Baada ya kumuacha mke wangu amelia sana, naanza kumuonea huruma, nifanyeje?

Analia maana hakujiandaa na pa kwenda kuishi bila kuweweseka, Siku akijihakikishia hilo atakupiga tukio kiasi kwamba utakuja hapa kutuandikia uzi mwingine ukiwa umelewa.
Umewaelewa wanawake vizuri,Mimi nimefikiri kama wewe
 
Msamehe tu maisha yasonge life is to short au sio kutenda kosa si kurudia kosa
 
fanya hivyo hivyo msamaha na huruma inapokutuma na Mungu atakubariki sana ๐Ÿ’
 
Never trust women, anaweza akauliza mpka katoa machozi lakini akawa bado anaigiza
 
Yaan mtwangio ugonge kwenye kinu sauti isikike kwa kishindo mpaka majirani wajue huko leo huyo mtwangaji anatwanga ๐Ÿ˜ƒ
Hapo unajua sana
Hata kupangiilia umeweza sana
Sauti itatoka ya kwanza na ya pili ya tatu na nne tuwaachie kina Mwantum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