa kada ya afya ungeuwa wagonjwa
Ngono zembe na unangonoka kabla haujaoa unataka ushauri gani ndugu.

Uzembe wako mwenyewe kujitia kidume kwenye mambo yanayohitaji akili
 
We did it f
Lakini wataalamu wanasema kama mbususu ikiloa sana na ikitokea wote hamna michubuko muathirika na ambaye si muathirika ni ngumu kupata HIV in case kama mucus ilikua ya kutosha labda friction(bark and forth) ilete mchubuko
Hakuna sex isiyokuwa na michubuko labda uwe ilitumia condom so mwanamke pekee ndo atapata michubuko. Huhitaji kuona kidonda kujua kuna michubuko, ni micro abrasion ambazo mtu anaweza hata asihisi chochote.

Tambua HIV ni micro organism mdogo sana hata miongoni mwa micro organisms. It's just a micro particle ndiyo definition nzuri ya kumwelezea huyu mdudu. The virus can easily pass through those micro abrasions.

Ushauri, jikite kujifunza kuhusu HIV na ukimwi wewe mwenyewe badala ya kutegemea theories za watu, utajiweka kwenye safe side. Siyo kila sex na mwenye HIV inaweza kuleta maambukizi , that is true, but you can't be certain eti kwa kuangalia mlikuwa kwenye hali gani, that itself is a fallacious argument.
 
Umesoma kada gani Mkuu ungekuwa kada ya afya ungeuwa wagonjwa
Ungeenda kuomba ushauri hospitali mkuu

Ungeelekeza ushauri gani upewe.

Nimi naona tu kwamba umeyatimbanganya na sasa chagua kitovu kilazwe wapi
 
Ungeenda kuomba ushauri hospitali mkuu

Ungeelekeza ushauri gani upewe.

Nimi naona tu kwamba umeyatimbanganya na sasa chagua kitovu kilazwe wapi
Mkuu najivika maombi haitawezekana
 
ni kweli mkuu nitajaribu kupata more ideas about Infection
 
Kumbe kuna watu wana shida na mimba na hamsemi... mmenikosea sana
 
Duuh
 
Kama bado hujaitumia wape washikaji zako watakushukuru, ila kumbuka kuacha umalaya, halafu story za kuchimba migodi kuzileta jamii forum imekaaje hii

Jamii forum kwasasa limekuwa jamvi la kuongelea kuhusu ngono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…