Baada ya kumsikiliza Rais Magufuli, nasema wazi asante sana Jakaya Kikwete

Baada ya kumsikiliza Rais Magufuli, nasema wazi asante sana Jakaya Kikwete

Kabla ya kumuita jakaya kikwete mzalendo..jiulize ni Mali kiasi gani kajimilikisha ukianzia na mgodi wa dhahabu uliopo wilaya ya chunya mkoani mbeya.

Sasa nimeamini tatizo kuu ni Watanzania wenyewe,kuanzia wasomi wetu mpaka wasio wasomi itatuchukua karne nyingi kuendelea,wacha tuwe hivi tulivyo
 
Maskini Tanzania yangu
naomba na mimi nitoe shukrani zangu kwa Jakaya kikwete kwenye uzi wako

Kiukweli nimeshindwa kujizuia kutoa shukrani za dhati kwa Jakaya Kikwete kwa uzalendo wake katika hii nchi. Kikwete wewe ni jabali, mwanajeshi wa ukweli bila magwanda.Watu wanasema huna akili na wanasahau wewe umelamba digrii UDSM kipindi hakuna google wala wikipedia.

Tena digrii ya nguvu ya uchumi sio ya sociology wala PSPA, huku wao wanaokuponda wamesoma miaka ya google ila UDSM tu wameshindwa kusoma kwa kukosa vigezo wameishia vyuo ulivyowaletea vya msaada.

Mtu amesoma Sauti au Jordan tena digrii ya ualimu, sociology au development studies. Halafu linaponda eti JK hana akili.Lenyewe UDSM tu limeshindwa kufika hii internet era.

Umefanya mengi sana makubwa hii nchi. Shule za kata leo house girl tu kumpata shida. Kila mtoto anafika sekondari.

UDOM ambayo ni jengo la CCM chimwaga ndio lililoanzisha chuo leo watu walioshindwa kufika UDSM wanapata nafasi ya kusoma nao chuo kikuu ila kwa kukosa shukrani wanakutukana.

Mabasi ya mwendokasi ni uroda. Asante sana Kikwete kuna mijinga inakuponda hujafanya kitu huku inapanga foleni kila siku na kadi zao za malipo kusubiri mabasi ya mwendo kasi. Kikwete unawacheka tu ukiwa Msoga na majuu kwenye trip zako zile.

Muhimbili heart institute, barabara leo Mwanza tunaenda siku moja tu full lami na bus luxury kama Dar lux, Green star, na mengineyo kiyoyozi from Dar to Mwanza kisa uzuri wa bara bara ulizojenga. Kuna wajinga wanasema hujafanya kitu huku inacharge simu zao kwenye hizo bus ikiwa safarini ( wanafikiri bila uzuri wa bara bara ni mtu gani angeweka ma bus mazuri kama hayo?)

Daraja la Kigamboni, Terminal 3 new airport DSM. Kitu JK Nyerere kama Dubai vile.

Mwisho kabisa kumpa nchi Rais Magufuli jembe ni bonge la zawadi kwa watanzania wote wapenda maendeleo ya nchi yao.

Mafisadi wanahaha kila siku wanadata kwa kasi ya Rais Magufuli na nina amini Tanzania mpya imeshazaliwa.

Ila Kikwete umetisha sana hasa style yako ya majina mfukoni na kumtanguliza Membe kama fake choice na kuweza kuwafool wana CCM 3000.

Barcelona walitawala mpira kwa style ya fake no 9 na Kikwete umeweza mpitisha Rais Magufuli wa style ya fake no 9 pia kwenye siasa.

Yaani unaudanganya uma kwa kumtanguliza mtu asiyefaa ili mabeki wamkabe asiwafunge kumbe mfungaji yupo nyuma. Anawafunga kiulaini tu.
 
Kikwete hajatuletea JPM. Amemponyoka tu. Hata yeye anaisoma. JPM ni mpango wa Mungu.
 
