Uchaguzi 2020 Baada ya kuishiwa pumzi, CCM wawaita Wanawake ni Malaya

Uchaguzi 2020 Baada ya kuishiwa pumzi, CCM wawaita Wanawake ni Malaya

Mnawaza yasiyokuwepo .
Mimi hapa sitetei huyo aliyetukana bali nashangaa atukanwe mwanamke mmoja wajumuishwe wanawake wote wametukanwa. haipo hiyo
Tufanye nimeshindwa, maisha yaendeleee
 
Ester matiko Ana mumewe na bado anazaa na Salum Mwalimu watoto Sasa wawili, unafahamu Hilo?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kama hilo limethibitika na Ester amelikubali basi hakuna wa kupingua, vinginevyo ester atafute haki yake kupitia mawakili wasomi
Ila si angeachana na huyo mume abaki na Salum tuu. Au mitala siku hizi iko kwenye mrengo wa haki sawa kwa wote mwanaume na mwanamke!?
 
Kama kuna mambo yanakera na kuumiza ni kumuita mwanamke Malaya! Ndugu zetu wa CCM baada ya kuzidiwa points wameamua kuhamia kwenye matusi...
Hayo maneno aliyazungumza ukamrekodi au umeandika wewe mwenyewe na ku post?
Weka clip ya hayo maneno kama sio umbea.
 
Naona ghafla umeshajua matumizi ya neno malaya. Shithole mkubwa.
Wewe IQ yako ni ndogo sana hukupaswa kuchangia hoja. Nilipouliza sio kwamba sijui masna ya neno malaya nilitaka huyo ambayel analalamika atoe tafsiri ya hilo neno maana niliishaona upeo wake ni mdogo kama wako.

Sio lazima uchangie kila hoja.
 
Labda baada ya kuona Matiko ameolewa na huku watoto wawili alionao kazaa na Salum Mwalim na mume haongei kitu.
 
Unajuaje kama mama yako alikua hajiuzi,au ulikua unamlinda kila mahali?.Au mkuki kwa nguruwe kwako mchungu?.Acha kutetea mambo ambayo unajua dhahiri yakielekezwa kwako huna kifua chakuyavumilia.
Kama mama yako alikuwa anajiuza usigeneralise kuwa kila mwanamke anajiuza. Mama yako alikukuza kwa umalaya wengine tumekuzwa kwa kipato halali.
 
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha,mbona yule mwingine alimuita mtu mzima baba wa familia yani mwanaume mzima na madevu yake "mrembo" na hajaja kulialia mitandaoni?
 
Nena ukamuite hilo jina mama yako ndio utaelewa matumizi yake
Humu JF mashabiki wengi hata elimu ya kiwango chekechea hawana. Unashindwa kuelewa hata maana maneno katika sentensi moja tu!
 
Unaogopa nini kuweka hiyo elimu yake . Kukusaidia tu mimi ni muajiliwa sio wewe unayeota ndoto za alinacha.

hehehheheee le mbebez ..kwamba wewe "MUAJILIWA"? NANI "KAKUAJILI PUNGUWAN WEWE🤣🤣🤣🤣"AJILA" HOYYYEEEEE!.

kifupi mfate pm akupe walau tuition ya kuandika ujue sarufi na silabi😀mbaaafu
 
Back
Top Bottom