Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Ooh. Buddy,I'm fine. How are you?
Hiyo maneno ya mwisho ndio ina maana gani?
I worried about you !! Where you are ,and how are you !!. So km upo fine ,then its cool !!

Ya lyublyu tebya ni Maneno ya kirusi ambayo maana yake ( nakupenda sana ).

Mwanamke kumjibu mwanaume anasema Ya vas lyublyu .

Bongo bahat mbaya ...njoo huku St.Petersburg tule kitabu na raha.
 
Ndo Maana Wazo La Kuoa Limeshanitoka Moyoni Mwangu Kwasasa Napambana Na Hali Yangu Tu
 
Usiwe kahaba, ila usiweke moyo kwa mtu mmoja kuwa na kama 3 unaowachunguza! Sema hapo uwe na uhusiano makini sio yale mahusiano ya kulala pamoja week hahha utakosa wote. Ushauri huu nimekupa kulingana na context yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Wadada kama Hawa mbona sikutani nao. Huyu ukiwa nae maisha lazima yaisome number aisee.
Please come to my PM mrembo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume

Unataka kuwa malaya, wakati wewe teyari malaya? Unajua ni idadi ya wanaume wangapi ulotembea nao mwaka huu ukitafuta mr perfect?
 
tatizo ukimwi na kansa ya kizazi bibie
 
Unataka mwanaume mkweli awe amesoma awe na gari na nyumba awe handsome mrefu awe anajua mapenzi akuridhishe awe na kazi ya maana asiwe mbahili awe na moyo wa kujitolea kusomesha nduguzo na kusaidia wazazi wako kumalizia nyumba yao walioanza msingi 1994 my dear hizo Robbot nazikia china karibu zinatoka wai kuweka order
 
St Petersburg ya chato?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…