Baada ya kukosa wenza wa ndoto zao, wengi wa waliopo kwenye ndoa waliamua kujilipua kwa kuishi na "ili mradi ni mke/mume"

Baada ya kukosa wenza wa ndoto zao, wengi wa waliopo kwenye ndoa waliamua kujilipua kwa kuishi na "ili mradi ni mke/mume"

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Tafiti zinaonesha kuwa ni 2% tu ya waliopata wenza wa ndoto zao. 98% mmoja au wote 2 wanaishi na "ili mradi ni mke/mume", baada ya kukosa kwa sababu mbalimbali ywale waliowatarajia akilini mwao .

Wengi walitaka kumpata mwenzao mwenye package hii: msomi, tajiri, mrefu, mweupe, umbo namba 8, mwenye 6 packs, mcha Mungu na asiye mlevi.

Lkn wakawakosa, na kuamua kujiokotea tu mwenye umbo la nguruwe, meno ya carrot, kifupi nyundo, mlalahoi, mcharuko, mlevi na darasa la 7.

Kwahiyo kwa vijana mnaochipukia , msihangaike kutafuta, jiokoteeni yeyote tu. Kwasbb hata mkitafuta hamtawapata wenye sifa zote mnazozitaka.

Na hii ndiyo inasababisha visa na mikasa mingi kutokea kwenye ndoa. Maana ndoa za miaka hii ni ushirika wa watu 2 wasiokubaliana kihisia kwa pamoja. (Mmoja kakuballi ili mradi, wakati mwingine anamshukuru Mungu kwa zawadi).
 
Tafiti zinaonesha kuwa ni 2% tu ya waliopata wenza wa ndoto zao. 98% mmoja au wote 2 wanaishi na "ili mradi ni mke/mume", baada ya kukosa kwa sababu mbalimbali ywale waliowatarajia akilini mwao .

Wengi walitaka kumpata mwenzao mwenye package hii: msomi, tajiri, mrefu, mweupe, umbo namba 8, mwenye 6 packs, mcha Mungu na asiye mlevi.

Lkn wakawakosa, na kuamua kujiokotea tu mwenye umbo la nguruwe, meno ya carrot, kifupi nyundo, mlalahoi, mcharuko, mlevi na darasa la 7.

Kwahiyo kwa vijana mnaochipukia , msihangaike kutafuta, jiokoteeni yeyote tu. Kwasbb hata mkitafuta hamtawapata wenye sifa zote mnazozitaka.

Na hii ndiyo inasababisha visa na mikasa mingi kutokea kwenye ndoa. Maana ndoa za miaka hii ni ushirika wa watu 2 wasiokubaliana kihisia kwa pamoja. (Mmoja kakuballi ili mradi, wakati mwingine anamshukuru Mungu kwa zawadi).
Wewe binafsi ndoto zako zilikua zipi?
 
Wewe binafsi ndoto zako zilikua zipi?
Nilitaka kupata mwenza ambaye ni mtoto wa rais, ikashindikana. Hivi sasa ninaishi na mtoto wa bodaboda....kwahiyo mkwe wangu ni bodaboda.
 
Tafiti zinaonesha kuwa ni 2% tu ya waliopata wenza wa ndoto zao. 98% mmoja au wote 2 wanaishi na "ili mradi ni mke/mume", baada ya kukosa kwa sababu mbalimbali ywale waliowatarajia akilini mwao .

Wengi walitaka kumpata mwenzao mwenye package hii: msomi, tajiri, mrefu, mweupe, umbo namba 8, mwenye 6 packs, mcha Mungu na asiye mlevi.

Lkn wakawakosa, na kuamua kujiokotea tu mwenye umbo la nguruwe, meno ya carrot, kifupi nyundo, mlalahoi, mcharuko, mlevi na darasa la 7.

Kwahiyo kwa vijana mnaochipukia , msihangaike kutafuta, jiokoteeni yeyote tu. Kwasbb hata mkitafuta hamtawapata wenye sifa zote mnazozitaka.

Na hii ndiyo inasababisha visa na mikasa mingi kutokea kwenye ndoa. Maana ndoa za miaka hii ni ushirika wa watu 2 wasiokubaliana kihisia kwa pamoja. (Mmoja kakuballi ili mradi, wakati mwingine anamshukuru Mungu kwa zawadi).
Huu ni ukweli 200%
 
Back
Top Bottom