Baada ya kumsafirisha mke najisikia amani, furaha na wepesi wa kutosha. Ndoa inahitaji umakini usiomithilika

Ndoa ni biashara ya mwanamke. Ununue TV mbili kwasabb ya mwanamke😁😁😁
 
Aseee! Ukweli mtupu. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muwe mnatupa likizo kama huyo mwenzenu alivyofanya jamani. Ni muhimu sana
Huyo jamaa ni immature tu. Likizo kwenye ndoa means mnaenda wote as in vacation, more likely inatakiwa iwe kama fungate, mnaenda mnapumzika pamoja na kuyaongea yale ambayo yanawakwaza kwa utaratibu na kuona whats a way forward ili ndoa isiwe chungu to both of you. Sasa mmoja kati yao akienda kwao inasaidia nini..? Utoto tu
 
Ukimpeleka kwao iwe umemuacha moja kwa moja na sio utegemee arudi amejirekebisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…