Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
- Thread starter
- #61
Jidanganye.story za kweye vijiwe vya kahawa !!
takataka tupu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jidanganye.story za kweye vijiwe vya kahawa !!
takataka tupu!!
Mimi nipigane kwa kuitetea serikali ya ccm? Aaah thubutuuuHayo ndio madhara ya ufisadi. Mtu anajijenga, anamiliki jeshi dogo kwa kisingizio cha ulinzi binafsi. Anatumia pesa kupenya mihimili muhimu huku vyombo vya ulinzi vimelala. Anatoa misaada kwa fedha chafu hadi jamii inamuamini.
Sasa unafikia hatua kupambana na mtu kama huyu unatumia jeshi sio Polisi na bado casualties kibao! Ana jeshi dogo lenye mafunzo na silaha kali, wananchi pia wanamuunga mkono sababu ya misaada ya pesa chafu.
Tuombe Mungu tuwe na wazalendo wa kulinda Taifa kwa gharama yoyote.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
President alijitetea kuwa alifanya hivyo kuzuia umwagikaji wa damu usiendelee maana kichapo kilitembea kweli kweliWanampeleka marekani this time!!!!Kipindi kile inasemekana kuna mlungula ulitembea japo serikali ya jimbo la Sinaloa ilidai walimuachia kwa sababu za kiusalama
Wamexico wabishi sana
Maisha yao kama sinema tu
Ova
Wachambuzi wa hayo masuala wamesema kukizima Hilo gang kutapelekea kuibuka kwa jingine ambalo ndio la pili Kwa ma gang wenye nguvu Mexico. Hivyo inaweza kuwa ni mchongo kweliWkt mwingine linakua dili lakumpoteza kwakua wengine hawana nguvu yakuuza kwakua chimbo zote zinakua zake so genge lingine linakula dili na mwela ilijamaa akamatwe...
Vitu vinavyopukutisha matajiri na masikini kwa kasi Ila jiulize kwenye zile Sober House umewahi kumuona mwenye Pesa anahudhulia dozi ya methadone?Nukuu kutoka kwa El Chapo.. “I supply more heroin, methamphetamine, cocaine and marijuana than anybody else in the world. I have a fleet of submarines, airplanes, trucks and boats.”
Hayo madawa ni utamaduni wao. Presha kutoka serikali za nje ndiyo zinawafanya kufanya hizo operations.Serikali ya mexco ni dhaifu inatawaliwa na magenge ya wauza mihadarati. Serikali zingine ziko imara kupambana na makundi hayo kiasi cha kulazima kuuza kwa hali ya usiri mkubwa na kutojulikana. Wamefanya uharibifu mkubwa wa mali za umma na binafsi, wamechoma magari. Cha ajabu hayo magenge yana makaburi yao ya kifahari na serikali haiwafanyi kitu
Na hao lazima wafanye kweliThe Sinaloa cartel gave the Mexican government an ultimatum. If Ovidio, El Chapo's son, is not released within 72 hours, gas stations and government buildings will be burned. The cartel fears Ovidio's extradition to the US.
Mtandao ni mkubwa sana, hiyo ni kujisafisha maana Joe Biden ana ziara Mexico. Toka miezi 6 iliyopita alikuwa anatafutwa inamaana serikali yake walikuwa hawajui alipo?
Acha uongo hajawahi lipia deni lolote lileWameliachia vip wakati wamezidiwa nguvu kwani hao jamaa dunia nzima watu wa dili za unga wana nguvu kuliko serikali..Ndo maana hyo biashara haiwezi kuisha.
Tambua Chapo alikuwa na nguvu kuliko serikali alishawai kulipa mpaka madeni ya serikali ya nje ...Utamwambia nn?[emoji1787]
UONGOEbu fuatilia kijana ameshawai!!
Wachambuzi wa hayo masuala wamesema kukizima Hilo gang kutapelekea kuibuka kwa jingine ambalo ndio la pili Kwa ma gang wenye nguvu Mexico. Hivyo inaweza kuwa ni mchongo kweli
Kumatofauti kubwa sana. Magaidi wanaua raia Hawa no wafanya biashara😂Kwa hiyo hawa jamaa na magaidi hawana tofauti!
Ni nini sasa kama si ulegevu wa serekali?. Kwamba vyombo vya usalama inakamata mtuhumiwa wa uhalifu, kundi la mtuhumiwa linafanya fujo na kuuwa Watu mpaka vyombo vya usalama vinaamua kumwachia mtuhumiwa.Una uhakika?
Ndugu unataka kuleta ubishi TU usio na mashiko; mfano mzuri hapa kwetu wangapi hawagusiki?Ni nini sasa kama si ulegevu wa serekali?. Kwamba vyombo vya usalama inakamata mtuhumiwa wa uhalifu, kundi la mtuhumiwa linafanya fujo na kuuwa Watu mpaka vyombo vya usalama vinaamua kumwachia mtuhumiwa.
Ndo udhaifu wenyewe wa serekali..... Otherwise hatuna common definition ya "udhaifu wa serekali"Ndugu unataka kuleta ubishi TU usio na mashiko; mfano mzuri hapa kwetu wangapi hawagusiki?
Maulaga59Basi ni vizuri kwa ziara hiyo maana isingekuwepo huyo jamaa asingedakwa!
stow awayVitu vinavyopukutisha matajiri na masikini kwa kasi Ila jiulize kwenye zile Sober House umewahi kumuona mwenye Pesa anahudhulia dozi ya methadone?