Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

hahahaa mpka wauza Katanga mkuu

hatari mnooo
 
Haya in matokeo ya vyuma kukaza.

Zamani maisha yalikuwa safi sababu mlizoea kuishi kiujanjaujanja.

Maisha ya kunyoosha mstari

Shame on you Kiria, kitakachofuatia hapo ni kuingia kujiuza
 
mara nyingi usimwamini mwanamke anapokwenda mbele ya watu nakusema mambo ya ndani ya maisha yao si mwanamke mzuri halafu wanawake kama joyce utaishi nae kwa raha na utampa kila kitu lakini pindi akipata bwana mwingine akampenda basi ukimgusa tu atatafuta sababu akuaibishe mbele ya umma atasahau yote uliyomfanyia na atakuzushia mambo mengi yalinikuta haya mke wangu wa ndoa nilikuwa nampa kila kitu mpaka gari la kifahari 4x4 anaenda nayo offisini lakini ni bure leo hanijui
 
Kesi za ndoa usihukumu kabla hujasikia pande zote mbili.
Muwamba ngoma......
Lkn family issues kuzianika kwenye media ndiyo tatzo pekee lenye kutoa taswira ya ndoa yao ilivyo.
 
tiku wewe siyo binaadam ni malaika kwa kweli


 
Uyu si ndo anawasemeaga wanawake wenzake imekuaje nayeye tena.ataje sababu yakweli zayeye kupigwa sio kukimbilia kutafuta huruma kwa watu maana inawezekana yeye ndo mwenye matatizo,maana mwanamke mwenye akili kamwe hawez kuanika mambo yake na nyumba yake hadharani.Alafu wanawake wanataka 50/50 sasa kwanin alalamike kulipa bills.Kazi tunayo wanaume.
 
Huyu joisi hajasema alimtamkia nini mume wake mpaka akaamua kumfundisha adabu! Aseme alifanya nini mpaka kupigwa? Sio unaleta abali za kupigwa na kugalimia família unaacha chanzo!,sababu ya kupigwa umeificha. Sio ajabu alimtusi mume, au ashaanza kugegedwa uko nje. Labda niwaeleze wadada mnaosimamia familia kwa faida yenu. Wanaume mnaowaghalamia ni Atari kuliko wanaowagharamia. Wanaitaji kueshimiwa zaidi, kwani unapomkosea anahisi ni kugharamia sababu ya wewe kumdharau!!. So kuweni mákini zaidi. Usijedhani mume anajali au kuesabu gharama unazoingia katika swala la kumuheshimu! Unadhani mume wa kilia kwa pato lake angepanga jumba iloo? Huyu mdada mwambieni ajenge sio kupanga nyumba za gharama, ukihisi kubanana unatoa shobo, lazima upigwe tu. Amna jinsi. Uwe na adabu kwa mume.
 
.kumbe mwanaharakati na mtetezi wa wanawake anapigwa na mumewe?
Wengi huwa wanahubiri yaliyowashinda wao wenyewe. Wale kinamama wengi waliopo TAMWA etc ni masingle moms. Haya mambo magumu.
 
tutaaminije kama kileo hatoi hata senti ndani ya nyumba? au anatoa kidogo tofauti na mkewe anavyotaka kulingana na hali yake ya kiuchumi? lazima tusikie upande wa pili ili tuweze kujaji.hata hivyo anakosea masuala ya ndani kuyaanika nje kwa faida ya nani?
 
Jamani tunapowapiga wanawake na tuwapige kwa akili. Huyu kipigo kilimzidi hivyo ubongo umepararaizi maana si kwa miropoko hiyo.
 
Duh.... Mi ndio maana naona ni Bora tuachane hadi nipate mkwanja
 
Uko sahihi kabisa mkuu, yaani pale ameongeza tatizo na sio kutatua, kutoa siri za mwanaume unayelala nae kitanda kimoja mkiwa watupu ni kujidharirisha na wewe mwenyewe

Moja kati ya sifa za mke bora ni kubeba mapungufu ya mumeo, kumsitiri na kumsaidia afikie malengo. Kama unaona hupati ulichokitarajia, unasepa tu kistaarabu sio kujianika mtandaoni kutafuta huruma kwa jamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…