Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
- Thread starter
-
- #81
Unashauri wafanye tendo siku ngapi baada ya ndoa? Maana jamaa anasema anaona aibu kufanya tendoWell kama ni bikira pangeni pamoja mpango wenu wa uzazi km mnatarajia mpate mtoto wakati gani.mkielewana mpende mwenzio kwa maarifa na kufanya faragha angalau mara mbili kwa wiki ili msichokane.Kumbuka maana ya ndoa siyo faragha pekee ni kujenga familia familia ktk jamii inayomwogopa Mungu
Mke wake ni bikra sasa akinanlii na wengine si atajulikana? Alafu jamaa anasema kuhusu kugongewa mke hana shida kikubwa mke awe na heshima ndani ya nyumba
Jamaa anaona aibu kufanya tendoHivi anajua kuwa ndoa bila tendo la ndoa ni batili? Baada ya Marriage consummation ndio ndoa inaanza
Mwanamke ni bikra anaogopaNi ibada lazima wedding night io ndo inakamilisha agano
Nitakutafutia ila subiri wafunge kwanza ndoaNipe namba ya mkewe nikamfundishe jinsi ya kumuondoa aibu mumewe๐คฃ๐คฃ
Nitakutafutia ila subiri wafunge kwanza ndoaNipe namba ya mkewe nikamfundishe jinsi ya kumuondoa aibu mumewe๐คฃ๐คฃ
Hamna bikra toka mwaka 90.na sijui mmezaliwa liniJamaa aliyuita washkaji zake tukae da kuthibitisha ni kweli demu bikra
Habari, nimekuja kuwauliza kwa niaba ya rafiki yangu ambae kesho anafungana ndoa ila kichwani anawaza sana akae siku ngapi baada ya kufunga ndoa ndipo afanye tendo na mke wake? Nimemwambia afanye tendo usiku wa ndoa yeye akasema anaogopa mke wake akamuwazia vibaya kwamba alimuoa kwa tamaa za kimwili na kwamba ni malaya.
Mpenzi ushauri jamaa
N. B MIKI NI KATAA NDOA
auwashe moto kikamilifuAsante, je baada ya hizo siku anashauriwa afanyaje?
Jamaa anaona aibu kufanya tendoauwashe moto kikamilifu
Jamaa anaona aibu kufanya tendoauwashe moto kikamilifu
๐๐๐Sawa blo, kwahiyo aoe au? Maana anasema yeye tendo sio kipaumbele chake
Jamaa anaona aibu kufanya tendoauwashe moto kikamilifu
Jamaa anaona aibu kufanya tendoauwashe moto kikamilifu
Jamaa anaona aibu kufanya tendoAnaogopa kumuonesha nini ๐
๐๐๐Wote wajinga tu,. Huyo jamaa yako, mke wake mtarajiwa na wewe waliyekutuma uulize akili zenu zinafanana๐ฎ