Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Urefu ft 5,...ii dunia ina masihara. Kweli kweli bwahahahahaha
 
Daaaa, wazee labda mimi ndio huwa sielewi. Hivi mwanaume anajijuaje kuwa ana mapenzi ya dhati?
 
Mambo vp nimeona ujumbe wako niko tayari kuwa mpnz wako na hatimaye kuwa mumeo wa ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila la kheri

Kupima mkojo na uchochezi wapi na wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…