[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], eti kufuga binadamu,thubutu, tena huko ndiyo nitamezeshwa Mbaazi za milele, ile midonge mikubwa kubwa
kwangu ni mwiko kufuga paka, mbwa, hata binadamu
Kwani wewe mkuu umeoa au umeolewa?Basi asililize hata radio tu. Aache ufala wa vitu vidogo vidogo, kazi ya mume ni kuhudumia familia na sio kugombania remort ya TV na watoto, mimi hata kuwasha TV siku hizi siwezi,
hapana, madam mtoto ninaye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], eti kufuga binadamu,
Muda ukifika utaoa.
[emoji419]Kwani wewe mkuu umeoa au umeolewa?
Mtoto ulimpataje???hapana, madam mtoto ninaye
na nimejua nguvu ya Nyeto
aaah, mserereko tu
2016, nilimwagia ndani Chiku wa MakumbushoMtoto ulimpataje???
Ndoa ni biashara ya mwanamke. Ununue TV mbili kwasabb ya mwanamkeπππBasi atulie asilalamike. Nimemfungua tu mawazo inawezekana uwezo wa kununua Tv mbili anao lkn hakuwahi kufikiria hilo.
Inawezekana ni kati ya wale wababa wabinafsi ambao akiwepo nyumbani wengine hawaangalii TV ni yeye tu anajipendelea.
ni sawa mke ana mdomo lakini ukute anaongea kitu cha kweli.
Biashara means mteja anafaidika.Ndoa ni biashara ya mwanamke. Ununue TV mbili kwasabb ya mwanamkeπππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],endelea kuselfika.2016, nilimwagia ndani Chiku wa Makumbusho
Software upgradeAmeenda ku upgrade tabia...... π€£
mmeo mzabzab hajambo ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],endelea kuselfika.
Dah π π€£ π π, tufanye nimeolewaKwani wewe mkuu umeoa au umeolewa?
Aseee! Ukweli mtupu. [emoji23][emoji23][emoji23]Umuofia kwenu!!
Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;........
1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha StarTv kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.......
"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."
"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah
2. Nimepumzika kushuhudia mabegi na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi....
3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo....
4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda....
5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku....
6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka.....hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.
Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli?!!!!! Arudi ili nije kupata stress tena?!!!!!!!
Ndoa..........mh!
Huyo jamaa ni immature tu. Likizo kwenye ndoa means mnaenda wote as in vacation, more likely inatakiwa iwe kama fungate, mnaenda mnapumzika pamoja na kuyaongea yale ambayo yanawakwaza kwa utaratibu na kuona whats a way forward ili ndoa isiwe chungu to both of you. Sasa mmoja kati yao akienda kwao inasaidia nini..? Utoto tuMuwe mnatupa likizo kama huyo mwenzenu alivyofanya jamani. Ni muhimu sana
Nimemuacha ni bahili hanipi hela[emoji23]mmeo mzabzab hajambo ?
so uko singo ?Nimemuacha ni bahili hanipi hela[emoji23]
Ukimpeleka kwao iwe umemuacha moja kwa moja na sio utegemee arudi amejirekebisha.Huyo jamaa ni immature tu. Likizo kwenye ndoa means mnaenda wote as in vacation, more likely inatakiwa iwe kama fungate, mnaenda mnapumzika pamoja na kuyaongea yale ambayo yanawakwaza kwa utaratibu na kuona whats a way forward ili ndoa isiwe chungu to both of you. Sasa mmoja kati yao akienda kwao inasaidia nini..? Utoto tu
Ndiyo naenjoy kama wewe.so uko singo ?
mie siko singo, nna BabyCareNdiyo naenjoy kama wewe.