Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndo?

Humu ndani siku hizi kila mtu anaulizia kuhusu jambo la mtu fulani, kwani ukisema ni wewe kuna shida gani mkuu?
 
Tatepa...

 
Na umwambie pia asipo mto....mber huyo mwanamke atamdharau na atawapelekea wanaume wengine wamfilimbize
Mke wake ni bikra sasa akinanlii na wengine si atajulikana? Alafu jamaa anasema kuhusu kugongewa mke hana shida kikubwa mke awe na heshima ndani ya nyumba
 
Ni bikra, unatoa ushauri gani
Well kama ni bikira pangeni pamoja mpango wenu wa uzazi km mnatarajia mpate mtoto wakati gani.mkielewana mpende mwenzio kwa maarifa na kufanya faragha angalau mara mbili kwa wiki ili msichokane.Kumbuka maana ya ndoa siyo faragha pekee ni kujenga familia familia ktk jamii inayomwogopa Mungu
 
Tomato sauce?toka mwaka 90 hamna bikra ushahidi upo.
Hamna bikra toka mwaka 90.
Naongea kama mkufunzi wa mbunye zote duniani.
Jamaa aliyuita washkaji zake tukae da kuthibitisha ni kweli demu bikra
 
Ni ibada lazima wedding night io ndo inakamilisha agano
 
Hivi anajua kuwa ndoa bila tendo la ndoa ni batili? Baada ya Marriage consummation ndio ndoa inaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…