Uchaguzi 2020 Baada ya kuishiwa pumzi, CCM wawaita Wanawake ni Malaya

Uchaguzi 2020 Baada ya kuishiwa pumzi, CCM wawaita Wanawake ni Malaya

Mimi ni mwanaume, lakini siwezi kumbeza mwanamke kwa hali yake yoyote ile. Hata mwanamke anayeitwa malaya ni mama. Na hataacha kuwa mama hata kama ni mwendawazimu. Umewahi kumwona mwanamke hata ambaye akili yake siyo timamu ameukumbatia mdoli wake? Unapata ujumbe gani? Watu waache kuwabeza wanawake, ni wazazi wetu. Kama humpendi mwanamke fulani sema humpendi lakini hiyo labeling haikubaliki kwa jamii iliyostaarabika.
Na wengine humu hata hawajui mamazao walitoa wapi ada ziliwapa ujuzi hta wa kuingia Jf!
 
Aliyeitwa Malaya ni Mbunge wa Tarime mjini na siyo wanawake wote.
 
Mimi ni mwanaume, lakini siwezi kumbeza mwanamke kwa hali yake yoyote ile. Hata mwanamke anayeitwa malaya ni mama. Na hataacha kuwa mama hata kama ni mwendawazimu. Umewahi kumwona mwanamke hata ambaye akili yake siyo timamu ameukumbatia mdoli wake? Unapata ujumbe gani? Watu waache kuwabeza wanawake, ni wazazi wetu. Kama humpendi mwanamke fulani sema humpendi lakini hiyo labeling haikubaliki kwa jamii iliyostaarabika.
Shida inaanziaga kwetu mkuu.angalia wanawake tumeona ni Kama Jambo la kawaidaaa..yaan mwanamke mwenzako anadhalilishwa wewe unasema hayakuhusu...shida ndo iko hapa!hata hii comment yako wengi wanawake hawatailewa..unahangaika tu. Na vilaza vya ccm
 
Kamasema Esther Matiko ndo malaya siyo wanawake wote, acha tabia za Kisambaa akitukanwa mmoja anawaambia wenzie wote kwamba wametukanwa
Katukanwa au kaambiwa!?...hivi ikatokea Mwanaume wa Kitanzania akaolewa na shoga mwenzie katika nchi zinazoruhusu ndoa ya jinsia moja, tunakuwa tumeolewa wanaume wa Tanzania wote?.. au JayDee alituita wanaume wa Tanzania wote ni wanaume Suruali?.. au unadhani Malaya ana limit ya KAZI gani afanye?... Ukisikia vikao vya Bunge vikianza Malaya wanajazana Dodoma unadhani wanawaongelea wa mtaani tuu?!...
 
Mimi ni mwanaume, lakini siwezi kumbeza mwanamke kwa hali yake yoyote ile. Hata mwanamke anayeitwa malaya ni mama. Na hataacha kuwa mama hata kama ni mwendawazimu. Umewahi kumwona mwanamke hata ambaye akili yake siyo timamu ameukumbatia mdoli wake? Unapata ujumbe gani? Watu waache kuwabeza wanawake, ni wazazi wetu. Kama humpendi mwanamke fulani sema humpendi lakini hiyo labeling haikubaliki kwa jamii iliyostaarabika.
Point yetu hapa ni kwamba, kamanda Sirro alisema watu wafanye siasa za kistaarabu, sasa hawa ccm wanapotoa matusi Sirro anakuwa wapi ?, tanafahamu kwamba uongozi wa ccm hawawezi kuemea kauli hizo za matusi
 
Shida inaanziaga kwetu mkuu.angalia wanawake tumeona ni Kama Jambo la kawaidaaa..yaan mwanamke mwenzako anadhalilishwa wewe unasema hayakuhusu...shida ndo iko hapa!hata hii comment yako wengi wanawake hawatailewa..unahangaika tu. Na vilaza vya ccm
Umesema kweli tupu kabisa. Thanks, you nailed it
 
Tusubiri aseme hivyo.
Kweli kakosea kumtukana ila matusi yanamuhusu aliyetukanwa na sio wanawake wote.
soma hii
1598943891359.png
 
Tusubiri aseme hivyo.
Kweli kakosea kumtukana ila matusi yanamuhusu aliyetukanwa na sio wanawake wote.
Oya siku mwanangu wa kike anatukanwa hutaumia kisa hujamzaa?
Basi kweli kila mtu na uelewa wake....mie mwanao nikiona katukanwa na nipo aisee utanikuta mkoa hosp
 
Ester matiko Ana mumewe na bado anazaa na Salum Mwalimu watoto Sasa wawili, unafahamu Hilo?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mkuu bila kujali ulichosema ni kweli ama laa, una uhakika huyo unayemuita baba yako ndiye? Na je una uhakika mama yako hajawahi kuchepuka/kuzaa nje?

Nadhani tungeachana na personal issues, ukianza kupekua mama za watu kuna watu wana taarifa za mama yako pia.
 
Katukanwa au kaambiwa!?...hivi ikatokea Mwanaume wa Kitanzania akaolewa na shoga mwenzie katika nchi zinazoruhusu ndoa ya jinsia moja, tunakuwa tumeolewa wanaume wa Tanzania wote?.. au JayDee alituita wanaume wa Tanzania wote ni wanaume Suruali?.. au unadhani Malaya ana limit ya KAZI gani afanye?... Ukisikia vikao vya Bunge vikianza Malaya wanajazana Dodoma unadhani wanawaongelea wa mtaani tuu?!...
Pointi yako hapo ni ipi?
 
Oya siku mwanangu wa kike anatukanwa hutaumia kisa hujamzaa?
Basi kweli kila mtu na uelewa wake....mie mwanao nikiona katukanwa na nipo aisee utanikuta mkoa hosp
Best hujanielewa.
Watu wanavyojumuisha wanawake wote wametukanwa ndo nashangaa, why akitukanwa mwanaume hamjumuishi wababa wote?
Kitendo cha kumtukana mtu yoyote hasa hadharani haipendezi.
 
Back
Top Bottom