Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #21
Simjibu tenaHata kumjibu tu ulikosea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simjibu tenaHata kumjibu tu ulikosea
Weka hapa elimu yako na mimi niweke yangu tulinganishe. Hujui hata matumizi ya neno halafu unakurupuka kukosoa!Huna hadhi ya kujibishana na Mimi wewe hata sekunde moja. I am done with you
MATUSI NI SERA ZA CCMKama kuna mambo yanakera na kuumiza ni kumuita mwanamke Malaya! Ndugu zetu wa CCM baada ya kuzidiwa points wameamua kuhamia kwenye matusi...
Ccm walisema hawataki kampeni za matusi,wao wenyewe ni ma al-watan.Hivi hajui anaweza shitakiwa!? .mibaba mingine jamani .
Kama huyui mwite mzazi wako hivyoKwani neno malaya matumizi yake ni yapi?
Lakini kamtaja mwanamke mmoja sio woteHapo kamtusi mpaka mama yake mzazi
Hivi handsome kiswahili si Mwanaume mrembo !Huyo mwakilishi wa CCM amekosea na chama kitamuwajibisha kwa hilo kama hicho alichokisema kitakosa utetezi. Maana shida ipo kwenye upatikanaji wa wagombea ubunge chadema
Siasa buana... dada yangu kule kawe nae kamwita baba mchungaji mrembo, sijui sheria inasemaje pale
NEC na police wamchukulie hatua kwa siasa za matusiHapo kamtusi mpaka mama yake mzazi
mpaka binti zake wa kike anaojinafikisha kuwapenda sana.Hapo kamtusi mpaka mama yake mzazi
Weka hapa elimu yako na mimi niweke yangu tulinganishe. Hujui hata matumizi ya neno halafu unakurupuka kukosoa!
Kamuulize Ngicho.Kwani neno malaya matumizi yake ni yapi?
Kwahiyo hoja unayojenga hapa ni kwamba mama yako siyo mwanamke? Ccm itaizika hii nchi kabisa [emoji23][emoji23]. Kazi kweli kweli.Mama yangu hakuwana sifa ya malaya Pia usisahau na mama yako kama naye anajiuza.
Najua sana maana yake, hilo swali nilimuuliza mlalamikaji kutoksna na malalamiko yake ambayo hayana mantiki.Kama huyui mwite mzazi wako hivyo
Neno malaya halitumiki kwa kila mwanamke. Chukua kamusi ya Kiswahili usome tafsiri yake. Ningeweza kukutafsiria maana yake lakuni kwa kuwa mashabiki wengi wa upinzani ni wavivu wa kutafiti ndio maana nakuambia tafuta usome. kamusiKwahiyo hoja unayojenga hapa ni kwamba mama yako siyo mwanamke? Ccm itaizika hii nchi kabisa [emoji23][emoji23]. Kazi kweli kweli.
Kama tume inge kuwa huru hili tusi lilitosha kumuengua mgombea wa CcmKama kuna mambo yanakera na kuumiza ni kumuita mwanamke Malaya! Ndugu zetu wa CCM baada ya kuzidiwa points wameamua kuhamia kwenye matusi.
Huyu ni Mwakilishi wa CCM ngazi ya Wilaya huko Tarime akimuita Esther Matiko kama Malaya, kwakua huyu ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya tunaamini anachoongea ndio msimamo wa CCM Taifa kuwa CCM siku hizi wanawachukulia wanawake kama Malaya...
Siasa buana... dada yangu kule kawe nae kamwita baba mchungaji mrembo, sijui sheria inasemaje pale