Baada ya kunikula kanichunia

Akili zetu tunazijua wenyewe,

Sasa unadanganya kuwa ni bikra hili iweje?? Sometimes tunajiharibia wenyewe.
 
Akili zetu tunazijua wenyewe,

Sasa unadanganya kuwa ni bikra hili iweje?? Sometimes tunajiharibia wenyewe.
Niliumia sana kwa yule msichana maana nilimpenda sana kiasi kwamba kama asingethubutu kunidanganya ningemuoa, lakini kitendo Cha kusema uongo ule sikuona sababu ya kukaa na mtu ambaye hawezi kuwa mkweli ndani ya "ndoa". Na kwa bahati mbaya hajaolewa hadi sasa ingawa mtoto anaye Mkubwa tu....kila akiwasiliana na mimi haachi kujilaumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majuto ni mjukuu
 
ananionea tu , mimi nimeitoa mara moja tu, ameanza kunilaumu, bora ingekuwa mara mbili afu mimi ni mwinjirist et

Na ulisema nyinginee utaimalizia ukinioa mbona umenikatili [emoji23][emoji23]
 
Njoo pm my tufanye logistics za kuliwazana
 
What a Miracle !!
Frank kabakiza 71 Kati ya wale 72.
Kama sio shabu na Malimao..cjui.
Fure kastuka bhana😎
 

Asante

Ila Hakuna nachokitangaza kwasababu humu humu nitapata ushaurii kupitia uzi wangu
 
Miaka mingi imepita kabla sijaoa, nilimpenda sana wakati huo binti mmoja kwa sasa ni mama mtu mzima, nikamtongoza akanisumbua weeee siku moja akaniuliza kusudi langu kwake ni lipi? Nikamjibu kama siku zote nilishakuambia ni kukuoa

Uzuri ni kwamba Id ni fake so hatujuani sina haja ya kudanganya maana Hakuna faida ingekuwa sikuwa nayo ningesema humu kwamba siku bikira

Ila kiufupi sikuwahi kujihusisha na ngono mpk hapo nilipokutana na yeye hivyo kuingiliwa na mwanaume ndio yeye wa kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…