#COVID19 Baada ya Kukubali Chanjo, na Rais Samia Kuchanja, Kiongozi yeyote anayepinga Chanjo hadharani ni 'Insubordination' na usaliti

#COVID19 Baada ya Kukubali Chanjo, na Rais Samia Kuchanja, Kiongozi yeyote anayepinga Chanjo hadharani ni 'Insubordination' na usaliti

Hizi chanjo hazipingwi kwa kuwa ni chanjo. Kinachopingwa kinapingika kimsingi.

Chanjo huchukua miaka 10 or zaidi kutambua short, mid and long term effects zake. Hizi chanjo hazijapitia uangalizi huo.

Zimetengenezwa under emergence na kiuhalisia zinazo nyingi za hizi chanjo zimeshaonesha aina nyungi za effects kana: damu kuganda.

Ndio maana, mashirika yaliyotengeneza chanjo hizi, kwa kuhofia kushtakiwa, wanalazimisha serikali wanaxo supply kujaza form ya serikali zina nunua kwa their own risk. Ba serikali zote wanalazimisha watu kujaza "consent form"View attachment 1896963
Hata hayo makampuni yanayo tengeneza hizi chanjo hayajui short, mid na long term effects za hizi chanjo kwakua hazijakua tested enough, hivyo usalama wake ni mashaka.

Sasa wanao ongea waachwe waongee kwakua ni haki yao kimsingi na pia wana hoja za msingi.
 
Hivi chanjo zote ni 2 dose? Au ni single dose? Maana sioni viongozi kuchanja dose ya pili ya corona.
Ni muda sasa umepita ,,viongozi mbali mbali walichanja single dozi ya chanjo,lakini sioni popote kupata chanjo ya 2 u kuhamasisha watu wamalize dose ya 2.

Kwa Mwenye uelewa dose hapo kwetu ni 2 au 1?
kwengine unapigwa dose ya 1 baada ya week 2/ hadi 3 unapigwa dose ya 2,, ndipo unapata certificate ya chanjo.
 
Hivi chanjo zote ni 2 dose? Au ni single dose? Maana sioni viongozi kuchanja dose ya pili ya corona.
Ni muda sasa umepita ,,viongozi mbali mbali walichanja single dozi ya chanjo,lakini sioni popote kupata chanjo ya 2 u kuhamasisha watu wamalize dose ya 2.

Kwa Mwenye uelewa dose hapo kwetu ni 2 au 1?
kwengine unapigwa dose ya 1 baada ya week 2/ hadi 3 unapigwa dose ya 2,, ndipo unapata certificate ya chanjo.
Mpaka sasa Tanzania, imeleta chanjo mbili ambazo ndizo rasmi za kiserekali na kitaifa, chanjo hizi ni Johnson & Johnson ya Marekani ambayo tumepewa kwa msaada wa watu wa Marekani inayotumika Tanzania Bara, Chanjo ya Sputnik ya kutoka nchini Urusi iliyotolewa kwa msaada na watu wa Urusi inayotumika Zanzibar.

Chanjo zote hizi mbili ni single dose, ukichanjwa ndio umechanja and its done deal, umemaliza.

NB. Ukiondoa chanjo hizi mbili za bure za kitaifa, Taasisi mbalimbali zilizoko nchini zimeingiza chanjo tofauti tofauti kuwachanja watu wake. Chanjo hizo ni ama ni kwa ajili ya watu wao tuu, ama mahospitali binafsi makubwa yote yanachanja kwa kuchagua kutokana na urefu wa mkono wako.

Hivyo ukiondoa hii chanjo ya JJ ambayo kuna chanjo za
Janssen Ad26, Sinovac, Pfizer/BionTech, Sinopharm, AstraZeneca, na Moderna ambazo zimethibitishwa na WHO lakini pia kuna chanjo nyingine kibao ni nzuri lakini hazijathibitishwa na Who ikiwemo Sputnik ya Urusi, inayochanjwa Zanzibar. China wana chanjo zao, India wana zao, Israel wana zao, Urusi wana zao, Poland wana zao, very unfortunately kwa bara la Africa hatuna chanjo yoyote hivyo tunasubiri ama kuletewa za hisani ama tununue toka kwa Mabeberu !.
P
 
Hivi chanjo zote ni 2 dose? Au ni single dose? Maana sioni viongozi kuchanja dose ya pili ya corona.
Ni muda sasa umepita ,,viongozi mbali mbali walichanja single dozi ya chanjo,lakini sioni popote kupata chanjo ya 2 u kuhamasisha watu wamalize dose ya 2.

