Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unataka kuijua njoo nikuoneshe hapa siwez kukuoneshaShow nzuri inakuwaje? Maana dunia hii ina mambo mengi sana
Sasa si bora kumuacha kuliko kuishi na mtu wa hivo?Hajakukuta wewe. Kuna wanawake wengine wana karaha kwenye ndoa hata uwepo wake nyumbani unaona ni kama kero. Halafu hapo sasa uwe umepata ''wa pembeni'' anayekujali na kukubembeleza kwa upole.
Uzi ufungwe.. Halafu wanawake wengi hawalijui hili..! Nilishawahi muuliza mdadakama anajua uhusiano kati ya kulia na maneno yanayosababisha mtu alie..!? ndivyo uhusiano ulivyo kati ya KIMOJA na maneno machafu ya mpigwa kimojaTiba ya saikolojia ya mume ni mke wake. Mke akiwa na kauli chafu kwa mume ugeuka sumu uondoa upendo uzalishaji kibamia, na goli dhaifu
Umemsadia mwenzi/mtoa mada kwa maneno haya.!?Usishangae baadhi ya Me wakakwambia mwanaume kiasili ameumbiwa wanawake hivyo hiyo ni halali yake kuchati nao hao wote.
Wakasahau kuwa we hupati hitaji la muhimu ndani ya hiyo ndoa.
Seriously?Tafuta mume wa mtu ambaye ni mstaarabu, akuweke bize
Huyo ni malaya mzeefu acha kucheka na hiyo kima inajifanya imeumizwa na maneno yako ila either kakuchoka ama huko nje mambo yamenoga.Iko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena
Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenz wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.
Nanukuu
Kwann unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.
Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.
Je nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndan sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
wengi ndio hutumia hiyo njiaSeriously?
Na hiki ndicho kilichoua hamu ya mumewe kufanya nae tendo la ndoa. Inaonekana ni mkosoaji mzuri Sana, pengine hata kwenye sex. (Kama alivyofanya)Unaonekana u a kauli chafu sana
Huwa inabomoa zaidi.wengi ndio hutumia hiyo njia