Baada ya kumsafirisha mke najisikia amani, furaha na wepesi wa kutosha. Ndoa inahitaji umakini usiomithilika

Kuna Kitu kikubwa Sana hapa. Sometimes Kuna tabia tunaziona ni za kawaida Sana wakati wa uchumba Ila zinakuja kukomaa na hazizuiliki Tena. Nina mfano japo nilikimbia mbio.
Huyo mke ni mwizi na mbinafsi! Unaiba hela ya mume wako ili iweje.. ni sawa na kujiibia wewe mwenyewe.

Na mume itakua ana shida, mwanamke inakuaje hadi anakua mjeuri kwako
 
Mwizi ni mwizi hata akiwa na mamilioni akiona ten imening'inia ataanza kudondosha udenda.
 
Naona imekuuma Sana vipi una dada wengi au mabinti wengi mkuu ....?
 
Inategemea na kupato cha mtu. Kama mtu analalamika kuibiwa aftatu unadhani hela ya fungate ipo kweli. Sio wote wana uwezo huo.
 
Mwanamke mwizi na mdokozi ni hafai atawafundisha nini wanao....?

Kama anashida na hela kwa nini asiombe hadi adokoe...?

Je anajua hizo hela anazo dokoa zilikua kwenye bajeti gani...?

Nilicho gundua wewe jamaa ufeminist umekuteka na hufurukuti ndio maana unatumia hisia kwenye mambo ya akili
 
Wengine hawataki wake zao wafanye kazi yoyote ya kumuingizia kipato, lazima wadokolewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…