sober methadone haitumiki inatolewa muhimbili pekee ! wapo watoto wakishua wanapelekwa na wazazi wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sober methadone haitumiki inatolewa muhimbili pekee ! wapo watoto wakishua wanapelekwa na wazazi wao
Kinachohitajika ni serikali kutenda haki na kuletea raia wake wote maendeleo.Hayo ndio madhara ya ufisadi. Mtu anajijenga, anamiliki jeshi dogo kwa kisingizio cha ulinzi binafsi. Anatumia pesa kupenya mihimili muhimu huku vyombo vya ulinzi vimelala. Anatoa misaada kwa fedha chafu hadi jamii inamuamini.
Sasa unafikia hatua kupambana na mtu kama huyu unatumia jeshi sio Polisi na bado casualties kibao! Ana jeshi dogo lenye mafunzo na silaha kali, wananchi pia wanamuunga mkono sababu ya misaada ya pesa chafu.
Tuombe Mungu tuwe na wazalendo wa kulinda Taifa kwa gharama yoyote.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Anasema madon wengi huwezi kuwakuta sober house. Ingawa watoto wa kishua huwa wao wanaowekwa kwenye mpango mkakati wa masoko yaani hao wanatengenezwa na watu wao wa karibu waingie kwenye uraibu, ili mzigo utembee kwa zungu.sober methadone haitumiki inatolewa muhimbili pekee ! wapo watoto wakishua wanapelekwa na wazazi wao
E lchapo Joaquin Guzman anatumikia kifungo cha maisha US.Ivi El Chapo keshaachiwa? Uyo mutoto wake picha tafadhali. Kwaiyo yale tunaonaga kwenye movie za kimehico ndio yanatokea kweli..?
Inakuaje anahukumiwa USA wakati ni raia wa Mehico!? Kwanini asihukumiwe huko huko kwao,.E lchapo Joaquin Guzman anatumikia kifungo cha maisha US.
Hao drug cartels ni wauaji na magaidi wabaya mno. Itakuwa huwajui vizuri.Kumatofauti kubwa sana. Magaidi wanaua raia Hawa no wafanya biashara😂
Sasa Mexico gereza gani lenye ulinzi wa maana linaloweza kumhifadhi huyo jamaa?Inakuaje anahukumiwa USA wakati ni raia wa Mehico!? Kwanini asihukumiwe huko huko kwao,.
Aha kwaiyo tatizo ni ulinzi hafifu yani jamaa anaeza kutoroka.Sasa Mexico gereza gani lenye ulinzi wa maana linaloweza kumhifadhi huyo jamaa?
Supply yake kubwa ya drugs ilikua inaingia US,Inakuaje anahukumiwa USA wakati ni raia wa Mehico!? Kwanini asihukumiwe huko huko kwao,.
Makubaliano ya marekani na hizi nchi zenye cartels,marekani Kuna pesa anawapa,hata hapa kikosi Cha kupambana na drugs kinalipwa na marekani,na Obama alishatoa order ya kukamata drug kingpin wa hapa akiwemo mwamba wa magomeni aliyekuwa na mtandao USAAha kwaiyo tatizo ni ulinzi hafifu yani jamaa anaeza kutoroka.
Tutafute kwanza maana ya gaidi. Kumuua adui Yako sio ugaidi ujueHao drug cartels ni wauaji na magaidi wabaya mno. Itakuwa huwajui vizuri.
Unazan rahis kama kumpiga lissu nchi ntachafukaHuyo hakuna kumwachia ashonwe za kichwa Kisha wafwate panya wake
Naukute hao viongoz wajuu serikalin ndio wauza poda wakuuNdio maana tunawaambia siku zote usipo ziba ufa utajenga ukuta.
Serikali ya Mexico iliachilia hili genge la wauza madawa chini ya kiongozi wao Elchapo (baba) likakua na kujiimarisha kiuchumi na silaha sasa wanafanya wanavyo taka. kila kukicha serikali inahangaika.
Hili ni funzo kwa Serikali yetu ya Tanzania kupitia kitengo cha kupambana na madawa ya kulevya wanapaswa wapambane kikamilifu na kuwatokomeza wauza madawa ya kulevya, vinginevyo mkiwaachia watajiimarisha kiuchumi kupitia biashara hiyo na hivyo kuteteresha hali ya usalama wa nchi yetu.
😂😂😂😂 Eti eee lakini hakuna jinsi kumtunza mtu Kama huyo bado roho za askali magereza Ipo hatari lini mkuuUnazan rahis kama kumpiga lissu nchi ntachafuka
Sasa hao wangekuwa ndo bavicha sisiemu engeshatoka madarakani
Hii biashara inafanywa na magenge mengi tu kule na wote wanazo pesa, viongozi wengi wa serekali wamewekwa na magenge haya. Hata hii kamatakamata ni shinikizo tu kutoka nje. Serekali ya kule ni kivuli cha haya magenge.[emoji1787][emoji1787]
waseahili tunamsemo:
"mchelea mwana.......hulia mwenyewe"
Serikali ya Mexico ilimchekea kabla hajawa na nguvu kubwa na alipo jiimarisha alianza kuwatesa hadi sasa limekuwa genge hatari sio tu mexico bali hata ktk maitafa ya marekani.
Biashara kongwe Iyo, Tena ya familia[emoji4]Anaendeleza kazi ya babake ya kuuza ngada?