Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Kama ulivyomvunja confidence yake basi jaribu kuijenga tena. Anzia mbali kwa msg za mahaba akiwa kazini, kumwambia jinsi gani umemmiss hiyo miezi minne. Epuka lawama na kukumbushia madhaifu yake, taratibu atakuomba utamu.

Asilimia kubwa wanaoamini wana upungufu wa nguvu za kiume kiuhalisia ni kukosa kujiamini tu. Hata wanaume wengi tukijichunguza kuna sehemu tunapiga show mpaka wenyewe tunajishangaa na kwingine ukienda unaweza nyonywa hadi ubongo na ngoma isiinuke. Hii yote huchangiwa na maandalizi ya kisaikoloji baina ya wenza na mapokezi kabla ya tendo.

Unakuta li mwanamke toka upo kazini anafufuliza msg za malalamiko tu. Ukirudi nyumbani limekaa mbele ya tv hata habari na wewe hana, kazi kujipiga piga kichwani sababu ya weaving chafu. Mkiingia chumbani ukaomba mzigo unasusiwa mwenyewe hata habari hana, halafu unatarajia mtu achiukue zaidi ya dakika 1.
Hii naikubali kabisa. Kuna sehemu huwa napiga kazi mpaka najishangaa imekuwaje. Pia kuna baadhi naharibu kabisa dakika tu nimemaliza.
 
Atafute wa kusuuza roho yake huko aachane na huyo kisirani. M'ume wake angekuwa na busara hayo maneno yangemtouch baada ya hasira zao kupungua m'ume angekaa na mkewe wazungumzie jambo hilo jinsi ya kulitatua lakn cha ajabu m'ume kazira anajifanya kamind km demu huko hujengi ndoa bali unaisambaratisha..
Imagine...
Na tayari ni Mme na Mke..Ni kipi kilichomfanya akapata Kisirani...

Kama si alikuwa anatafuta sababu rasmi ya tabia zake tu...
 
Dadangu umeharibu sana mm pia nliwahi kuambiwa hivo nna mwaka wa nne tunasex mda wa kutafta watoto tu.
Nje napiga show za kueleweka sana
Iko hivi wanawake mnakosaga mvuto sababu mmeo anakuona ukiwa na dela hujaoga hujapaka mekup.
Ni wanawake wachache sana wanaelewa namna ya kuishi na mme.
Siri kubwa ni kuwahi sana kuamka kabla ya mtu yyt hapo kwako then ufanye majuku yako mapema jamaa bado kalala ukimaliza ingia uoge jipake unukie mida ya saa 12 mtengee supu ama chai akiwa kitandani, nakwambia kabla ya chai utaliwa wewe kwanza ndo baadae chai.
Sasa wanawake hujipamba mnapoenda sokoni na kazini, mkiwa home mnajiachia
 
Iko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenz wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwann unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndan sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Umeharibu pakubwa sana na hii inaonyesha kuwa Hukufundwa vyema na akina Bibi au Shangazi.

Katika Tendo la Ndoa kwa Mwanaume hutawaliwa zaidi na Saikolojia hivyo ukiwa ni Mwanamke na ukikosea tu jinsi ya Kuzungumza nae jua Umeharibu na Utampoteza.

Ulichotakiwa kukifanya Kwake ni Kumfikishia Ujumbe kwa Njia ya Utani hasa mkiwa Mnafanya Mapenzi Mfano kwa Kumwambia Mume wangu Siku hizi hunipendi kwani unanifanya haraka haraka tofauti za huko nyuma au tumeshakuwa Wengi?

Na wakati unamwambia Kauli hii Kiutani huku unakuwa Unambusu huku na Kule na unacheza nae na ikiwezekana hata Kuusifu Uume wake kuwa Unaupenda hakuna mfano duniani kote.

