dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Hana namna; asipofanya hivyo analiwa kichwa fasta. Ina maagano mengi sana.Anaendeleza kazi ya babake ya kuuza ngada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana namna; asipofanya hivyo analiwa kichwa fasta. Ina maagano mengi sana.Anaendeleza kazi ya babake ya kuuza ngada?
Una uhakika?Serekali dhaifu
Ndio top stories sema vingine vimeficha ukwelihaya mambo yanaonekana kwenye vyombo vya habar nikafatilie
Unamkumbuka godmather wa unga wewe Gliselda Blanco, alifungwa jela ila huku nyuma biashara yake ilikuwa inasonga kama kawaida na pesa inaingia kama kawa.Duuh...basi patachimbika. Kwa hiyo hata akikamatwa mtoto bado wataibuka wengine kuendeleza
Wametaka kumpeleka ishu imebuma maana jamaa wamefunga mjini ni mwendo was risasi tuIna Maana Biden hawezi kuja na kuondoka salama bila huyu Jamaa kukamatwa. MI nadhani USA ndio wamewaambia Mexico huyu mtu tunamuhitaji nadhani next atapelekwa usa kama baba yake
Sent using Jamii Forums mobile app
wauza unga ni serekali au siri kali ya Duniani ndio maana hauwezekani kuisha utauzwa kwenda mbeleNgoja tuone kama watamuachia kama mara ya kwanza.
Mpska sasa watu 29 wamekufa na vinu vinaendelea kulia huko Culiacana.
Ndio maana tunawaambia siku zote usipo ziba ufa utajenga ukuta.Ngoja tuone kama watamuachia kama mara ya kwanza.
Mpska sasa watu 29 wamekufa na vinu vinaendelea kulia huko Culiacana.
Hakunaga pesa chafu. Remember that when yo older.Hayo ndio madhara ya ufisadi. Mtu anajijenga, anamiliki jeshi dogo kwa kisingizio cha ulinzi binafsi. Anatumia pesa kupenya mihimili muhimu huku vyombo vya ulinzi vimelala. Anatoa misaada kwa fedha chafu hadi jamii inamuamini.
Sasa unafikia hatua kupambana na mtu kama huyu unatumia jeshi sio Polisi na bado casualties kibao! Ana jeshi dogo lenye mafunzo na silaha kali, wananchi pia wanamuunga mkono sababu ya misaada ya pesa chafu.
Tuombe Mungu tuwe na wazalendo wa kulinda Taifa kwa gharama yoyote.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Sio unga tu ana magenge ya uhalifu ..Huyo watamuachia hiyo ni trailer ,the coming chaos will decide.Anaendeleza kazi ya babake ya kuuza ngada?
Hapa kwetu haiwezekani maana wale top ndio wauza ngada waku. Hivi unadhani Ile story ya yule first son wa enzi zile ni uongo?Ndio maana tunawaambia siku zote usipo ziba ufa utajenga ukuta.
Serikali ya Mexico iliachilia hili genge la wauza madawa chini ya kiongozi wao Elchapo (baba) likakua na kujiimarisha kiuchumi na silaha sasa wanafanya wanavyo taka. kila kukicha serikali inahangaika.
Hili ni funzo kwa Serikali yetu ya Tanzania kupitia kitengo cha kupambana na madawa ya kulevya wanapaswa wapambane kikamilifu na kuwatokomeza wauza madawa ya kulevya, vinginevyo mkiwaachia watajiimarisha kiuchumi kupitia biashara hiyo na hivyo kuteteresha hali ya usalama wa nchi yetu.
Wanampeleka marekani this time!!!!Kipindi kile inasemekana kuna mlungula ulitembea japo serikali ya jimbo la Sinaloa ilidai walimuachia kwa sababu za kiusalamaNgoja tuone kama watamuachia kama mara ya kwanza.
Mpska sasa watu 29 wamekufa na vinu vinaendelea kulia huko Culiacana.
Wkt mwingine linakua dili lakumpoteza kwakua wengine hawana nguvu yakuuza kwakua chimbo zote zinakua zake so genge lingine linakula dili na mwela ilijamaa akamatwe...Duuh...basi patachimbika. Kwa hiyo hata akikamatwa mtoto bado wataibuka wengine kuendeleza
Bila mexico kuvunja magenge hayo nchi itaendelea kutawaliwa na wahalifu wa makosa ya jinai.Ngoja tuone kama watamuachia kama mara ya kwanza.
Mpska sasa watu 29 wamekufa na vinu vinaendelea kulia huko Culiacana.
[emoji1787][emoji1787]Wameliachia vip wakati wamezidiwa nguvu kwani hao jamaa dunia nzima watu wa dili za unga wana nguvu kuliko serikali..Ndo maana hyo biashara haiwezi kuisha.
Tambua Chapo alikuwa na nguvu kuliko serikali alishawai kulipa mpaka madeni ya serikali ya nje ...Utamwambia nn?[emoji1787]
🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787]
waseahili tunamsemo:
"mchelea mwana.......hulia mwenyewe"
Serikali ya Mexico ilimchekea kabla hajawa na nguvu kubwa na alipo jiimarisha alianza kuwatesa hadi sasa limekuwa genge hatari sio tu mexico bali hata ktk maitafa ya marekani.
story za kweye vijiwe vya kahawa !!Hapa kwetu haiwezekani maana wale top ndio wauza ngada waku. Hivi unadhani Ile story ya yule first son wa enzi zile ni uongo?
Amina!Hayo ndio madhara ya ufisadi. Mtu anajijenga, anamiliki jeshi dogo kwa kisingizio cha ulinzi binafsi. Anatumia pesa kupenya mihimili muhimu huku vyombo vya ulinzi vimelala. Anatoa misaada kwa fedha chafu hadi jamii inamuamini.
Sasa unafikia hatua kupambana na mtu kama huyu unatumia jeshi sio Polisi na bado casualties kibao! Ana jeshi dogo lenye mafunzo na silaha kali, wananchi pia wanamuunga mkono sababu ya misaada ya pesa chafu.
Tuombe Mungu tuwe na wazalendo wa kulinda Taifa kwa gharama yoyote.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kulaaaleki, hatari moto fireThe Sinaloa cartel gave the Mexican government an ultimatum. If Ovidio, El Chapo's son, is not released within 72 hours, gas stations and government buildings will be burned. The cartel fears Ovidio's extradition to the US.