Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

napenda sana unavojibu kistaarabu.........lakini tatzo ni kwamba mleta mada yupo urusi na anadai hzo info anazichukua direct kutoka kwa watu waliomfaham DR. lakini wew unampinga kwa ushahidi wa kichwa chako tu kinavopiga mahesabu juu ya tukio hili.......!!!

Mi nadhani kwa kuwa na ww upo urusi....basi tafuta info za ukweli zaid kuhusu Dr shika....mana ni mtanzania mwenzako ambae tunaamini kabisa alipatwa na matatizo makubwa huko ambayo yame athiri maisha yake kwa ujumla...........na kisha utuletee taarifa hapa ili tuweze sasa kuiona hoja yako juu ya huyu mzee wetu.
Mkuu ebu fikiria tu...
Kwanza kabisa huwezi thibitisha kuwa mleta mada yuko Urussi.
Na ndiyo maana nimekwambia hata hizo picha kazitoa internet wakati anakwambia kafika eneo la tukio lakini hata kupiga picha kashindwa.
Pili kwa sasa matukio makubwa, tuachane na dr shika walau basi hata huyo mtu anayedai anaitwa Falz Kurbashnov hana hata reference ya source yoyote juu ya kesi yake ya ugaidi? (Haikushangazi?)
Wakati Dr shika tukio tu la kusema 900 itapendeza now ukimgoogle utapata references za kutosha juu yake ije kuwa mtu ambaye anatuhumiwa kwa ugaidi tena kafungwa Marekani?
Na mwisho hiyo picha aliyoweka siyo ya huyo mtu ni ya mtu mwingine kabisa.
Unfortunately ninatumia browser ila ningekuwa natumia application nitaupload screenshot za kila kitu.
Anybody can say anything ni jukumu lako kuhakiki ukweli juu ya taarifa hizo.
Namkumbuka the Bold nilikuwa nikisoma story zake naenda kutafta wahusika na sikuwahi kukosa references zao najihabarisha zaidi.
 
Mkuu risk na gharama unazopata jamii forum inatakiwa ikutetee iwapo mtu akachukua hii habari na kuipublish ktk aina yoyote ile
 
mi ni mjanga , sigusi wanawake wao, nawagusa kwa kuiba, sigusi hela yao na hawajui hela yangu basi, na sichangii mjadala wa kisiasa au melngo wa ubepari na ujamaa , niko kimya
Zingatia msemo wetu wa "mwinda huwindwa". Uwe mwangalifu zaidi na watu wanaotaka urafiki na wewe, wanaokusifia sifia wanaojua mambo mengi karibu sawa na ujuwavyo wewe, Ushushushu Russia na hasa Moscow ndio wenyewe, ukiwashinda kote wanaweza kutafutia kesi. Uwe mwangalifu sana sana katika utafiti wako.

BTW: Part 2 ya sakata la Dr Shika ni kuipata hela yake, benki inaweza kutekeleza maagizo yote ya mwenye account lakini ikaja kuzuiliwa na benki kuu. Kiasi kikubwa cha pesa namna hiyo hawatakubali kihamishwe hivi hivi. Tujikumbushe tu kuwa Rais Wladmir Putin jicho lake moja liko kwenye makampuni yaliyoanzishwa kama alivyofanya Dr Shika. Mfano mzuri ni yaliyompata Chodorkowski, yuko uhamishoni hadi leo.
 
data=orKSWL4KZL9Lt-aWwqBmbTjFlCQzX6XZ2MO6-7bloGP88rwsPy1liMb-G2fow6QCueO3kiyzAGIN8k0q_492GyIhYluRUtf_ANpxYsDUlZ1laKwelypT8d6kiqt5v9Plc8wSc6fmzkafmX8W5la20IMZi8w4q4N3z1VHr3kEZZ7dhhTZE1aeOSF8lQyhx4nsKzNn85snYfopdCkghiKmJVAyV2IyI8vTAUYbwXqnzT5ietMz9dh2aKKF7OWiyxIzmiboL7ZwWHuojITe7Ojt

Ракеты из России, где находится доктор Шика
Rakety iz Rossii, gde nakhoditsya doktor Shika


1*dw07PHlyqJKOQI7xs7SNKQ.gif



900 ITAPENDEZZA SANA
 
Sasa hapo ndipo penye utata..
Kwa maelezo yenu shika aliwahi kuwa mmiliki wa kampuni kubwa yenye private jets, assett n.k.
Hivi ni kampuni gani iliwahi kuwa kubwa ambayo zaidi ya tovuti mfu hakuna reference nyingine ya habari yake?
Watu wanaodai kuwa walikuwa wapambe/wenzake wake according na mleta thread wengine walikamatwa kwa makosa ya ugaidi.. hiyo ni story ya kukamatwa kwa kosa la ugaidi ukafungwa miaka 20, lazima huyo mtu habari zake ziwepo mtandaoni.
Yani there is no way kwa haya matukio na uwezo tunaoaminishwa wa hawa watu kusiwepo references zao.
Mimi ukinikosa kawaida sina tukio lolote kubwa lakini leo hii nikamatwe kwa kosa la ugaidi, references zangu zitakuwa kila mahali nimekupa mfano wa yule kijana mzenj aliyekamatwa kwa ugaidi akapelekwa Marekani ambapo mama yake mpaka leo analia hajui mwanae nini kinaendelea.
Sikatai kuwa Dr aliwahi ishi Urusi, lakini kuna mambo mengi yameongezwa chumvi..
Usiongee kama bata, lete ushahidi unayoongea, Kumbuka Marekani na Urusi ni mahasimu, huyo aliefungwa kwa tuhuma unazodai za ugaidi jua huenda hazina ukweli ndio maana huzikuti Google. Halafu elewa Russia ni nchi ya kijamaa.

Sifa mojawapo ya nchi za kijamaa ni kumuhukumu mtu hata kwa kitu ambacho si cha kweli yaani wanatumia ushahidi wa dhahania
 
Safi sana kwa mada nzuri hivi kumbe dr.shika aliyokuwa anasema ni kweli?
 
Usiongee kama bata, lete ushahidi unayoongea, Kumbuka Marekani na Urusi ni mahasimu, huyo aliefungwa kwa tuhuma unazodai za ugaidi jua huenda hazina ukweli ndio maana huzikuti Google. Halafu elewa Russia ni nchi ya kijamaa.

Sifa mojawapo ya nchi za kijamaa ni kumuhukumu mtu hata kwa kitu ambacho si cha kweli yaani wanatumia ushahidi wa dhahania
Hivi umesoma alichopost hata ukaelewa?
Tena kama hizo tuhuma zitakuwa hazina ukweli ndipo habari zake zinabidi ziwe nyingi mtandaoni maana mashirika ya kutetea haki za binadamu yangepiga kelele.
Halafu kama umemsoma mleta mada kasema Marekani wali demand akafungwe kwao.
Anyway neno langu siyo sheria...
 
Back
Top Bottom