Na huyo kwenye avatar ndio wewe? Kweli unastahili kufanya yote hayo 😆 jf nomaNilifikisha miaka 30 nikiwa tayari nimejenga mjini nyumba za wapangaji tano na za kuishi na wazazi wangu 2 na nimenunua viwanja ambavyo sikuwa nimejenga 3 ila sikuwa na mke wala mtoto
Yote maisha tu chief.Zamani ulikua unamshangaa mtu mwenye miaka 30 bado anakaa kwao leo mtu huyo ni wewe siyo poa wanangu
Na hayo ni nusu tu ya yale niliyojaliwa au kufanya chini ya miaka 30. Ila baada ya kuingia kwenye miaka 40 na kuwa na familia na mambo kuongezeka ni kama nakula matunda niliyowekeza nikiwa under 30. Hakuna mapya nayo kimbizana nayo kuniletea maendeleo mapyaNa huyo kwenye avatar ndio wewe? Kweli unastahili kufanya yote hayo [emoji38] jf noma
Sio tatizo vipi lakini unalishape hivi mtindiz kifuani haswaa nyuma baada ya mgongo umeumuka jeupejeupe hiviSielewi hata imefikaje 3rd floor, bado najiona akili ile ile ndogo[emoji2960], zamani nilikua nashangaa mishangazi 30s aisee now mimi ndiye shangazi wa mtaa lol[emoji1787][emoji28]
Zaidi ya kuota manyoya kwenye kwapa sijaona kingineNimebakisha miaka 4 kuingia 30.
Zamani tunakuwa tuliona miaka 30 ni mingi Sana ila sio kweli but it's just a stepping stone ni Mwanzo wa kuyaelekea Mafanikio Makubwa.
Jambo ambalo nimeona miaka 30 kwa TANZANIA Africa ndo Muda sahihi wa kujifanyia Self-Evaluation tathimini binafsi kwa kuangalia wapi ulikuwa wapi upo na wapi unahitaji ufike.
Pia katika miaka 30 unabidi kuwa una strong self-Image uwe unajitazama Kuanzia ndani yako kwa picha yenye ubora na ukubwa na hii itakupelekea kuwa na self-esteem kujikubali, na unapoanza kujikubali maana yake hautaendeshwa na nguvu kubwa kutoka nje ikiwemo kuzama katika Addiction (Uraibu) wowote Kama Pombe,wanawake, bangi n.k
Maana chanzo Cha Addiction ni kukosa kujiamini Kuanzia ndani yako hivyo unatafuta Nguvu kutoka nje ili ipate kukusaidia kukupa furaha ya Muda mfupi short pleasure, Aliyakuwa furaha huwa ipo ndani yako.
Mwisho miaka 30 itapendeza ikukute ukiwa tayari upo na ule uimara wa ndani wa kutokubali sauti kutoka nje yako kukuambia kuwa hauwezi au hauna thamani au kuchukuliwa poa.
Vijana wengi bado tunasumbuliwa na kitu kinaitwa Limp limp ni kutokuwa na uimara wa ndani hivyo tunabidi kuwa na Uelewa mzuri kuhusu limp maana ukiwa hauna uimara wa ndani utaogopa kujaribu fursa mbalimbali kwa kuamini hizo fursa zipo kwa ajili ya watu fulani .
Aging is inevitable live ur life Enjoy and cherish every single moment
Ukiwa na hilo lishape ndiyo linazuia kuingia 3rd floor ama? Kama mgongo haujaumuka inakuaje? Kama ni jeusijeusi hivi unakua siyo mtu?Sio tatizo vipi lakini unalishape hivi mtindiz kifuani haswaa nyuma baada ya mgongo umeumuka jeupejeupe hivi
[emoji23][emoji23][emoji23]Zamani ulikua unamshangaa mtu mwenye miaka 30 bado anakaa kwao leo mtu huyo ni wewe siyo poa wanangu
Ulipokuwa mdogo ulisema unataka kuwa daktari 🤣🤣🤣 imekuwaje tena?Tulipokuwa wadogo nakumbuka sisi ndio tulikuwa the future,...ila sasa 30+ na bado haujaona hiyo future!!
Kuna kuwahi kujipata ukiwa bado youngster ila ni rahisi kuanguka tofauti na mtu anayejipata akiwa kwenye 30s. Utoto huwa unaangusha wengi waliotoka mapema.Maisha ni tofauti na unavyofikiria binafsi nilijapata nikiwa na miaka 27 nilijipata haswa ila mambo yakaja kuharibika nikiwa na miaka 34.
Sasa hivi nipo 40+ mambo yapo vizuri ila sio kama nilivyokuwa nina miaka 27.
Mtoto mzuri karibu 3rd decade 😀Ukiwa na hilo lishape ndiyo linazuia kuingia 3rd floor ama? Kama mgongo haujaumuka inakuaje? Kama ni jeusijeusi hivi unakua siyo mtu?
Thank you nimeshakaribia😀 wanaita majuma 3 pia😀Mtoto mzuri karibu 3rd decade 😀
Sahizi uache mapozi sasa wawekezaji tukija utupokee legeza masharti 🤣Thank you nimeshakaribia😀 wanaita majuma 3 pia😀
Mwakani 2024 july , ndiyo nagonga napanda ghorofa ya 30 ,yaaani sina direction yoyote bali nipo najaribu mishe za udalali wa bidhaa za mbao......sijui ntatoboa ????!! Maana hata mdada wa uhakika , wa kummwagia. Shahawa zangu sina yaaaani dahhhh hata sielewiiiiii
Sahivi hamna masharti kabisa, gazeti lishakua la jioni hili haliuziki😀😀Sahizi uache mapozi sasa wawekezaji tukija utupokee legeza masharti 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sawa tutaangalia namna ya kufanyaSahivi hamna masharti kabisa, gazeti lishakua la jioni hili haliuziki😀😀
Unanicheka eeh 😀😀🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sawa tutaangalia namna ya kufanya