Kwa kufanya hivi Kwanza kutamfurahisha zaidi Mwanaume na kwakuwa umemwambia katika tonation ( tone ) ya Utani nae pia atajishtukia Kimoyomoyo na Mzuka wake utampanda ghafla na atakufanya ( atakutia ) vyema huku akihakikisha kuwa anakufikisha Kileleni na hatimaye utakuwa Umeshatatua tatizo kwa Mbinu rahisi mno.

Na jitahidi ukiwa unamfikishia Ujumbe hata Sura yako nayo iwe ni ya Kiupendo na iliyojaa Tabasamu jingi na kamwe usionyeshe Sura ya Ukauzu ( Hasira ) Kwake kwani ukimwambia ukiwa Umenuna moja kwa moja kwa Akili za Wanaume wengi atajua kuwa umeshampata Mwanaume anayekutia vizuri zaidi yake hivyo unaweza hata Ukala Kofi la maana au Ngumi ya Dulla Mbabe na ukajikuta ICU huku Mlango wa Mochwari ukikutizama na ukikutamani pia uende huko.
 
In nature binadamu hatupendi kuambiwa ukweli Moja kwa Moja, 60 percent ukisema ukweli tunakasirika.
Kwa ushauri wangu, ulipaswa kuleta mawazo ya kuboresha tendo la ndoa na kuonyesha kwa vitendo ni nini unataka, na wewe kama wewe kuwa romantic zaidi. Kwa SABABU NAAMINI MABADILIKO YANAANZA NA WEWE KWENDA KWA MWINGINE.
Too bad kwa huyo mwanaume hatokaa aisahau hiyo kauli yako.
 
Njoo hogo pm mwaya......kukaa na minyege hata sio sifa......ntakushauri Ka kitu
 
Kama ulivyomvunja confidence yake basi jaribu kuijenga tena. Anzia mbali kwa msg za mahaba akiwa kazini, kumwambia jinsi gani umemmiss hiyo miezi minne. Epuka lawama na kukumbushia madhaifu yake, taratibu atakuomba utamu.

Asilimia kubwa wanaoamini wana upungufu wa nguvu za kiume kiuhalisia ni kukosa kujiamini tu. Hata wanaume wengi tukijichunguza kuna sehemu tunapiga show mpaka wenyewe tunajishangaa na kwingine ukienda unaweza nyonywa hadi ubongo na ngoma isiinuke. Hii yote huchangiwa na maandalizi ya kisaikoloji baina ya wenza na mapokezi kabla ya tendo.

Unakuta li mwanamke toka upo kazini anafufuliza msg za malalamiko tu. Ukirudi nyumbani limekaa mbele ya tv hata habari na wewe hana, kazi kujipiga piga kichwani sababu ya weaving chafu. Mkiingia chumbani ukaomba mzigo unasusiwa mwenyewe hata habari hana, halafu unatarajia mtu achiukue zaidi ya dakika 1.

kwa hali hiyo ni ngumu sana
 
Iko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenz wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwann unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndan sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Kula ulicho kipika.

Mdomo ukitumika vizuri utakula matunda mazuri.
Na mdomo ukitumika vibaya haya ndio mavuno
 
Nikuulize!!!

Unaweza vipi kusema huyo Mume wako anachart na Wanawake lakini hafanyi nao Mapenzi?

Nikushauri tu..Punguza kumwamini mtu sana...Ikiwezekana hata kivuli chako usikiamini kiasi hicho.

Huyo Mumeo ana mambo yake pengine huyajui,au unayajua kwa vile unampenda...Unavumilia...

Ulivyomuuliza huo ujinga wake ni kama umempa kisingizio na sababu ya yeye kujihalalisha na huo ujinga wake...

Mwisho ila siyo mwisho kabisa:Nikupe pole Mwanamke mwenzangu..Mimi sinaga ushauri kwa Wapendanao...lilishaga nipata jambo...Nilikoma.
Na ukome tena[emoji23]
 
Back
Top Bottom