Amani iwe nanyi wadau


Pamoja na kwamba Jakaya Kikwete amekuwa kiongozi kwa muda mrefu hadi kuwa rais wa Tanzania kwa miaka kumi ,nakiri wazi sikuwahi kuujua uzalendo wake kwa nchi ya Tanzania hadi leo November 2018 ndiyo nimegundua!

Nimejiridhisha pasina shaka kuwa Jakaya Kikwete ni mzalendo wa kweli wa nchi kuliko tunavyonfikiria.
Jakaya Kikwete ndiyo alikuwa na uamuzi wa mwisho nani awe rais ajae wa Tanzania lakini akatuletea Magufuli.
Jakaya Kikwete alikuwa anamjua Magufuli kuliko mtu mwingine yoyote , alikuwa anajua kabisa Magufuli hapendi rushwa na ufisadi ,alikuwa anajua kabisa Magufuli ana msimamo mkali usioyumba hata kwa dakika moja ,alikuwa anajua kabisa Magufuli kwake ni Tanzania kwanza na haoni shida kugombana na yeyote anayekanyaga masilahi ya Tanzania!

Swali kwa nini Kikwete pamoja na kuyajua yote haya bado akamteua Magufuli ?
Jibu ni rahisi tu ,Kikwete ni mzalendo wa kweli ndiyo maana alitaka amwachie nchi mzalendo wa kweli mwingine( Simba huzaa Simba). Kama Kikwete angekuwa ni fisadi kamwe nasema kamwe asingeruhusu Magufuli awe rais wa Tanzania na uwezo huo alikuwa nao.

Hotuba ya rais Magufuli leo kwenye kongamano pale udsm imeweka kila kitu wazi na kuacha bila shaka yoyote kwamba Magufuli anaijua Tanzania na ni mzalendo wa kweli kweli kwa nchi yake. Amezungumza kwa facts na data nchi ilipotoka ,ilipo na inaelekea wapi !
Magufuli ameonyesha wazi mchana kweupe kuwa ana uelewa mkubwa sana na inahitaji akili kubwa kumwelewa .Akili ndogo (chadema) kwa sasa hawatamwelewa Magufuli watakuja kuelewa baada ya miaka 20 ijayo.

Asante mzalendo Jakaya Kikwete kwa kuzaa mzalendo John Magufuli kwa manufaa ya nchi yetu .

Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu.
Hivi ww uonavyo Magufuli ni mzalendo. Kuhutubia kwa kudanganya ndio uzalendo??? Kuua raia wako ndio uzalendo?? Kuua demokrasia ndio uzalendo. Ebu acha hizo Magufuli anafanya watanzania wote ni wapumbafu. Watanzania wote sio wajinga labda hao baadhi yenu na ccm yenu
 
Amani iwe nanyi wadau


Pamoja na kwamba Jakaya Kikwete amekuwa kiongozi kwa muda mrefu hadi kuwa rais wa Tanzania kwa miaka kumi ,nakiri wazi sikuwahi kuujua uzalendo wake kwa nchi ya Tanzania hadi leo November 2018 ndiyo nimegundua!

Nimejiridhisha pasina shaka kuwa Jakaya Kikwete ni mzalendo wa kweli wa nchi kuliko tunavyonfikiria.
Jakaya Kikwete ndiyo alikuwa na uamuzi wa mwisho nani awe rais ajae wa Tanzania lakini akatuletea Magufuli.
Jakaya Kikwete alikuwa anamjua Magufuli kuliko mtu mwingine yoyote , alikuwa anajua kabisa Magufuli hapendi rushwa na ufisadi ,alikuwa anajua kabisa Magufuli ana msimamo mkali usioyumba hata kwa dakika moja ,alikuwa anajua kabisa Magufuli kwake ni Tanzania kwanza na haoni shida kugombana na yeyote anayekanyaga masilahi ya Tanzania!

