Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kama ni hivyo..waliokuwepo wakisikiliza ni wanawake na wanaume, why mgeneralize wanawake wote wametukanwa?Mtu akija mbele zako kisha akaanza kumtukana mtu ambaye hayupo eneo la tukio, kimsingi anakutukana wewe unayemsikiliza.
Matusi sio ujumbe hivyo hayawezi kutumwa, mtu akikupa matusi umpelekee mwingine anakuwa kakutukana wewe.