Kwa Mwenye uelewa dose hapo kwetu ni 2 au 1?
kwengine unapigwa dose ya 1 baada ya week 2/ hadi 3 unapigwa dose ya 2,, ndipo unapata certificate ya chanjo.
Johnson & Johnson ni moja tu. Source; maelezo ya Rais siku alipochanjwa
 
Sawa kabisa, badala kujiuzulu na kuacha kuweka sain kwenye posho za bunge analeta bla bla kibao. Kumbe macho ku mchuzi hana jipya.

Amewafanya watu wasahau kwamba clip zile za kwichikwichi ni yeye sasa anaitwa askofu dr. Mtu wa mungu.

Angekuwa hachukui mshahara au posho angekuwa na mashiko sana kwenye mada zake ila sasa nae macho ku mchuzi mdomo ku xxxx.
Mwaka 2013 alikuwa ana miliki gari Hammer ya Tsh mil 400 enzi hizo leo mil 10 tu kila mwezi kelele kibao.

Huyu jamaa alikuwa mteja kwenye cafe yangu ya mtandao miaka hiyo pale ubungo wakati huo hata computer hana. Ndio kwanza alianzisha kanisa pale Ubungo juu.

Ule msamaha wa kodi kwa taasisi za dini aliutumia kupiga hela ndefu yeye alikuwa anautumia kwa kuuza magari.
Polisi walimnyaka alihangaika sana lakini alifyatuka ki aina sababu ya pesa.
Watu wengi hawajui longolongo zake.

Hata pale kanisani kwake alinishangaza kuna bro alikuwa yuko vizuri sasa dada yake gwajiboy alimpenda huyo braza, basi gwajiboy kavunja uchumba kamlengesha jamaa kwa dadake wakaoana, kamwacha msichana wa watu kachanganyikiwa. Ana mambo mengi ya longolongo

Wengi hawajiulizi mtu mwenye kumiliki asset kama mil 400 gari tu achilia mbali asset nyingine miak ya 2012 iweje mpaka leo hajengi kanisa lake mwenyewe
Katika ma conman huyu jamaa ni number one.

Pamoja na ujanja ujanja nimekubali the chap is really smart upstairs kwa kuwatumia wajinga.
 
Kumbe na wewe ubongo wako ni mdogo kama wa mamba!?,kuona watu kwenye foleni ndo unadhani watu wamekubaliana na chanjo!?,fanya research ndogo, pita mtaa wowote katika mkoa wowote uliopo jaribu kuuliza watu tofauti tofauti kuhusu chanjo, majibu utayapata.

Fanya hivyo hata kwa wiki nzima. Walio tayari kuchanjwa huwezi kuwakosa, Ila waweza wasifike hata 1% ya watanzania milioni 60. Tusibezane mnaotaka mkachanjwe, wengine hatuchanji hata kwa mtutu wa bunduki.
Wewe sio wa kwanza hata Mungu mwenyewe alishindwa kuwalazimisha watu alibaki Nuhu peke yake dunia nzima akaingia kwenye safina.
Ukikataa hakuna cha ajabu.
 
Kila mtu na mitizamo yake Paskali usianze kulazimisha watu wakubaliane na wewe maana umekuwa chawa kwa kiwango cha lami , baada ya mwendazake kutaka kukuua na njaa sasa naona umeanza kwa spiiidi kujipendekeza, kwani kipindi kile si wewe wewe ulimuuliza maswali ya kejeli na yeye akakukejeli, hii ni nchi huru wasioamini chanjo waachwe wasionekane wasaliti maana haya mambo ni imani, kama mama yeye kachanja isiwe ndio kila mtu akubali kisa yeye kachanja, mwendazake mbona alipokua na strategy yake ya nyungu na mabupiji mbona waliokua hawataki hawakupiga yowe la kiasi hiki? Paskali acha Uchawa umeshazeeka sasa
 
Hizi chanjo hazipingwi kwa kuwa ni chanjo. Kinachopingwa kinapingika kimsingi.

Chanjo huchukua miaka 10 or zaidi kutambua short, mid and long term effects zake. Hizi chanjo hazijapitia uangalizi huo.

Zimetengenezwa under emergence na kiuhalisia zinazo nyingi za hizi chanjo zimeshaonesha aina nyungi za effects kana: damu kuganda.

Ndio maana, mashirika yaliyotengeneza chanjo hizi, kwa kuhofia kushtakiwa, wanalazimisha serikali wanaxo supply kujaza form ya serikali zina nunua kwa their own risk. Ba serikali zote wanalazimisha watu kujaza "consent form"View attachment 1896963
Hata hayo makampuni yanayo tengeneza hizi chanjo hayajui short, mid na long term effects za hizi chanjo kwakua hazijakua tested enough, hivyo usalama wake ni mashaka.

