Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Kwakweli yataibuka mengi sana kumhusu huyu Dt Shika.
Nadhan mnada wa bwana Lugumi ndio salama yake kumbe wa either kumtoa kimasomaso au kumchimbia kaburi
 
hiyo bank statement siyo ya Benk ya Tanzania na amekwambia Tanzania hana fedha na fedha zake zipo nje. Mbona watu hatufuatilii mambo kwa lengo la kuelewa?
alafu kuna watu wabishi sana, anashangaa address kuwa bx 9 moscow, hajui kwamba hata mifumo yetu baadhi tuliifuma uko,

kuna nchi zinaspesfy na codes kabisa lakin nyingine zinatumia box kawaida, alafu urusi watu ni maskini., sema serikali ndo imejikita kwenye mizinga tu na nuclear
 
kama vile ni agent wa CIA nikiunganisha dots

maana tuliambiwa/kuna uzi ulisema ubalozi wa tanzania ulimtelekeza lakini ubalozi wa marekani ulimtembelea akiwa hospitali kama sijakosea
kaka, kuna clip imo humu, kayasema mwenyewe dr. Shika, ila kapata mateso sana manake watz wanaokaa huko wanakwambia kabisa warusi ni wanyama kabisa, kukuua ni kitu cha kawaida sana kwao
 
Ndio maana ana uhakika wa kununua ile mijengo,kumbe hela iko kwenye process!atapata hela yake wamarekani wakisha kutumia kwenye mission kubwa kama hiyo lazima wakuwezeshe...
Usishangae Andrew Chenge akazizungukia hizo hela na akazipiga au ubalozi wa Marekani hapa nchini wakafuatilia kwa undani na akapewa mzingo wake

Hapa leo asubuhi akipiga mihongo...
23472970_755123898017529_1873709818116544603_n.jpg
 
Nami kwa nafasi yangu nimechambua na kukutana na hii video akihojiwa na Ayo Tv...
mnaweza kuifungua hii link na kupata chochote"maelezo" binafsi bado sijui chochote nawe angalia huenda ukapa chochote kulingana na hii thread
unaweza angalau kuhusianisha mambo hafuatayo au ukawaza yafuatayo
1.Utajiri wake wa zaidi ya 10 billions USD Kwenye account mbali mbali
2.Kampuni yake
3.Kuhusishwa na CIA
4.KGB
Na mengine utakayoweza kuyafikiria kutokana na video/mahojiano na Ayo TV.

 
Kutoka mjini Rostov on don napokaa mpaka Moscow ni mwendo mrefu kidogo ambao ni km 1200 na zaidi, kwa mwendo wa trein ni 5hrs,

Britanicca
Sorry off topic:
Kumbe Britanicca unakaa Rostov on don, sijui umeanza kuishi hapo lini, maana kuna kashemeji chako Fulani, kutoka Tanga, Tanzania, kamepiga medicine yake hapo kwa miaka 7, kiukweli nilikapenda sana, ila tatizo kwa kanda yatu ya Ziwa, kusubiri miaka 7, niliona ni mingi!.

Paskali
 
kaka, kuna clip imo humu, kayasema mwenyewe dr. Shika, ila kapata mateso sana manake watz wanaokaa huko wanakwambia kabisa marusi ni wanyama kabisa, kukuua ni kitu cha kawaida sana kwao
mimi niliyeleta uzi huu niko uku nimwaka wa tano nimepata mateso yafuatayo

1. kuna baadhi ya mitaa mpaka uombe marafiki wakusindikize, na wawe marafiki wa kizungu,
2.Kuwa na girllfriend wa kizungu au russia unakuwa umetangaza vita,
3. Mwaka juzi nilienda kanisa moja kusali yaan kanisani wakanibagua, ni kwamba pale kanisani wasioelewa kirusia wanapewa headphones za kutranslate, sasa mimi somo la kwanza nilijifunza kilugha chao bila wao kujua ili wasinisengenye, sasa nilifika kanisani pale, wakamgombeza yule demu alonipeleka eti NANI KAKWAMBIA HII NI MASS YA WAAFRIKA? AU NYANI WNATAMKA NENO обезьяна WAKIMAANISHA NYANI ukisikia BOREKGHRA jua ushaitwa nyani, NILIELEWA LAKIN YULE DADA AKAWA NA AIBU AKANIFUATA NA KUNISIHI KWAMBA HEAD SET ZA KUTAFSIRI HAZIPO WATATUPANGIA MASS YA WASIOJUA KIRUSSIA, ikabidi niondoke kwa kujifanya sijaelewa

