Baada ya Kukemea Ushoga tukemee hata Imani Potofu zote za Magharibi, nazo ni Mbaya Kama Ushoga, naongelea manabii wa uongo kina Zumaridi/Babu Loliondo

Baada ya Kukemea Ushoga tukemee hata Imani Potofu zote za Magharibi, nazo ni Mbaya Kama Ushoga, naongelea manabii wa uongo kina Zumaridi/Babu Loliondo

Serikali haina dini ila unataka kuipa jukumu la kuchagua dini sahihi
 
Mziki wenyewe wa sahivi bongo unaendana na ushoga

Ova
 
Kweli, uhuru wa kuabudu isiwe njia ya kufungana kamba kwamba mnaweza kufufua watu. Mfalme aliposema anamfufua Kanumba ilileta taharuki mtaani. Sijui zoezi limeishia wapi! Kagame Yuko sahihi, dini isimame kama huduma ya kiroho sio biashara za waziwazi.
 
Ile issue ya kufufua watu, jamaa alipiga pesa huku serikali ikikaa kimya. Watu walipigishwa mazoezi na kuvyalishwa ndevu za kiarabu ili waonekane kama misukule. Ama kweli maisha ni mchezo. Hata hivyo ni nguvu za Giza.
 
Kweli, uhuru wa kuabudu isiwe njia ya kufungana kamba kwamba mnaweza kufufua watu. Mfalme aliposema anamfufua Kanumba ilileta taharuki mtaani. Sijui zoezi limeishia wapi! Kagame Yuko sahihi, dini isimame kama huduma ya kiroho sio biashara za waziwazi.
Hakika Hakika
 
Ile issue ya kufufua watu, jamaa alipiga pesa huku serikali ikikaa kimya. Watu walipigishwa mazoezi na kuvyalishwa ndevu za kiarabu ili waonekane kama misukule. Ama kweli maisha ni mchezo. Hata hivyo ni nguvu za Giza.
Hakika na walikausha tu
 
Mambo mengi ya kukemea…

Naanza na kumpongeza KAGAME
1. Ufungui Dini Hovyo hovyo nchini kwake kwa Mgongo wa uhuru wa kuabudu lazima tuwaratibu hawa watu!

2. Kakataza Azana za Asubuhi ni Kelele anasema mwamba kupiga Kelele mijini imepitwa na wakati, mnapigia watu Kelele mitaani, akawasihi kutumia alarm [emoji354]

Nije kwanini Nataka haya mambo yakemewe pia kwetu

1. Hawa wanaojiita manabii na kuwadanganya watu kuwa wanafufua watu MFANO Gwajima, Kwamba anafufua alafu kipindi shujaa wake katangulia naye akalia, ni kuwahadaa watu na kuwaibia kwa mgongo wa SADAKA .

2. Wanawapotosha wagonjwa hadi kutoroshwa mahospitalini mfano Babu wa Loliondo eti alioteshwa! Watu wakahama hospitalin wakafia njiani

3. Kuna huyu anaitwa ZUMARIDI ndo shida hivi serikali inasubiri nini kufungia hawa watu ?


Britanicca
Kuna huyu wa pale Mwenge Mpakani anaitwa James Nyakia ni tapeli mkubwa anawaibia watu mchana kweupe. Analaza wagonjwa hata sijui kama Wizara ya afya wamempa kibali.
 
Kuna huyu wa pale Mwenge Mpakani anaitwa James Nyakia ni tapeli mkubwa anawaibia watu mchana kweupe. Analaza wagonjwa hata sijui kama Wizara ya afya wamempa kibali.
Anawauzia waumini wake kachupa ka asali ka ml 10 kwa shilingi 300,000/- mwenyewe anaita package ,ila watu wamezidi ubwege kutangatanga kwenye makanisa wacha wanyooshwe
 
Tunatakiwa kuchukua hatua bila kupepesa macho. Hapo ndio nampongeza kagame.
Zipo madhehebu za ukristo na uislaam za tangu kale zilishaanzishwa.
Enzi ya kuanzisha makanisa mapya ilishapita miaka mingi. Nasema makanisa maana huku ndiko matapeli wa imani ya kiroho wamejaa.
Kama mtu anaombewa na anapona, unapomkataza asimfuate mtume wake unataka afe?
 
Mambo mengi ya kukemea…

Naanza na kumpongeza KAGAME
1. Ufungui Dini Hovyo hovyo nchini kwake kwa Mgongo wa uhuru wa kuabudu lazima tuwaratibu hawa watu!

2. Kakataza Azana za Asubuhi ni Kelele anasema mwamba kupiga Kelele mijini imepitwa na wakati, mnapigia watu Kelele mitaani, akawasihi kutumia alarm ⏰

Nije kwanini Nataka haya mambo yakemewe pia kwetu

1. Hawa wanaojiita manabii na kuwadanganya watu kuwa wanafufua watu MFANO Gwajima, Kwamba anafufua alafu kipindi shujaa wake katangulia naye akalia, ni kuwahadaa watu na kuwaibia kwa mgongo wa SADAKA .

2. Wanawapotosha wagonjwa hadi kutoroshwa mahospitalini mfano Babu wa Loliondo eti alioteshwa! Watu wakahama hospitalin wakafia njiani

3. Kuna huyu anaitwa ZUMARIDI ndo shida hivi serikali inasubiri nini kufungia hawa watu ?


Britanicca
Tena zumaridi alikua ndani mama alipoingia. Wahuni bila shaka wakashauri ni kinyume na uhuru wa kuabudu. Tukaona zumaridi akiachiwa na kupewa tunguri zake aendelee kuhadaa watu huku kama taifa tunajua watu wetu wengi bado ni wajinga.
 
Hakuna tofauti ya manabii na wanasiasa, wote kimsingi wanatutapeli sana.

Hizi kauli za wanasiasa za anaupiga mwingi zina tofauti gani na matendo ya manabii, athali zake kwa jamii zina tofauti gani.
 
Hakuna tofauti ya manabii na wanasiasa, wote kimsingi wanatutapeli sana.

Hizi kauli za wanasiasa za anaupiga mwingi zina tofauti gani na matendo ya manabii, athali zake kwa jamii zina tofauti gani.
Aheri hadaa za wanasiasa kuliko za manabii. Amini usiamini.
 
Back
Top Bottom