Uchaguzi 2020 Baada ya kuishiwa pumzi, CCM wawaita Wanawake ni Malaya

Uchaguzi 2020 Baada ya kuishiwa pumzi, CCM wawaita Wanawake ni Malaya

Humu JF mashabiki wengi hata elimu ya kiwango chekechea hawana. Unashindwa kuelewa hata maana maneno katika sentensi moja tu!

Hebu acha kujidhalilisha mkuu...kwamba humu wengi hata elimu hawana..wewe elimu ya kuandika kuajiliwa inakupeleka wapi?lmao..Rudi shule ASAP
 
Sawa ndugu "muajiliwa"! Kuajiriwa ni ni sifa za kizamani sana tu wala sio issue
Ni sifa ya msingi kwa sababu nafasi zinatangazwa watu wanashindanishwa. Kama mtu amekaa anasubiri mwanasiasa aingie madarakani ndipo awe na kipato huyo ni worse kuliko aliyejiajili/aliyeajiliwa.
 
hehehheheee le mbebez ..kwamba wewe "MUAJILIWA"? NANI "KAKUAJILI PUNGUWAN WEWE🤣🤣🤣🤣"AJILA" HOYYYEEEEE!.

kifupi mfate pm akupe walau tuition ya kuandika ujue sarufi na silabi😀mbaaafu
Mambo ya academic hayo dada!! Inaonekana umefundishwa kukumbuka na kukariri wala siyo kufikiri na kuelewa!
 
Ni sifa ya msingi kwa sababu nafasi zinatangazwa watu wanashindanishwa. Kama mtu amekaa anasubiri mwanasiasa aingie madarakani ndipo awe na kipato huyo ni worse kuliko aliyejiajili/aliyeajiliwa.

🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸Yaani ndo upeo wako.umekomea hapo *kuajiliwa*"
 
Kama kuna mambo yanakera na kuumiza ni kumuita mwanamke Malaya! Ndugu zetu wa CCM baada ya kuzidiwa points wameamua kuhamia kwenye matusi.

Huyu ni Mwakilishi wa CCM ngazi ya Wilaya huko Tarime akimuita Esther Matiko kama Malaya, kwakua huyu ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya tunaamini anachoongea ndio msimamo wa CCM Taifa kuwa CCM siku hizi wanawachukulia wanawake kama Malaya.

Cha kushangaza hutasikia NEC wakikemea jambo hili, hutasikia CWT wakikemea jambo hili, hutasikia hata Polisi wakikemea jambo hili.

Nawaomba wanawake wote, kwa umoja wenu, kataeni kudhalilishwa kisa tu ni kampeni. Utu wenu ni zaidi ya siasa.

Leo ameyasema kwa Matiko, kumbuka kesho itakua wewe, mama yako au wanao kuitwa Malaya.

Nimeweka ni video hapo, credi kwa Maria TsehaiView attachment 1554990View attachment 1554991
View attachment 1554992


Huo "umalaya" wanafanya na nani???
 
Hapo kazungumziwa mwanamke mmoja, mtoa mada usiwaunganishe wanawake wote...kwa mfano ukimzungumzia lokole ukasema, "mwanaume yule ni shoga" itakuwa umetutukana wanaume wote? Tafuta mambo ya msingi ya kuandika.
 
Mwanamke yule ni malaya.(kwa wataalam wa kiswahili hapa kaongelewa mmoja) Lakini tukiuweka ukweli mezani wabelgiji sera zimeisha kuanzia jukwaani hadi jf. Sasa mnabaki kuungaunga tu ilimradi siku ziishe.




MAGUFULI4LIFE.
 
Ni sifa ya msingi kwa sababu nafasi zinatangazwa watu wanashindanishwa. Kama mtu amekaa anasubiri mwanasiasa aingie madarakani ndipo awe na kipato huyo ni worse kuliko aliyejiajili/aliyeajiliwa.
Hahahaha rudi kwenye mada please, relax
 
Back
Top Bottom