Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Mi sio mtaalamu wa aya mambo, lakini naweza shauri hivi:

Tafuta kama Laki 2 hivi kutokana na kipato chako.

Nenda nae Bagamoyo mwambie kusalimia. Pale B/Moyo pana kaji hotel kanaitwa Firefly. Mkae siku 1 au 2 msiguse simu kabisa.

Hafu mzungumze.

All you need ni kuzungumza na wala msimuite mtu wa tatu hapo kati atatangaza nje bure.

Hao wengine anachat nao tu we ndio the best ndio maana amekuweka ndani.

Oiii. All the best. Ndoa yenu bado changa. Mungu awatangulie.

Tuseme Amen.
 
Hakutakuwa na upendo ila vifo, wivu, chuki, tamaa na usaliti TU. Huko mbeleni giza Totoro🤔
 
Iko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena
Mwanaume kumfurahisha kihisia kimapenzi mwanamke mwingine kwa gharama ya hisia za mkewe hiyo ni cheating.

Kama tu ambavyo mwanamke kuchukua maagizo ya mwanaume mwingine na kuyapindua ya mumewe nayo ni cheating.
 
Nendeni mkamuone daktari
Iko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenz wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwann unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndan sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Nendeni mkamuone daktari atawapa muafaka
 
Iko hivi mr alikua mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Nikitu kimekua cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenz wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwann unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndan sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Naona kama uzi wa kimasihara utahusika hapa
 
Back
Top Bottom