Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Iko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenz wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwann unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndan sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Hongera sana kwa kuwa na uthubutu wa kulisema hili, inaonyesha unampenda sana mumeo na pia unajiheshimu, kiukweli njia ya kubembeleza inamatokeo ya kuchelewa sana na hasa ukizingatia yeye ndiye amekosea kwa uelewa wangu, maana in first place yeye anachat sms zisizo na adabu simply anachepuka huku majukumu yake hayatimizi, alitakiwa aje yeye kabla yako kusema "mke wangu nashindwa kufanya 1,2,3 kisa hichi ama napambana kuweka sawa na namna gani umsaidie" ila yeye hajali kuhusu ww anachepuka tuu. Wewe kusema ukweli ndiyo asuse? Si sawa kwasababu hasira zako kaleta yeye na yeye angekua mwaminifu na kutekeleza wajibu usingesema. By the way hujataka kikubwa ila avuke tuu toka kamoja, hajui kama kamoja hakatoshi na kama anajua kafanyaje na kama kafanya kitu kubadili hilo kamwambia nani kama si wewe?
 
Sijaelewa kwanini kwenye huu Uzi watu wengi wanamlaumu mleta mada wakati tatizo limeanzia kwa mwanaume.

Kukosa huo uwezo wa kumridhisha sio tatizo shida ni huyo mwanaume kuwa anatoka nje tena bila heshima. Kwamba mwanamke ndo Hana hisia hata asimuulize au ndo asiwe na panic button jamani. We dada hongera sana kwa uvumilivu endelea kuvumilia maana wanasema ndoa inahitaji uvumilivu
 
Iko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenz wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwann unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndan sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Mkuu vip
 
Iko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenz wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwann unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndan sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Hana tofauti na jamaa angu
 
Iko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenz wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwann unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndan sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Ushauri wangu:
Kama umeshamuomba msamaha na hajaelewa (and if not its ok) huna chakupoteza mpaka hapo anakusaliti tuu.
Mpotezee,onyesha hutaki chochotee toka kwake na pia upo biz na yako kipindi hicho mambo yote hapo ndani unatimiza ikiwa pamoja na kumuheshimu na kumfanyia stahiki zake, sisi wanaume tuna wivu sana ataanza kupata shida mwenyewee na kutafuta suluhu.
ZINGATIA; Kua mjasiri na muaminifu sana kipindi hichi,ukionja nje ndoa bye bye maana ukitakacho utakikuta nje.
 
Ushapoteza mume tayar, hiyo kauli hakuna mwanaume anaweza kuivumilia hadi anaingia kaburini...
Ni sawa yeye angekuambia unanuka uchi wakat wa kusex... Just imagine ungejisikiaje hata kama ni uongo...? Kuna kauli ikitoka imetoka hata uombewe msamaha na Yesu kamwe mtu hatakusamehe... Kwa mwanaume kumwambia hvyo ni dharau ya hali ya juu, na nikweli hatakuja kamwe kupata hisia za sex na wew, hata umfanyaje mkishaanza sex hiyo kauli inamuijia akili na network zinakata... PAMOJA NA UPUUZI WAKE HUKUPASWA KUMTAMKIA HAYO...
Wanawake kuna mambo madogo madogo mnafeli, ukweli ni kwamba Wanaume nje ya ndoa zao wanapiga show babu kubwa kiwango cha lami, tatzo wakirud ndani mke analeta mapenz na sex za kisabato (somo pana hili tutaelekezana next time)
 
Nikuulize!!!

Unaweza vipi kusema huyo Mume wako anachart na Wanawake lakini hafanyi nao Mapenzi?

Nikushauri tu..Punguza kumwamini mtu sana...Ikiwezekana hata kivuli chako usikiamini kiasi hicho.

Huyo Mumeo ana mambo yake pengine huyajui,au unayajua kwa vile unampenda...Unavumilia...

Ulivyomuuliza huo ujinga wake ni kama umempa kisingizio na sababu ya yeye kujihalalisha na huo ujinga wake...

Mwisho ila siyo mwisho kabisa:Nikupe pole Mwanamke mwenzangu..Mimi sinaga ushauri kwa Wapendanao...lilishaga nipata jambo...Nilikoma.

Wew sio mwanamke acha Kudanganya
 
Iko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenz wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwann unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndan sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Kitu ambacho wanawake wengi tunafeli ni kuja juu, wanawake tunaongea sana jamani..... Ukigombana na mume wako au ukimfumania muite ongea nae vzuri kwa upendo atakuelewa lkn ukianzaa ooh ww usimamishi sijui nn tatizo litazaa tatizo.

Sis wanawake tunaweza kutosheka na mwanaume mmja lkn wanaume awawez kutosheka na mwanamke mmja kila siku atataka abadilishe apate mpya

Kitu tunatakiwa kufanya ni kuwahimiza wanaume zetu kutembea na condom hilo ni muhimu zaid
 
Hahaa... Hana lolote lile kapata kichaka cha kujificha

Ulikuwa sahihi kumueleza bayana, ukweli unauma ila ndio njia pekee ya kutatua tatizo.
 
Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake, lakini mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe...

Methali 14: 1

Ushauri wangu ni muombe msamaha, fanya ibada...omba toba MUNGU akupe kibali na hekima kwa mumeo...
 
Ndoa ni kulea watoto sio kuridhishana nani kawakaririsheni kuridhishana.kama ukufanya ngono shuleni au chuoni tulia kubali tu uliruka stage imepita.
Jifunzeni furaha yenu isikamilishwe toka kwa mtu mwingine, itengeneze furaha yako toka ndani yako na sio nje yako.
 
Nikuulize!!!

Unaweza vipi kusema huyo Mume wako anachart na Wanawake lakini hafanyi nao Mapenzi?

Nikushauri tu..Punguza kumwamini mtu sana...Ikiwezekana hata kivuli chako usikiamini kiasi hicho.

Huyo Mumeo ana mambo yake pengine huyajui,au unayajua kwa vile unampenda...Unavumilia...

Ulivyomuuliza huo ujinga wake ni kama umempa kisingizio na sababu ya yeye kujihalalisha na huo ujinga wake...

Mwisho ila siyo mwisho kabisa:Nikupe pole Mwanamke mwenzangu..Mimi sinaga ushauri kwa Wapendanao...lilishaga nipata jambo...Nilikoma.
Umbea ulikuponza mwanamae....
 
Back
Top Bottom