Sasa wanao ongea waachwe waongee kwakua ni haki yao kimsingi na pia wana hoja za msingi.
Hiyo miaja 10 amepanga nani tuanzie hapo, sisi au wao.
Kama sio sisi hoja uzi wako uishie hapo. With all the advancement in science and tech. Unategemea muda ubaki ule ule au uzidi ila usipungue. Ongea mambo mengine ila hayo ni mawazo ya watu hawajaenda shule. Unasomeka uko intelligent enough upstairs.
Poleni sana
 
Mpaka sasa Tanzania, imeleta chanjo mbili ambazo ndizo rasmi za kiserekali na kitaifa, chanjo hizi ni Johnson & Johnson ya Marekani ambayo tumepewa kwa msaada wa watu wa Marekani inayotumika Tanzania Bara, Chanjo ya Sputnik ya kutoka nchini Urusi iliyotolewa kwa msaada na watu wa Urusi inayotumika Zanzibar.

Chanjo zote hizi mbili ni single dose, ukichanjwa ndio umechanja and its done deal, umemaliza.

NB. Ukiondoa chanjo hizi mbili za bure za kitaifa, Taasisi mbalimbali zilizoko nchini zimeingiza chanjo tofauti tofauti kuwachanja watu wake. Chanjo hizo ni ama ni kwa ajili ya watu wao tuu, ama mahospitali binafsi makubwa yote yanachanja kwa kuchagua kutokana na urefu wa mkono wako.

Hivyo ukiondoa hii chanjo ya JJ ambayo kuna chanjo za
Janssen Ad26, Sinovac, Pfizer/BionTech, Sinopharm, AstraZeneca, na Moderna ambazo zimethibitishwa na WHO lakini pia kuna chanjo nyingine kibao ni nzuri lakini hazijathibitishwa na Who ikiwemo Sputnik ya Urusi, inayochanjwa Zanzibar. China wana chanjo zao, India wana zao, Israel wana zao, Urusi wana zao, Poland wana zao, very unfortunately kwa bara la Africa hatuna chanjo yoyote hivyo tunasubiri ama kuletewa za hisani ama tununue toka kwa Mabeberu !.
P
Shukran sana mkuu
Kwa ufafanuzi mzr..
 
Akahamasisha watu kutumia natural available resources kulinda raia. Watu wakashangilia na tukavuka
Ulijuaje tumevuka na data zilipigwa marufuku ikabaji one man show.

Yeye ndio ikabaki source ya taarifa zote za uviko. Waliokuwa wanaujua kweli wameamua kurekebisha mambo move on brother, jamaa alishasema asipangiwe ulitegemea nini.

Bahati nzuri au mbaya alikuwa hana nguvu kuzuia data za hospitali za taasisi kama Rugambwa,Agakhan,Buhando,KCMC n.k ambazo maaskofu walikuwa na data real time za uviko na walikuwa wanatoa nyaraka za taahadhari tofauti na maneno ya Bw.mkubwa.

Mi nimechanjwa single dose 12 Aug no side effects mpaka sasa.

Iran na Cuba na India wanachanja kwa chanjo yao unadhani lwenye mataifa hayo kuna watu wanapiga hela kwa covid feki.

Tusifanye TZ ni unique dunia nzima
 
Ulijuaje tumevuka na data zilipigwa marufuku ikabaji one man show.

Yeye ndio ikabaki source ya taarifa zote za uviko. Waliokuwa wanaujua kweli wameamua kurekebisha mambo move on brother, jamaa alishasema asipangiwe ulitegemea nini.

Bahati nzuri au mbaya alikuwa hana nguvu kuzuia data za hospitali za taasisi kama Rugambwa,Agakhan,Buhando,KCMC n.k ambazo maaskofu walikuwa na data real time za uviko na walikuwa wanatoa nyaraka za taahadhari tofauti na maneno ya Bw.mkubwa.

Mi nimechanjwa single dose 12 Aug no side effects mpaka sasa.

Iran na Cuba na India wanachanja kwa chanjo yao unadhani lwenye mataifa hayo kuna watu wanapiga hela kwa covid feki.

Tusifanye TZ ni unique dunia nzima

Huyo aliyegushi data, amekuambia za kweli ni zipi? Nani anayegushi data kuliko wafanya biashara wa chanjo? It is inevitable kwamba we are different in many ways and our difference is our uniqueness. Tulitoboa. Hatukusia mauti mitaania kama sasa. Mbona hata sasa hawatanganzi lakini tunaona vifo vingi sana vya covid na wala havifichikki?
 
Back
Top Bottom