Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheap excuses. Naamini aloeleza ndugu hapo juu ni mfano tu wa mlolongo wa mambo yanayomnkosesha amani nyumbani kwake. Kama unamjua vizuri mtu mwenye gubu utaelewa. Ndiyo, anaweza tu kuangalia taarifa ya habari chumbani pekeyake, unadhani hiyo ni nzuri? Yaani mwanamke hawezi kusucrifice dakika 15 za tv kwa amani akakaa na mumewe na watoto sebleni kwa amani? Hizo pesa angekuwa hampi unafikiri angekaa? Ni tamaa, mama wanyumbani anakuwa na michezo yapesa upatu kila kona, matokeo ni wizi na umalaya.sina details sn ila nahisi unambana sana waifu wako, kiasi anakosa visenti vya matumizi yake madogomadogo (hadi akuibie). hiyo sio poa, maana mwingine akianza kumpa, ndio itakuwa tamati ya hiyo ndoa.
hayo ya kuangalia tv, ni madogo, huna haja ya kushindana nao, ww una options nyingi. wape space, na hizo ndo sacrifice za ndoa.
hayo mengine ya kurudisha mke kwao ndo nayaskia leo, hivi bado yapo miaka hii? ili kitokee nini? na je akipata sweet baby mwingine huko? utarudi hapa kufungua uzi mwingine au utaendeleza huu?
bibie, huo mwitiko!,,, mashallah!Abeee
Ubinafsi? Yani kumuwekea mumeo taarifa ya habari angalie kwa dakika 50 ni ubinafsi? Wewe siku nzima unaangalia mpaka marudio ila mumeo kuomba saa moja tu ya kuangalia unaita ubinafsi?Inawezekana ni kati ya wale wababa wabinafsi ambao akiwepo nyumbani wengine hawaangalii TV ni yeye tu anajipendelea.
😂😂Nayaonea wivu hayo mapumziko yako.
mkuu kumbe hata huelewi maana ya common sense, hebu muulize gugu halafu urudi, labda tutaelewana.Common sense yako haiwezi kufanana na ya mtu mwingine. Haiwezi tokea.
Anamiliki smart phone , taarifa atazipata mitandaoniUweke Tv mbili kwenye chumba na sebule kweli? Hivyo vijisenti vya shilling 300, 700, 150 ndo vinunue TV kweli?
Yaani hapa duniani ni tafrani tupuNa kuna wanaume wanaowapata wanawake ambao hawana tabia hata moja hapo halafu wao ndio wanazingua.
Maisha hayana usawa!
Ndugu. Nimetumia neno inawezekana maana wapo wanaume ambao nimewaongelea hapo.Ubinafsi? Yani kumuwekea mumeo taarifa ya habari angalie kwa dakika 50 ni ubinafsi? Wewe siku nzima unaangalia mpaka marudio ila mumeo kuomba saa moja tu ya kuangalia unaita ubinafsi?
Sasa hapo mbinafsi ni nani? Wewe mwanamke uliyeangalia TV mchana mzima kwa masaa zaidi ya 12 ila bado unavuta domo au mumeo anayeomba kuangalia TV kwa dakika 50 tu
huyu anamtetea mwenye tabia kama zake mkuu.Ubinafsi? Yani kumuwekea mumeo taarifa ya habari angalie kwa dakika 50 ni ubinafsi? Wewe siku nzima unaangalia mpaka marudio ila mumeo kuomba saa moja tu ya kuangalia unaita ubinafsi?
Sasa hapo mbinafsi ni nani? Wewe mwanamke uliyeangalia TV mchana mzima kwa masaa zaidi ya 12 ila bado unavuta domo au mumeo anayeomba kuangalia TV kwa dakika 50 tu
Msalimie sana,mwambie atayeyuka unavyomfungia ndani begi na joto la dar.BabyCare hajambo, niko nae hapa yuko mbioni kunipa cha asubuhi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe chumaulete ipo ndani af unahangaika na maji na mafuta ya mwamposa
Nakazia[emoji419]Ndoa is not for everyone....[emoji4]
😂 😂 😂 😂 😂 mkubwa namuweka frijini hayeyukiMsalimie sana,mwambie atayeyuka unavyomfungia ndani begi na joto la dar.
Usiombe kuoa mwanamke mdokozi, hata umpe pesa, atadokoa tu zingineNyienyie usiombe uolewe na mwanaume bahiri na huna chakufanya aisee hakuna rangi utaacha ona wewe mkuu ni mbahiri ndomana inapigwa sachi
Unajua kwamba mbs ni gari kuliko kulipia kifurushi cha 10k kwa mwezi nzima.Anamiliki smart phone , taarifa atazipata mitandaoni
Kwahiyo unapiga pul na barafu[emoji23][emoji23][emoji23],[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkubwa namuweka frijini hayeyuki