Swali kwa nini Kikwete pamoja na kuyajua yote haya bado akamteua Magufuli ?
Jibu ni rahisi tu ,Kikwete ni mzalendo wa kweli ndiyo maana alitaka amwachie nchi mzalendo wa kweli mwingine( Simba huzaa Simba). Kama Kikwete angekuwa ni fisadi kamwe nasema kamwe asingeruhusu Magufuli awe rais wa Tanzania na uwezo huo alikuwa nao.

Hotuba ya rais Magufuli leo kwenye kongamano pale udsm imeweka kila kitu wazi na kuacha bila shaka yoyote kwamba Magufuli anaijua Tanzania na ni mzalendo wa kweli kweli kwa nchi yake. Amezungumza kwa facts na data nchi ilipotoka ,ilipo na inaelekea wapi !
Magufuli ameonyesha wazi mchana kweupe kuwa ana uelewa mkubwa sana na inahitaji akili kubwa kumwelewa .Akili ndogo (chadema) kwa sasa hawatamwelewa Magufuli watakuja kuelewa baada ya miaka 20 ijayo.

Asante mzalendo Jakaya Kikwete kwa kuzaa mzalendo John Magufuli kwa manufaa ya nchi yetu .

Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu.
Umeongea vizuri sana kuhusu Magufuli,ila unaposema Kikwete ni mzalendo kwa kuwa alikubali Magufuli awe Rais,unakuwa umekosa insight.
Ukweli ni kwamba hali ya Chama wakati ule ililuwa tete sana.Waliona njia pekee ya kuiokoa CCM ni kumleta mtu ambaye atakubalika na Watanzania walio wengi,na huyu hakuwa mwingine,isipokuwa Comrade Magufuli,na ndio maana uliona alijinadi yeye kama yeye,that was on purpose, sio bahati mbaya.Angenadi chama lingekuwa janga.
Magufuli hakuchaguliwa kuwa mgombea wa CCM kwa kuwa CCM walimpenda mkuu,no, infact he was a thorn even to the CCM status quo!It was a choice out of desperation.Without Magufuli may be CCM would be an opposition party today!Kwa hiyo si kweli kwamba Kikwete ni mzalendo,motive ilikuwa kukiokoa chama ambacho kilikuwa kinazama,sio uzalendo.
 
NA KAKTIKA KIPINDI CHAKE CHA MIAKA KUMI YA URAIS HAKUWAHI KUPIGA PESA INAYOFIKIA 1.5 TRILIONI KAMA ILIYOPIGWA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MIWILI YA JIWE
 
Upo udhaifu wa hapa na pale katika utendaji wake lakini kwa kiasi kikubwa ukimtazama usoni unaona kuwa kile anachokiongea kinatoka moyoni.

Ananifurahisha ile tabia yake ya kufikiria nje ya boksi. Anakuwa na originality kwa kila anachokifanya, hataki kufanana na mwingine, ni kiburi fulani hivi ambacho wakati mwingine kinamsaidia.
 
Raisi anayedirik kulala na mafail kitandani dunian hakuna zaidi ya huyu magufuli.
Tumpe honger san kikwete
 
Tanzania tumewahi kupata raisi mmoja tu! Wengine wote ni porojo tu na ujuaji mwingi mwisho wasiku wanakuja kutuingiza kwenye shida. Taifa bila katiba ya kueleweka bado ni bure kabisa hata ujenge mnara hadi mbinguni.
Hivi hiyo katiba ndo dubwasha gani? Hivi sheria zikiwepo na hakuna anayezifuata zitakuwa na maana?
Kwa nchi hii ilipofikia hatuhitaji katiba mpya tunahitaji viongozi wenye fikra chanya na utekelezaji wa mikakati kwa maendeleo endelevu ya Tanzania
 
Ukiniuliza marais watatu angalau-angalau Magu siwezi kumtaja. Niambieni mnabonyeza ngapi kuona hayo mnayonena. Mimi bado
 
Back
Top Bottom