Uchaguzi 2020 Baada ya kuishiwa pumzi, CCM wawaita Wanawake ni Malaya

Uchaguzi 2020 Baada ya kuishiwa pumzi, CCM wawaita Wanawake ni Malaya

M/kiti amesema Mwanamke yule Malaya siyo wanawake! Kiswahili kinawapa shida sana wanasaccos.
Kwahiyo wewe ndiye unayeelewa Kiswahili zaidi? Umejaza tu kamasi kwenye fuvu lako hilo. "Mwanamke yule" kwani amemtaja jina? Kama hajamtaja jina, unajua anaweza kuwa hata mama yako wewe, maana naye ni mwanamke, siyo? Ushabiki huu unaokupofusha kutoyaona mambo kwa picha kubwa haukusaidii kitu chochote zaidi ya kuukomaza upumbavu wako. Saccos imetoka wapi tena kwenye huu mjadala? Mtu yeyote anayeukataa ujinga ni mwanachama wa chadema? Kwahiyo na wewe unategemewa na hicho chama chako kwamba unakipambania? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo wewe ndiye unayeelewa Kiswahili zaidi? Umejaza tu kamasi kwenye fuvu lako hilo. "Mwanamke yule" kwani amemtaja jina? Kama hajamtaja jina, unajua anaweza kuwa hata mama yako wewe, maana naye ni mwanamke, siyo? Ushabiki huu unaokupofusha kutoyaona mambo kwa picha kubwa haukusaidii kitu chochote zaidi ya kuukomaza upumbavu wako. Saccos imetoka wapi tena kwenye huu mjadala? Mtu yeyote anayeukataa ujinga ni mwanachama wa chadema? Kwahiyo na wewe unategemewa na hicho chama chako kwamba unakipambania? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe vipi? Kama hujui siasa na kiswahili cha mipasho utahangaika sana. Kwani hujui kuwa Tarime Mjini kuna mgombea ubunge mwanamke?! Tumia vizuri ubongo wako!
 
hehehheheee le mbebez ..kwamba wewe "MUAJILIWA"? NANI "KAKUAJILI PUNGUWAN WEWE🤣🤣🤣🤣"AJILA" HOYYYEEEEE!.

kifupi mfate pm akupe walau tuition ya kuandika ujue sarufi na silabi😀mbaaafu
Asikusmbue huyo, hao watu walioajiriwa (wengi wao) huwa hawana akili nzuri, huwa wanakuwa kama mazezeta au kuku wa dawa
 
Pumzi imekata!
Egmtp-WWoAE_XGt.jpg
 
Labda alimtongoza afu kamkataa ndo kaanza mijitusi ndo shida ya wanaume wenye vibamia afu kimoja hoi huwa wanajiwenga sana hata wanaotuma hoja za ajabu humu ndani wengi wanashida hiyo
 
Labda alimtongoza afu kamkataa ndo kaanza mijitusi ndo shida ya wanaume wenye vibamia afu kimoja hoi huwa wanajiwenga sana hata wanaotuma hoja za ajabu humu ndani wengi wanashida hiyo
 
Yaani wewe kuajiriwa ndo unaona umeyapatia maisha? Maskini..
Sijasema hivyo hiyo ni tafsiri yako.
Muwe mnasoma hoja zote kuhusu mada ili kupata mantiki ya mtu anachojibu.
Ukishakuwa mtu mzima unapaswa utafute shughuli ya kufanya inaweza kuwa kuajiriwa au kujiajiri.
 
Malaya kwa lugha ya kiingereza (english) "prostitute" ,lina maanisha mwanamke yeyote anayeutoa mwili wake kimapenzi ili alipwe.
Linapotumika kumtambulisha mtu fulani , inamaanisha mtu huyo amedhihakiwa kwa kuitwa hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana mtambulishaji anafahamu kuhusu maisha binafsi ya huyo mama. Kumbuka katika siasa kuchafuana ni kitu cha kawaida hasa kama una makandokando lazima wapinzani wako watayatumia kukushambulia. Angalia hata Trump alivyowahi kushambuliwa kuhusiana na mambo ya mapenzi.
 
Mleta mada, mie huwa nadhani watu ambao ni verified huwa hawasemi uongo. Umeweka hadi video lakini bado unapotosha, hauoni aibu? Hivi neno mwanamke na wanawake yapo sawa? Nilichokisikia hapo kasema Mwanamke yule ni malaya na siyo wanawake ni malaya. Au wewe masikio yako yanasikia kinyume? Na bahati mbaya umekata kipande kusudi uondoe mtiririko wa alichokuwa anakuongea huyo mtu. Unapokuwa verified user basi jaribu hata kuficha ujinga.
 
Kamuulize mama yako analo jibu.
Kwa kiwango chako cha umbumbumbu hukupaswa kuchangia maana huna hata uwezo wa kusona na kuielewa sentensi rahisi ya kiswahili
 
Hapo kamtusi mpaka mama yake mzazi
Nilidhani Ndugu yangu Mshana ni mchambuzi wa mambo...May be I am wrong....huyo mnayesema ametukana wanawake wote amebambikiwa kwa mujibu wa andiko la uzi huu kwamba alimtaja mtu fulani kwa neno au tusi hilo...Sasa inageuzwa kwamba ametukana wanawake wote akiwemo mama yake...duh....I hate politics....
 
Best hujanielewa.
Watu wanavyojumuisha wanawake wote wametukanwa ndo nashangaa, why akitukanwa mwanaume hamjumuishi wababa wote?
Kitendo cha kumtukana mtu yoyote hasa hadharani haipendezi.
Ukimsikiliza alietukana anasikika akisema " yule mwanamke malaya" hakutaja jina hivyo ujumbe uliopo ni kwa wanawake wote kwa kusimamia neno 'yule' bila kutaja ni yupi
Ni juu ya wanawake woote kuamua kumpotezea au kumuhukumu
 
Pengine ni jina la Mama yko
Mambumbumbu mko wengi humu Jf kama mngekuwa mnaonekana mbona ingekuwa fedheha! Nikihesabu ambao wamekurupuka kunijibu bila kuelewa mantiki ya kuuliza kwangu nashangaa! Unafikiri nilipomuuliza mlalamikaji nilikuwa sijui maana yake?

Endelea kusubiri uletewe maisha mazuri na mwanasiasa unayemshabikia huku umekaa umebweteka.
 
Ukimsikiliza alietukana anasikika akisema " yule mwanamke malaya" hakutaja jina hivyo ujumbe uliopo ni kwa wanawake wote kwa kusimamia neno 'yule' bila kutaja ni yupi
Ni juu ya wanawake woote kuamua kumpotezea au kumuhukumu
Yule mwanamke...means ni mmoja. Na amejulikana . Kwahiyo tupinge kutukanwa kwake sio kuwanyong'onyeza wanawake wote eti wametukanwa. Wengine labda not me
 
Ukimsikiliza alietukana anasikika akisema " yule mwanamke malaya" hakutaja jina hivyo ujumbe uliopo ni kwa wanawake wote kwa kusimamia neno 'yule' bila kutaja ni yupi
Ni juu ya wanawake woote kuamua kumpotezea au kumuhukumu
Wanawake wengi huwapati kwa mtego wako huo. Wanawake watapiga kura kwa hoja.
Majuzi kule Kawe kuna mtu alisema wameletewa mrembo watamfundisha swaga za kitaa mbona hukuhoji kuwa mgombea anedhalilishwa?
 
Back
Top Bottom