Aende Tanganyika Packers kwa Mwamposa, aone nyomi la watu.watu wanajazana kwenye mabasi na kariakoo hamsemi, kwenye kuaga mwili ndio mnakuja na ngonjera. kwanza si naskia watu walikuwa kidogo sana.
Sasa unamlazimisha nani wewe pimbi,mimi barakoa nafutia viatu vikichafuka.Mnaendelea kukatika kwa ujinga wenu na bado
Kwaiyo ukivaa Barakoa hupati Corona au autokufa?Hivi wanaotangaza kuugua corona na inaowaondoa haitoshi kuwa picha?
Beberu weeee !! Tanzania hakuna coronaKwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya COVID-19.
View attachment 1731117
Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.
Hata Profesa alikuwa mbishi kuliko wewe keshaanza kutinga barakoa... unadhani corona inapenda kubishiwa? Ipo na inaua... changanya na zako kabla hujafa kibudu.Haya maneno wewe sio wa kwanza asee.
Mnatamani sana lakini Muumba anatulinda kwakweli.
Rejea mikusanyiko ya nyuma kwenye soka,kampeni n,k
Nishajiandaa kukununulia sanda,bingwa wa kutukanaSasa unamlazimisha nani wewe pimbi,mimi barakoa nafutia viatu vikichafuka.
Sivai na wala sifikirii kuvaa.
Hizi ni akili zako Mkuu? Werevu hawaachi milango wazi kutegemea kudra za Mungu bali huifunga milango yao ili wasimjaribu Mungu.Kwaiyo ukivaa Barakoa hupati Corona au autokufa?
Kutabiri yasiyotekelezekaUchuro wa nini mkuu?
Mdio mko kazini mnapandikiza virusi au?Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya COVID-19.
View attachment 1731117
Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.
Mwambie huyu MATAGA labda atakuelewaHata Profesa alikuwa mbishi kuliko wewe keshaanza kutinga barakoa... unadhani corona inapenda kubishiwa? Ipo na inaua... changanya na zako kabla hujafa kibudu.
Mimi sifi kwa Corona asee,labda Mbunye ndo zitaniua ila sio Corona.Hata Profesa alikuwa mbishi kuliko wewe keshaanza kutinga barakoa... unadhani corona inapenda kubishiwa? Ipo na inaua... changanya na zako kabla hujafa kibudu.
Watu wanakufa kila siku tanzania kwa magonjwa tofauti....kwa nini ukomalie korona tu?Mkuu unajua watu wengi wameaminishwa kuwa hakuna Corona Tanzania, na hakuna anayekufa kwa Corona. Wanaenda kwa imani hiyohiyo mpaka leo. Hatari sana.
Nunua alafu mwisho wa siku utaveshwa wewe,mimi utaniacha nakula gambe mwanzo mwisho.Nishajiandaa kukununulia sanda,bingwa wa kutukana
ππππ Mtanyoooka tu safari hii , wanafiki wakubwa nyie !Watu wanakufa kila siku tanzania kwa magonjwa tofauti....kwa nini ukomalie korona tu?
Valisha barakoa familia yako na ji-lock down nayo pia...
Unadhani atatiwa kwenye sanda huyo? Kuna ile mifuko ya kuzuia virusi visisambae na watu maalum wa kuzika maiti aina hiyo...Nishajiandaa kukununulia sanda,bingwa wa kutukana
Hebu acha kutisha watu! Magu ameizika corona! Hapa nchini trace ya corona iliyopo ni ile yenye ku'behave'! Mungu ataendelea kutulinda! Ww shona barakola yako na uivae kama huna imani!Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya COVID-19.
View attachment 1731117
Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla taifa halijaingia kwenye hatari huko mbeleni. Corona ipo na haina utani kabisa.
Sawa,ila tusitabiriane mabaya eti,next week watu watakufa wengi kwa Corona kwasababu ya msongamano wa pale taifa jana na leo.Hizi ni akili zako Mkuu? Werevu hawaachi milango wazi kutegemea kudra za Mungu bali huifunga milango yao ili wasimjaribu Mungu.
Tutakapoona ID yako haijibujibu tutajua ushapigiwa hodi... acha ujuba chukua tahadhari...
Wewe tulia wacha kudandia mambo yanayo hitaji kutumia akili.Watu wanakufa kila siku tanzania kwa magonjwa tofauti....kwa nini ukomalie korona tu?
Valisha barakoa familia yako na ji-lock down nayo pia...
Umenena mkuuUnadhani atatiwa kwenye sanda huyo? Kuna ile mifuko ya kuzuia virusi visisambae na watu maalum wa kuzika maiti aina hiyo...
Mwache afanye dhihaka na ujuba wa kisiasa tutamsikia...