4.kusimamisha bus hizi pertanduu hawasimami kama ni mwafrica mpaka kituoni labda awepo mzungu msimamishe kwa pamoja, naye huyo wa kituoni anasimama mbali na wewe,
5. Viwanja vya ndege hasa rostov on don na moscow mara nyingi waafrica husimamishwa kukaguliwa ndani ya msafara wanakagua wana sample waafrica tu,
6. ku book flight baadhi ya office unaambiwa imejaa wakati ukiwepo hapo hapo wengine wana book,

 
Sorry off topic:
Kumbe Britanicca unakaa Rostov on don, sijui umeanza kuishi hapo lini, maana kuna kashemeji chako Fulani, kutoka Tanga, Tanzania, kamepiga medicine yake hapo kwa miaka 7, kiukweli nilikapenda sana, ila tatizo kwa kanda yatu ya Ziwa, kusubiri miaka 7, niliona ni mingi!.

Paskali
kumbe mkurugenzi niko uku tokea enzi zile za fagilio la chuma, Bado kapo uku?
 
kaka, kuna clip imo humu, kayasema mwenyewe dr. Shika, ila kapata mateso sana manake watz wanaokaa huko wanakwambia kabisa marusi ni wanyama kabisa, kukuua ni kitu cha kawaida sana kwao
Hiyo inatokana na usalama Marekani ni adui wa Urus na, na Marekani huwatumia ma black kwenda kufanya u spy Urus, kama wew ni black na kibonge ukienda Urus ukitiliwa Mashaka unadakwa fasta na ukikaa kizembe usishangae risas ikatua kichwani.......
 
Sorry off topic:
Kumbe Britanicca unakaa Rostov on don, sijui umeanza kuishi hapo lini, maana kuna kashemeji chako Fulani, kutoka Tanga, Tanzania, kamepiga medicine yake hapo kwa miaka 7, kiukweli nilikapenda sana, ila tatizo kwa kanda yatu ya Ziwa, kusubiri miaka 7, niliona ni mingi!.

Paskali
We paskali akili yako inawaza wanawake tu sijui umelogwa.
 
Hiyo inatokana na usalama Marekani ni adui wa Urus na, na Marekani huwatumia ma black kwenda kufanya u spy Urus, kama wew ni black na kibonge ukienda Urus ukitiliwa Mashaka unadakwa fasta na ukikaa kizembe usishangae risas ikatua kichwani.......
hahaha
 
nakataa kabisa,ukiangalia hiyo website hakuna picha za ofisi,adress ya kampouni hakuna, e mail wanatumia msn wakati proffesionally ilitakiwa labda drshika@lancefortltd.ru then angalia vizuri website yao..www.lancefort.narod.ru ni free hosting sio za kulipia thats why kuna narod katikati ni kama .blogspot.com au .yola.com,website kwa mjanja akiingalia kwa macho tu changa la macho
Uki search google hawana rekodi ya kueleweka no results kabisa,kampuni moja inafanya shughuli kama 40,kuanzia fertilisers,petroleum,pharmaceutical hakuna hata picha za ma executives,mnadanganyika sababu kuna website tena ya free hosting?
CIA,FBI watengeneze bogus company in a foreign soil ambayo ina deal hadi na gesi na petrol?they must be crazy,CIA,FBI wakitaka info nzuri za nchi kama Russia huwa wanatumia wan KGB wa kulekule ndani(MOLES)refer story ya OLEG KALUGIN
nakataaa nakataaaa nakataaaaa ,mtoa mada hata kama kaeleza alichoambiwa simply ni kwamba mzee LUNYALULA KIDOLA aliwanywesha chai ya moto wabongo wa huko ku explain issue yake ya kukatwa vidole na kupoteza meno aka acome up with a fascinating story. NOOOOO
wanaweza wakatengeneza si wako katika upelelezi
 
Back
Top Bottom