Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Enzi zile ilikuwa moyo, kila mmoja kapatwa shambulio la moyo 🤣🤣🤣
Ile ya shambulio la moyo haikuwa na madhara kwa jamii... hii ya figo inaambatana na michango kutoka kwa raia. Baadhi yao wameenda mbali zaidi kwa kufungua FOUNDATION kupitia hii excuse ya gonjwa na figo. Ninawashauri mastaa wakiwa kwenye umaarufu wao walinde sana afya ya figo.
 
Sasa si bora Malisa? Hujaona vituko vya kwa Geor Davie watu wanachora hadi tattoo?

Mimi alinichosha Shamsa Ford!
 
Ana watu na connection na wakubwa ila ndio mvivuuuuu hafai!

Wewe jiulize hiyo filamu aliyoizindua kwa mbwembwe hivyo imeishia wapi?
Dah , huyu km wema sepetu tu , hawana akili ...ngoja nikupe kisa cha huyu mdada ndio maana namkubali

2010, April nilikua Kigali,Rwanda..wkt niko club usiku ,club KBC ,nikaona ulinzi mkubwa, waandishi wa habari ,wadada wanaita Oprah,Oprah ile ya kutaka kumgusa na kupiga nae picha ..ikawa ngumu , mie muda huo nashangaa yule nani ..sasa ile club ina V.I.P ..na mm kwa mgeni niliyekua nae inabidi kukaa VIP ,naingia VIP namkuta huyu Irene akiwa na yule mumewe player ,macdonald maliga, tukajumuika meza moja na yule mgeni wangu ...aisee huko nje ilikua ni Oprah,Oprah,Oprah ili wamtoe awasalimie ..
 
Sasa si bora Malisa? Hujaona vituko vya kwa Geor Davie watu wanachora hadi tattoo?
Unajua nabii mkuu msemaji wa serikali ya mbinguni ana uzoefu mwingi kuhusu mahitaji binafsi ya kondoo zake hasa wale wa jinsia ya kike.

Wanaosumbuliwa na upwiru anawajua sana na huwahudumia ipasavyo.

Wanaosumbuliwa na njaa anawajua pia na hao huwahudumia kwa masharti nafuu ya kuchora tattoo kwenye miili yao kisha Wanapewa cash kupoza njaa zao.

Zote hizo ni biashara.
 
Kahaba ni kahaba tu,
Kumbuka hadi Yesu alimbariki mwanamke yule Kahaba, na akawatahadharisha wengine aliye msafi na awe wa kwanza kumpiga mawe.

Vipi wewe Mkuu, U msafi?
 
Ila Tessy amekaa ki wife material naona..na hivi alivyopungua. Namfananisha sana na Caren sijui kwa nini
Mhhhh wewe Tessy humjui, kafundishwa ‘michezo mibaya’ na huyu dada aliyeokoka kisha akamgeuka akapita na danga lake dada wa watu kidogo akate moto kwa stress.

Ndio maana aliapa hataki tena marafiki wa kike kabaki na akina Aristote wake sababu ya Tessy.

Kiasi, ila Caren mzuri zaidi.
 
Maji kupwa maji kujaa kilimo cha mwani chashamiri chawaondoa watu mjini!
 
Lakini yule inafahamika alikuwa zee la tungi sana, hivyo figo kuleta shida ni haki kabisa.
 
Inabidi aache na kuigiza sasa maana huwezi ishi bongo movie kilokole. Bongo movie is a cult
 
Yani hao utadhani walizaliwa pamoja, vichwa maji wote!

Mimi huwa naona huyu alichomfanyia yule mume wake hakitokaa kimuache, anayopitia ni Karma.
Uamuzi wa kuokoka ni sahihi kama atatubu kweli ile dhambi imuondokee.
 
Mkuu nimecheka sana 🤣🤣🤣

Kwamba Nabii Mkuu ana macho ya ‘rohoni’ na ‘huduma’ zote anatoa?
Za kiroho na kimwili?
Lols
 
Inabidi aache na kuigiza sasa maana huwezi ishi bongo movie kilokole. Bongo movie is a cult
Mbona wapo waigizaji waliompokea Yesu? Ile ni kazi Mkuu.
 
Mbona wapo waigizaji waliompokea Yesu? Ile ni kazi Mkuu.
Wanafiq hao. Ili ukae bongo movie lazima uende kwa sangoma vinginevyo watakuzima fasta. Bongo movie wanarogana sana kama wanavyo rogana wasanii wa singeli
 
Mkuu nimecheka sana 🤣🤣🤣

Kwamba Nabii Mkuu ana macho ya ‘rohoni’ na ‘huduma’ zote anatoa?
Za kiroho na kimwili?
Lols
Ukielewa msemo wa mbuzi kafia kwa muuza supu utaelewa pia nabii mkuu hanaga macho ya kawaida 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…