Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Tiba ya saikolojia ya mume ni mke wake. Mke akiwa na kauli chafu kwa mume ugeuka sumu uondoa upendo uzalishaji kibamia, na goli dhaifu
Aisee upo sahihi kabisa ,niliwahi mwambia X wangu hiki kitu hakuniamini,kutokana na ile ideology iliyoko kichwani mwake kuwa siwezi kazi basi kila nikikutana naye jogoo hawiki kabisa na akiwika simaliz hata dakika 2 nisha toa wazaramo.Lakini the same act nikichepuka napiga show ya kibabe hadi 20mnts hatari.Kweli umenena na kunikumbusha mbali
 
Kitu ambacho wanawake wengi tunafeli ni kuja juu, wanawake tunaongea sana jamani..... Ukigombana na mume wako au ukimfumania muite ongea nae vzuri kwa upendo atakuelewa lkn ukianzaa ooh ww usimamishi sijui nn tatizo litazaa tatizo.

Sis wanawake tunaweza kutosheka na mwanaume mmja lkn wanaume awawez kutosheka na mwanamke mmja kila siku atataka abadilishe apate mpya

Kitu tunatakiwa kufanya ni kuwahimiza wanaume zetu kutembea na condom hilo ni muhimu zaid
Huu ukweli wengi mnaujua ila kinachowakosti ni kukaza ubongo tu😂😂😂!

We jua you are the last but not the least, so hakikisha unaitendea haki yako ili ubakie the last kwa muda mrefu maishani mwako.
 
Kisa nimekwambia ukweli? Au kisa nn??
Mi nilishazoea iyo hali hasira zinakuja mtu ndan hamfanyi unavumilia tu kumbe mwenzio wanawake kila kukicha
Bàsi angekua fair nje anafanya na mimi ananifanya naridhika wala isingekua kesi
Mnhh!!
 
Ngumu kumeza hii,, nikupe pole mno inaumiza kuliko kawaida unajitunza na kumuheshimu lakini yeye hana muda na wewe kabisa,
Kwa kauli aliyotoa kwa mumewe hii inaashiria dhahiri ni aina ya watu ambao ni hard negotiators. Hata treatment ya huko awali haikuwa nzuri, nina wasiwasi ni mwanamke mlalamishi sana. Hii tabia ni major turnoff kwetu wanaume na kimsingi huwezi kuwa na hamu na mwanamke ambaye kila unalofanya kwake si kitu anakulalamikia tu over a bunch of stuff.

Ukijaribu kumuelewesha anakujia juu.
 
Kisa nimekwambia ukweli? Au kisa nn??
Mi nilishazoea iyo hali hasira zinakuja mtu ndan hamfanyi unavumilia tu kumbe mwenzio wanawake kila kukicha
Bàsi angekua fair nje anafanya na mimi ananifanya naridhika wala isingekua kesi
This even proves more of your bad negotiation moves 😂!

Mume ni mtu special and you have to ensure that you give him that impression each and every moment. Labda unajiuliza kwanini mumeo ha flirt na wewe zaidi but kimsingi ni kwamba hauna skills za kumshawishi. You are using a wrong approach ambako unatumia force kwa kuona una hati miliki na hisia zake without making any efforts unataka awe na hamu na wewe akugonge uridhike.

Badili approach kwa kuomba samahani sana juu ya kosa ulilotenda na ujutie kweli. Kisha acha domo chafu penda kutumia kauli za kubembeleza kama mtoto.
 
Kitu ambacho wanawake wengi tunafeli ni kuja juu, wanawake tunaongea sana jamani..... Ukigombana na mume wako au ukimfumania muite ongea nae vzuri kwa upendo atakuelewa lkn ukianzaa ooh ww usimamishi sijui nn tatizo litazaa tatizo.

Sis wanawake tunaweza kutosheka na mwanaume mmja lkn wanaume awawez kutosheka na mwanamke mmja kila siku atataka abadilishe apate mpya

Kitu tunatakiwa kufanya ni kuwahimiza wanaume zetu kutembea na condom hilo ni muhimu zaid
Haya maandishi yawekwe strong room
 
Inawezekana kweli anachat na wanawake wengi wengi ili kujimwambafy kwamba anaweza japo anajua hana uwezo mkubwa wa kuhimili mchezo so anatafuta satisfaction kihisia kwa wanawake tofauti tofauti. Hapo ulipomwambia anafanya dkk moja umeuaa yani umemfedhehesha sana yani kama ni bomu umelipua makao makuu lazima akili iruke. Mi hata sijui cha kushauri maana wanaume wengine visirani
 
