Jamaa Ni mzabuni wa dunia[emoji4][emoji119]El Chapo akiwa anahojiwa na muandishi wa habari Sean Penn wa jarida la The rollingstone hivyo vitu aliviongelea.
Nukuu kutoka kwa El Chapo.. “I supply more heroin, methamphetamine, cocaine and marijuana than anybody else in the world. I have a fleet of submarines, airplanes, trucks and boats.”
Kudadek,Wametaka kumpeleka ishu imebuma maana jamaa wamefunga mjini ni mwendo was risasi tu
Jamaa Ni mzabuni wa dunia[emoji4][emoji119]
Hawana nguvu yoyote, Makonda aliwatulizaWauza unga wana nguvu sanaaaa
inaitwa Extradition, soma hapaAha kwaiyo tatizo ni ulinzi hafifu yani jamaa anaeza kutoroka.
Makonda alituliza vidagaaHawana nguvu yoyote, Makonda aliwatuliza