Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
I worried about you !! Where you are ,and how are you !!. So km upo fine ,then its cool !!Ooh. Buddy,I'm fine. How are you?
Hiyo maneno ya mwisho ndio ina maana gani?
Akikushindwa nipe Mimi nimoende kuliko moyo wangu nmlinde kuliko mboni ya jichoUsiwe kwanza kahaba, naomba hiyo nafasi.. Wenye mapenzi ya kweli bado tupo..
Wadada kama Hawa mbona sikutani nao. Huyu ukiwa nae maisha lazima yaisome number aisee.Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Amekujibu,? Asipokujibu ujue huyo ni KAHABA tayari alikuwa anazuga
Sent using Jamii Forums mobile app
Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Kwa kweli mkuu hebu msitiri huyo dada
M***nzi tu huyo, akitumiwa PM hajibu sasa anategemea apate bwana toka mbinguni au? Ana sanifu watu tu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
tehe tehe tehe vizuri, network iko clear[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kama nakupata hivii!
St Petersburg ya chato?I worried about you !! Where you are ,and how are you !!. So km upo fine ,then its cool !!
Ya lyublyu tebya ni Maneno ya kirusi ambayo maana yake ( nakupenda sana ).
Mwanamke kumjibu mwanaume anasema Ya vas lyublyu .
Bongo bahat mbaya ...njoo huku St.Petersburg tule kitabu na raha.
Teheee teheeee sasa km chato kuna st.Petersburg Basi sawa ....St Petersburg ya chato?