Inawezekana kweli anachat na wanawake wengi wengi ili kujimwambafy kwamba anaweza japo anajua hana uwezo mkubwa wa kuhimili mchezo so anatafuta satisfaction kihisia kwa wanawake tofauti tofauti. Hapo ulipomwambia anafanya dkk moja umeuaa yani umemfedhehesha sana yani kama ni bomu umelipua makao makuu lazima akili iruke. Mi hata sijui cha kushauri maana wanaume wengine visirani
Kwani lazima aolewe aachane nae anunue Dido
 
Iko hivi mr alikuwa mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Ni kitu kimekuwa cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenzi wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwanini unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je, nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndani sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Mbona rahisi na wewe anza kuchati na wanaume
 
Iko hivi mr alikuwa mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Ni kitu kimekuwa cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenzi wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwanini unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je, nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndani sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.

Iko hivi mr alikuwa mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Ni kitu kimekuwa cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenzi wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwanini unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je, nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndani sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Sema tu dada yangu naogopa ukiamuambia hivyi utaharibu kabisa ila ingekuwa ni yeye ameuliza ushauri huu tumpe wanaume wenzake ningemwambia je anajua mahali mgodi wa chumvi ulipo Tanzania yaani Uvinza? basi akishafahamu mgodi ulipo azame huko achimbe chumvi.

Hakuna mwanamke ambaye akifanyiwa hiyo kitu anaacha kufika kileleni hii inaitwa catalyst kama vile kwenye chemical reaction.Hata mwanamke asiyekata mauno kama wale dada zetu wa ule mkoa wa Shimboni nashisha wakifanyiwa hiyo kitu lazima wamtaje YESU huku wanakatika kama panga boi.
Ndoa inaficha mengi sana usidanganywe ndoa nyingi wanafanya hii kitu kitu kikubwa ni usafi wa mgodi na huwezi mfanyia kila mwanamke na unayemuamini tu au mkeo.

Cha kuongezea ni kwamba tofauti ya wanawake na wanaume mwanaume kufika kileleni unaweza tumia hata sekunde lakini wanawake inachukua muda mrefu hivyo moja ya manjonjo kumfikisha ni hayo.Wapo wanawake ambao usipoingia chumvini hakuelewi
Iko hivi mr alikuwa mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Ni kitu kimekuwa cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenzi wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwanini unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je, nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndani sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
 
Iko hivi mr alikuwa mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Ni kitu kimekuwa cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenzi wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwanini unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je, nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndani sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake onesha kumpenda

Iko hivi mr alikuwa mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Ni kitu kimekuwa cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenzi wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwanini unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je, nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndani sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Onesha kumpenda,mpikie vizuri,msifie awe na confidence,kua mtundu kitandani!..
 
Mwambie ilikuwa ni hasira tu ndio maana nikajibu vile, samahani mpenzi kama nilikukwaza ila haikuwa maana yangu kufanya hivyo, mimi huwa unaniridhisha sana ila nina wivu sihitaji mali yangu iliwe na mwingine.

Aah mengine utaongezea mwenyewe hapo kujazia nyama nyama za ulaghai hadi akuelewe, mapenzi ni ulaghai tu kitandani na sisi wanaume kinacho tufanya tunaswe na malaya huko mitaani ni ulaghai wao kitandani, mtu unamgusa tu shingo anatoa kimguno cha kimahaba na kulegeza jicho kama anataka kukata roho na hicho ndicho sisi tunataka yaani uonekane kidume mbele ya mkeo ila ukionekana kama kero basi hata ham haiwezi kuja tena.

Tatizo mabebe zetu unamla huku unapokea masimango kibao mara utasikia "eeh humalizi tu nawewe mi nimechoka, au fanya haraka bhana umalize tulale, mwingine una mla huku anakusimulia story za madeni yake", yaani full stress hadi mzuka unakata.
Hapa ukwel mtupu,
 
Nikuulize!!!

Unaweza vipi kusema huyo Mume wako anachart na Wanawake lakini hafanyi nao Mapenzi?

Nikushauri tu..Punguza kumwamini mtu sana...Ikiwezekana hata kivuli chako usikiamini kiasi hicho.

Huyo Mumeo ana mambo yake pengine huyajui,au unayajua kwa vile unampenda...Unavumilia...

Ulivyomuuliza huo ujinga wake ni kama umempa kisingizio na sababu ya yeye kujihalalisha na huo ujinga wake...

Mwisho ila siyo mwisho kabisa:Nikupe pole Mwanamke mwenzangu..Mimi sinaga ushauri kwa Wapendanao...lilishaga nipata jambo...Nilikoma.
Ushauri wako hauja balance dada,ulipaswa ujue upande wa mwanaume kabla hujashauri
 
Back
Top Bottom