covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Taifa linalindwa km kuna haki.. hicho unachokiona huko mexico ni matunda ya kupuuza haki na vipaombele kwa wananchi.Tuombe Mungu tuwe na wazalendo wa kulinda Taifa kwa gharama yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taifa linalindwa km kuna haki.. hicho unachokiona huko mexico ni matunda ya kupuuza haki na vipaombele kwa wananchi.Tuombe Mungu tuwe na wazalendo wa kulinda Taifa kwa gharama yoyote
Hakuna pesa chafu ila wew ndo mchafuHayo ndio madhara ya ufisadi. Mtu anajijenga, anamiliki jeshi dogo kwa kisingizio cha ulinzi binafsi. Anatumia pesa kupenya mihimili muhimu huku vyombo vya ulinzi vimelala. Anatoa misaada kwa fedha chafu hadi jamii inamuamini.
Sasa unafikia hatua kupambana na mtu kama huyu unatumia jeshi sio Polisi na bado casualties kibao! Ana jeshi dogo lenye mafunzo na silaha kali, wananchi pia wanamuunga mkono sababu ya misaada ya pesa chafu.
Tuombe Mungu tuwe na wazalendo wa kulinda Taifa kwa gharama yoyote.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Jamaa huwa wanahakikisha wanakuwa karibu na jamii ya mji husika kwenye ngome yao yaani huduma zote za msingi kama afya,elimu,maji barabara zinakuwa nzuri na za uhakika kuliko hata zile sehemu zinazosimamiwa na serikali kuu that's why huwa wanapata support kubwa kutoka kwa raia.
Jamaa wako vizur,wanarudisha walichochuma kwa jamiiJamaa huwa wanahakikisha wanakuwa karibu na jamii ya mji husika kwenye ngome yao yaani huduma zote za msingi kama afya,elimu,maji barabara zinakuwa nzuri na za uhakika kuliko hata zile sehemu zinazosimamiwa na serikali kuu that's why huwa wanapata support kubwa kutoka kwa raia.
Unaambiwa walitaka kumsafirisha kwenda US imebidi waahirishe viwanja vya ndege viwili vimefungwa maana battle iliingia Hadi airportFursakibao
Na kuna negotiations zimefanyika lazima, mpaka watu 29 wamekufa ina maana si mchezo. Na bado kuna watu kwenye system wapo kwenye payroll yake.
Wale jamaa wanahama kila siku hawakai sehemu 1 muda mrefu maana ni Marekani ndo anawataka kwani CDS inahusika na 90% ya madawa yote dunianiMtandao ni mkubwa sana, hiyo ni kujisafisha maana Joe Biden ana ziara Mexico. Toka miezi 6 iliyopita alikuwa anatafutwa inamaana serikali yake walikuwa hawajui alipo?
Wananufaika nao uenda ndio walipa kodi wakubwaSerikali ya mexco ni dhaifu inatawaliwa na magenge ya wauza mihadarati. Serikali zingine ziko imara kupambana na makundi hayo kiasi cha kulazima kuuza kwa hali ya usiri mkubwa na kutojulikana. Wamefanya uharibifu mkubwa wa mali za umma na binafsi, wamechoma magari. Cha ajabu hayo magenge yana makaburi yao ya kifahari na serikali haiwafanyi kitu
Wamexico wabishi sanaWale jamaa wanahama kila siku hawakai sehemu 1 muda mrefu maana ni Marekani ndo anawataka kwani CDS inahusika na 90% ya madawa yote duniani
Ina Maana Biden hawezi kuja na kuondoka salama bila huyu Jamaa kukamatwa. MI nadhani USA ndio wamewaambia Mexico huyu mtu tunamuhitaji nadhani next atapelekwa usa kama baba yakeMtandao ni mkubwa sana, hiyo ni kujisafisha maana Joe Biden ana ziara Mexico. Toka miezi 6 iliyopita alikuwa anatafutwa inamaana serikali yake walikuwa hawajui alipo?
Uchafu hauoshwi kwa uchafu! Kama tukiamua kuachia huu uhuni sababu tunaibiwa na mabeberu itafika dakika tutachimba mahandaki kwenye nyumba zetu kutafuta usalama.Pesa chafu manake nini? Hizo mali/pesa zinazokwapuliwa africa na mabeberu na badae kutuziba midomo kwa misaada kiduchu ni pesa safi?
Umeweka vema saana mkuu 🤝Wale jamaa wanahama kila siku hawakai sehemu 1 muda mrefu maana ni Marekani ndo anawataka kwani CDS inahusika na 90% ya madawa yote duniani
Ni kweli haki ndio msingi lakini nioshe nchi yenye haki kikamilifu.Taifa linalindwa km kuna haki.. hicho unachokiona huko mexico ni matunda ya kupuuza haki na vipaombele kwa wananchi.
Ndiyo mkuu muhitaji ni Marekani soko kubwa ni huko na yeye ndiyo muhanga.Ina Maana Biden hawezi kuja na kuondoka salama bila huyu Jamaa kukamatwa. MI nadhani USA ndio wamewaambia Mexico huyu mtu tunamuhitaji nadhani next atapelekwa usa kama baba yake
Sent using Jamii Forums mobile app
US Intelligence Community imekiri kuwa CDS ni hatari na inahusika kwenye usambazaji, utengenezaji na uuzaji wa madawa.Wamexico wabishi sana
Maisha yao kama sinema tu
Ova
Fedha chafu ni za namna gani?Hayo ndio madhara ya ufisadi. Mtu anajijenga, anamiliki jeshi dogo kwa kisingizio cha ulinzi binafsi. Anatumia pesa kupenya mihimili muhimu huku vyombo vya ulinzi vimelala. Anatoa misaada kwa fedha chafu hadi jamii inamuamini.
Sasa unafikia hatua kupambana na mtu kama huyu unatumia jeshi sio Polisi na bado casualties kibao! Ana jeshi dogo lenye mafunzo na silaha kali, wananchi pia wanamuunga mkono sababu ya misaada ya pesa chafu.
Tuombe Mungu tuwe na wazalendo wa kulinda Taifa kwa gharama yoyote.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Serekali dhaifuAna ndugu zake yule biashara itaendelea.
Aliwahi kukamatwa zikapigwa serikali ikaamua kumwachia