ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Huyo mke ni mwizi na mbinafsi! Unaiba hela ya mume wako ili iweje.. ni sawa na kujiibia wewe mwenyewe.Kuna Kitu kikubwa Sana hapa. Sometimes Kuna tabia tunaziona ni za kawaida Sana wakati wa uchumba Ila zinakuja kukomaa na hazizuiliki Tena. Nina mfano japo nilikimbia mbio.
Na mume itakua ana shida, mwanamke inakuaje hadi anakua mjeuri kwako