Baada ya kumsafirisha mke najisikia amani, furaha na wepesi wa kutosha. Ndoa inahitaji umakini usiomithilika

Baada ya kumsafirisha mke najisikia amani, furaha na wepesi wa kutosha. Ndoa inahitaji umakini usiomithilika

Kuishi mwenyewe ni bora zaidi, kuna wanawake kazi yao ni kukupa stress 24/7, unakuta jitu libinafsi na wala halina shukrani hata ulifanyie nini!

Mimi wangu alianza chokochoko za naenda kwetu, huo ukawa wimbo kila muda. Kuna siku akajichanganya, naomba nauli naondoka, nikampa chaap, asubuhi nikampeleka Ubungo. Sasa mwaka wa 3 huu maisha yamekuwa na amani sana, kila siku analilia kurudi..huwa nawaza arudi kunipa stress tena?

NB: Mnaotaka kuoa mjitafakari mara mbili, kuna muda wale jamaa wa KATAA NDOA, wana hoja!
Tatizo la malezi na kuiga utandawazi wa jamii za magharibi , we fuatilia hata malezi ya mabinti wadogo katika familia nyingi uone bomu linalotengenezwa .
Plus hii ya haki sawa na kutaka kumvimbisha kichwa mwanamke achukue nafasi ya mwanaume katika familia .
Ni hatari sana
 
Wewe umeoa gube gube. Huyo hata umuweke kwao miaka 10 hatoacha tabia yake.

Usitarajie mabadiliko yeyote toka nyumbani kwao maana huko ndipo penye chimbuko la tabia zake mbovu. Cha zaidi tarajia kuongezeka kwa tabia mbaya akirudi maana sasa yupo mafunzoni.
Tena mijanamke ya hivyo ukimpeleka kwao kama hivyo akifika huko atagawa mbususu kwa masela wa kijijini kwao waliokuwa wanamla kabla yako (wanawake huamini kwamba akigawa mbunye hovyo anakukomoa)
Utashangaa anarudi na mimba
 
Nyienyie usiombe uolewe na mwanaume bahiri na huna chakufanya aisee hakuna rangi utaacha ona wewe mkuu ni mbahiri ndomana inapigwa sachi
Ulifaa uolewe na kaka yangu akunyooshe hiyo tabia yako mpaka akili zikurudi
Kuna siku nimeenda kumtembelea Bro ,usiku nikapata kazi kubwa ya kumvuta na kumzuia asiendelee kushusha kipondo kwa shem ,kosa ilikuwa ni hiyo hiyo tabia ya udokozi halafu anaulizwa analeta uhuni , siku hiyo aliwekewa mtego mhuni kaacha pesa za noti kadhaa kwenye suruali halafu kavunga anaenda bafuni ,akarudi muda mfupi chumbani anakuta pesa hamna mfukoni ,wee kiliumana
 
Kiongozi bora angebaki tu nyumbani na utumie njia nyingine kumrekebisha.
Huko ulikompeleka ndipo alipokulia na akawa hivyo alivyo. Hapo umeenda tu kumuongezea maujuzi na kumkutanisha na vibwana vyake vya kitaa.
Hapo umeongeza tatizo lingine Atarudi papuchi imechakaa
Yaani dah..!!!!
Demu atagawa sana **** mpaka akirudi kwa mumewe kitu ishakuwa bwawa hugusi hata ukuta
 
Ukioa alafu uliemuoa akakupa nafasi kidogo ya kukuacha single mara nyingi yeye hupoteza ile nafasi mzima
 
Umuofia kwenu!!

Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;

1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha Star TV kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.

"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."

"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah

2. Nimepumzika kushuhudia mabega na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi.

3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo.

4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda.

5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku.

6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka, hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.

Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli? Arudi ili nije kupata stress tena?

Ndoa..........mh!
Mwanamke yoyote ana akili ya maana hata kama ni mama yako mzazi ...tatizo linakuja mwanaume mwenye akili akioa mwanamke asiye na akili ....nibora mwanaume asiye na akili ndiyo afunge ndoa na mwanamke asiye na akili
 
Shame,walikomaa kwenye ndoa hawapigani hadharani unless wewe ndomwenye kiherehere chakuingilia mambo ya watu,kitendo cha kaka yako kuwa abusive asingeweza kuwa na mke kama me
 
Iwe jumla hiyo mkuu. Ndoa ni utapeli mkubwa ona sasa ulivyokuwa unatapeliwa mda mchache tu wa kuwa single umekuwa na amani. NDOA NI UTAPELI
Ndoa za sasa hivi zipo kwaajili ya kuwapunguzia mzigo wa matatizo upande wa kwa mwanamke, Nilimsikia Mama mmoja anasema huyu mwanaume tulijua amemuoa mtoto wetu ili kutupunguzia mzigo lakini naona ametuongzea mzigo kisa jamaa alijibu hana pesa baada ya kuombwa na Mama mkwe wake.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Ulifaa uolewe na kaka yangu akunyooshe hiyo tabia yako mpaka akili zikurudi
Kuna siku nimeenda kumtembelea Bro ,usiku nikapata kazi kubwa ya kumvuta na kumzuia asiendelee kushusha kipondo kwa shem ,kosa ilikuwa ni hiyo hiyo tabia ya udokozi halafu anaulizwa analeta uhuni , siku hiyo aliwekewa mtego mhuni kaacha pesa za noti kadhaa kwenye suruali halafu kavunga anaenda bafuni ,akarudi muda mfupi chumbani anakuta pesa hamna mfukoni ,wee kiliumana
Safi sana hiyo.
 
Changamoto huwa haziishi na hutofautiana.
Mfano.
Umegundua mkeo anacheat, uendelee naye kwasababu ukiamuacha na kuwa na mwingine utapata anayecheat zaidi.
Maisha hayapo hivyo
Sio lazima uendelee nae. Wewe muache kama unaona ni sawa. Maisha ndo yapo hivyo kila mtu na akili zake
 
Ndoa za sasa hivi zipo kwaajili ya kuwapunguzia mzigo wa matatizo upande wa kwa mwanamke, Nilimsikia Mama mmoja anasema huyu mwanaume tulijua amemuoa mtoto wetu ili kutupunguzia mzigo lakini naona ametuongzea mzigo kisa jamaa alijibu hana pesa baada ya kuombwa na Mama mkwe wake.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kitu ambacho wazazi hawataki kukubali ni kwamba huo mzigo wa kuombwa hela,wanatakiwa wapewe list kabisa ya washikaji watakaochangia hayo mahitaji yao. Si wanagonga wengi? Iweje kisa anakaa kwako ndo ukasovu mambo yao? Juu ya wizi wa litoto lao? Linazoiba hizo liwe linawapa. Full stop
 
Back
Top Bottom