Baada ya kumsafirisha mke najisikia amani, furaha na wepesi wa kutosha. Ndoa inahitaji umakini usiomithilika

Wewe umeoa gube gube. Huyo hata umuweke kwao miaka 10 hatoacha tabia yake.

Usitarajie mabadiliko yeyote toka kwao maana huko ndio chimbuko la tabia zake mbovu. Cha zaidi tarajia kuongezeka kwa tabia mbaya akirudi maana sasa yupo mafunzoni.
😳😳😳 mkuu unanitisha
 
Kama ana tabia ya kukwapua vijichenji vyako sidhani kama atakuja kuacha, hiyo ndio tabia yake inaonekana halafu anaonekana ni mtu ambae hana malezi bora kabisa, itachukua miaka mingi sana mpaka aje abadilike.
Oh, sasa nifanyaje mkuu?!!
 
Aisee!!!!
Sijui tumewakosea nini....
 
Unaongea kama vile jambo rahisi rahisi tu kambadili tabia mtu mzima.
Hapo hata aweke msimamo vipi hayo matusi ni tabia ipo kwenye ubongo na damu.
AmiIdisha msimamo wata achana tu.
hivi kweli watoto watatoa matusi kama utakuwa mkali wa kutosha? Au ndiyo akina nyinyi munaogopa watoto?

Tabia yo yote mtu anaweza kubadili pale anapokubali, labda kama kuna issues nyingine ambazo zimejificha.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Acha pesa kidogo kwenye suluari Kama elfu 20 hivi.

Jifanye huna habari nazo kabisa.
Usiwe siriaz stori zako ziwe za furaha furaha tu.

Hapo utapata habari za nguo kufuliwa vizuri na kupigwa pasi iliyonyooka sana.
Itasaidia kuacha tabia?!!!
 
Pole kwa hiyo changamoto.

Ingawa kwa mtazamo wangu nahisi ni tabia ambazo zinaweza kurekebishika.

Binafsi nashukuru wangu hana hiyo tabia ya udokozi.

Yaani huwa naacha hela makusudi kwenye mifuko hivyo vi elfu 14 ama 8 lakini utavikuta vyote

Ishu ya TV nunua nyingine ya pili then kila mmoja awe na room ya kubadili channel apendavyo.

Kukalisha andiko langu, nimebaini ni kama huyo mwenzako umemchoka.

Wanasema ukimchoka mtu utamtafutia visababu ila mradi usiweze kuishi naye.
 
Bado mna utoto.Mmeoana mwaka mmoja tu ndiyo unaweweseka?Mkwe bado haujakua.
Si utoto na wala si mwaka mmoja, hicho kipindi ni tangu pale nilipoamua kuzikabili changamoto kwa kukaa mbali. Ndo maana nikasema nina mwaka na nusu sijaangalia TV kwa ukamilifu.
 
Aende zake kabisaπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…