darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
Mwanamke kapitiwa na wanaume zaidi ya kumi,huyo ni ngumu kuridhikaHili la kuzoea mashine mbalimbali ndefu na fupi kabla ya kuolewandio chanzo cha kuona kuwa huridhiki...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke kapitiwa na wanaume zaidi ya kumi,huyo ni ngumu kuridhikaHili la kuzoea mashine mbalimbali ndefu na fupi kabla ya kuolewandio chanzo cha kuona kuwa huridhiki...
Itamsaidia kwa sababu, mumewe hana uwezo wa kumridhisha kimapenziHuwa inabomoa zaidi.
''Bwana n'logo'' sidhani kama umeoa. Mambo mengine ni rahisi kusema kuliko kutenda.Sasa si bora kumuacha kuliko kuishi na mtu wa hivo?
Mwanaume kumfurahisha kihisia kimapenzi mwanamke mwingine kwa gharama ya hisia za mkewe hiyo ni cheating.Iko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena
Nendeni mkamuone daktari atawapa muafakaIko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena
Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenz wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.
Nanukuu
Kwann unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.
Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.
Je nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndan sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Naona kama uzi wa kimasihara utahusika hapaIko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena
Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenz wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.
Nanukuu
Kwann unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.
Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.
Je nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndan sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Nakuja sasa hivi...maana nachojua mimi the end tells all. haya mengine propaganda na porojo tuKama unataka kuijua njoo nikuoneshe hapa siwez kukuonesha
Nipo na kusubiliaNakuja sasa hivi...maana nachojua mimi the end tells all. haya mengine propaganda na porojo tu
Sio inapoelekea ni ishatia nanga kwenye No love 😂😂Leo maada za matatizo katika mahusiano zimeanzishwa nyingi solution hapa NI tunyweni pombe.au Kama hunywi Basi tuswali sana dunia inapoelekea no love