Baada ya kumsikiliza Profesa Mukandala, nakubaliana na CHADEMA kwamba wadai Katiba Mpya "kivyao"

Baada ya kumsikiliza Profesa Mukandala, nakubaliana na CHADEMA kwamba wadai Katiba Mpya "kivyao"

Kile kikosi kazi cha demokrasia ni tofauti kabisa na ile Tume ya Warioba ya akina Polepole.

Zitto Kabwe na Mkandala hawawezi kushughulikia katiba mpya bali watakuwa wanapiga danadana na vikao vyao huku wakilipwa posho na Serikali.

Wanawafanyia watanzania dhambi kubwa sana.

CHADEMA endeleeni na harakati za kuidai katiba mpya kivyenu wananchi watawaelewa tu.

After all wananchi ndio wenye katiba.

Pia soma > Ikulu, Dar es Salaam: Rais Samia apokea taarifa ya Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya wadau wa Demokrasia ya vyama vingi vya siasa

Maendeleo hayana vyama!
Hapa vyama viwili tu vinaweza kupanga mipango ya kuisukuma serikali kuridhia takwa la Katiba mpya. navyo ni TLP na NCCR- Mageuzi.
 
Wewe ulishangaa nini 17/3?

Ukoo wenu wote mko hai? Yaani nyie hamfagi huko kwenu?
Nyie si ndio mlimuita hadi Mh mungu , mara yesu au sio nyie?

Mkasema atakuwepo kwenye urais hadi achoke atake asitake?😂😂
 
Hicho ndicho kilichosahihi kukifanya,na kwa bahati mbaya hiyo ndiyo furaha ya CCM kutugawa na kutawaliwe.

Yote haya tunayoyaona ni premeditated, vyama vyote visivyo na mvuto wala kukubalika na Watanzania wenye akili wamewekwa kapu moja huku CCM wanapiga muziki beat soft wao Kazi yao kuimba na kucheza huku CCM wakila vinono.

Jambo hili ni kinyume na ubinadamu.

Upatikanaji Wa Katiba mpya upo mikononi mwa CHADEMA wakiungwa mkono na wananchi wazalendo huku wakipingwa na CCM na Mamluki wao.

Unafikiri nani mshindi?

Yaani kweli tusubiri tena uporaji kama ule Wa 2019&2020 ufanyike ndiyo tuandike Katiba mpya?

Seriously? Hapana,sitaki kuamini kama kuna Watanzania wataunga mkono pendekezo hilo.

Wakitaka tupige kura ya mlolongo tuone muitikio Wa wananchi.

Ushauri:Kwa kuwa uchaguzi Wa 2024/2025 umeshaibwa na CCM itapita bila kupingwa na wengine wamekubali kujisalimisha;

Tusiandae uchaguzi Wa SM na Uchaguzi Mkuu na badala yake tuwaache waendelea kutawala Ila waruhusu sisi wananchi kuendelea kuandika Katiba ili ikikamilika ndiyo tufanye chaguzi.

Vinginevyo hata tukisema uchaguzi ufanyike kwa Katiba hii mbovu matokeo yatawaleta CCM kutawala huku tukipata hasara ya fedha na muda Wa wananchi.

Sijasahau Mh Kikwete alipoahirisha mchakato Wa Katiba kupisha chaguzi za 2014&2015 alisema,"Twendeni kwenye uchaguzi na baada ya hapo mrithi wake aendeleze mchakato "Je,mrithi alipopatikana alisemaje?

CCM watawale nasi wananchi tuandike Katiba yetu mpya na Mara ikikamilika tunaanua Matanga rasmi.
Wenye nchi hawawezi kubali uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 ufanyike BILA katiba mpya!!!

lazima atapatikana wa kuleta katiba mpya tusubiri Tuone!!
 
Kile kikosi kazi cha demokrasia ni tofauti kabisa na ile Tume ya Warioba ya akina Polepole.

Zitto Kabwe na Mkandala hawawezi kushughulikia katiba mpya bali watakuwa wanapiga danadana na vikao vyao huku wakilipwa posho na Serikali.

Wanawafanyia watanzania dhambi kubwa sana.

CHADEMA endeleeni na harakati za kuidai katiba mpya kivyenu wananchi watawaelewa tu.

After all wananchi ndio wenye katiba.

Pia soma > Ikulu, Dar es Salaam: Rais Samia apokea taarifa ya Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya wadau wa Demokrasia ya vyama vingi vya siasa

Maendeleo hayana vyama!
Leo "dawa" inafanya kazi yake vizuri! Hongera!
 
Wameulizwa na mh Rais Samia, nchi jirani zina Tume Huru ya uchaguzi je hazina migogoro?

Wakabaki wanacheka cheka tu kwa aibu.
Duh!

Kwa hiyo hii ndiyo iwe sababu ya sisi kutokuwa na "Tume Huru"?

Lakini pengine sijakuelewa wewe, maana ya kuweka haya maneno hapa. Una maana rais haoni sababu ya kuwepo kwa Tume Huru, kwa vile haiondoi migogoro?

Sasa rais anataka iweje: tuendelee tu na tume hiyo hiyo iliyopo sasa, kwa vile haijasababisha uwepo wa migogoro hapa? Hivyo ndivyo anavyoamini rais?
 
Kile kikosi kazi cha demokrasia ni tofauti kabisa na ile Tume ya Warioba ya akina Polepole.

Zitto Kabwe na Mkandala hawawezi kushughulikia katiba mpya bali watakuwa wanapiga danadana na vikao vyao huku wakilipwa posho na Serikali.

Wanawafanyia watanzania dhambi kubwa sana.

CHADEMA endeleeni na harakati za kuidai katiba mpya kivyenu wananchi watawaelewa tu.

After all wananchi ndio wenye katiba.

Pia soma > Ikulu, Dar es Salaam: Rais Samia apokea taarifa ya Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya wadau wa Demokrasia ya vyama vingi vya siasa

Maendeleo hayana vyama!
Wananchi ndio wenye katiba. Viongozi wa siasa wana amsha amsha ari tu.

Mkandala amekwama tena🤣🤣
 
Zito amefikia malengo yake binafsi, na Rais amemhakikishia kuwa kwa miaka 9 atakuwa analipwa posho kama mjumbe wa kamati mchongo ya katiba.

Zito lengo lake kuu ni kuwepo kwenye payroll ya Serikali, na amekwishafanikiwa.
Kweli Zitto amefilisika.
 
Anawatendea WaTz dhambi kubwa sana
Uchu wa madaraka ubunge unamfanya anakosa utu

Kesho Yetu Ni Fumbo
Kwakweli huwezi amini kwamba haya yanafanywa na Zitto kwambwe.

Yeye anadhani anawakomoa Chadema.
 
Back
Top Bottom