Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Enzi zile ilikuwa moyo, kila mmoja kapatwa shambulio la moyo 🤣🤣🤣
Ile ya shambulio la moyo haikuwa na madhara kwa jamii... hii ya figo inaambatana na michango kutoka kwa raia. Baadhi yao wameenda mbali zaidi kwa kufungua FOUNDATION kupitia hii excuse ya gonjwa na figo. Ninawashauri mastaa wakiwa kwenye umaarufu wao walinde sana afya ya figo.
 
Hiyo biashara anaiweza sana Gigy Money, alitangaza vizuri na watu wakamjua nabii Malisa kupitia hilo tangazo.

Sasa basi baada ya tangazo kufaulu Gigy Money alirudi Misri kuendelea na utumwa wake akapiga video ya ngono akinyanduliwa ilhali hana mume wala mchumba 😂

Kweli hizi ni biashara rasmi kabisa.
Sasa si bora Malisa? Hujaona vituko vya kwa Geor Davie watu wanachora hadi tattoo?

Mimi alinichosha Shamsa Ford!
 
Ana watu na connection na wakubwa ila ndio mvivuuuuu hafai!

Wewe jiulize hiyo filamu aliyoizindua kwa mbwembwe hivyo imeishia wapi?
Dah , huyu km wema sepetu tu , hawana akili ...ngoja nikupe kisa cha huyu mdada ndio maana namkubali

2010, April nilikua Kigali,Rwanda..wkt niko club usiku ,club KBC ,nikaona ulinzi mkubwa, waandishi wa habari ,wadada wanaita Oprah,Oprah ile ya kutaka kumgusa na kupiga nae picha ..ikawa ngumu , mie muda huo nashangaa yule nani ..sasa ile club ina V.I.P ..na mm kwa mgeni niliyekua nae inabidi kukaa VIP ,naingia VIP namkuta huyu Irene akiwa na yule mumewe player ,macdonald maliga, tukajumuika meza moja na yule mgeni wangu ...aisee huko nje ilikua ni Oprah,Oprah,Oprah ili wamtoe awasalimie ..
 
Sasa si bora Malisa? Hujaona vituko vya kwa Geor Davie watu wanachora hadi tattoo?
Unajua nabii mkuu msemaji wa serikali ya mbinguni ana uzoefu mwingi kuhusu mahitaji binafsi ya kondoo zake hasa wale wa jinsia ya kike.

Wanaosumbuliwa na upwiru anawajua sana na huwahudumia ipasavyo.

Wanaosumbuliwa na njaa anawajua pia na hao huwahudumia kwa masharti nafuu ya kuchora tattoo kwenye miili yao kisha Wanapewa cash kupoza njaa zao.

Zote hizo ni biashara.
 
Kahaba ni kahaba tu,
Kumbuka hadi Yesu alimbariki mwanamke yule Kahaba, na akawatahadharisha wengine aliye msafi na awe wa kwanza kumpiga mawe.

Vipi wewe Mkuu, U msafi?
 
Ila Tessy amekaa ki wife material naona..na hivi alivyopungua. Namfananisha sana na Caren sijui kwa nini
Mhhhh wewe Tessy humjui, kafundishwa ‘michezo mibaya’ na huyu dada aliyeokoka kisha akamgeuka akapita na danga lake dada wa watu kidogo akate moto kwa stress.

Ndio maana aliapa hataki tena marafiki wa kike kabaki na akina Aristote wake sababu ya Tessy.

Kiasi, ila Caren mzuri zaidi.
 
Mshindi namba 5 wa Miss Tanzania 2006, muigizaji na mjasiriamali Irene Pangras Uwoya, 35 amempokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yake!

Muigizaji huyo aliyezaliwa na kulelewa katika Ukatoliki, alifikia uamuzi huo baada ya kukumbwa na maswahibu yaliyotishia uhai wake.

Mjane huyo wa marehemu Ndikumana, ambaye walifunga ndoa takatifu ya Kikristo mwaka 2008 hadi walipotengana 2013, kisha kuolewa na Dogo Janja kwa ndoa ya Kiislam Oktoba 2017 kabla ya kutengana mwaka mmoja baadaye, anaonekana kweli kudhamiria katika imani yake hiyo mpya baada ya kuonekana akiwa amebadili mwenendo hadi wa mavazi yake!

CHANZO NI UZINDUZI WA FILAMU …!
Kama unafuatilia vyema tasnia ya filamu chini, utakuwa umesikia kuhusiana na ujio wa filamu mpya kutoka kwa muigizaji huyo, Olema ambayo ilizinduliwa Septemba 8 mwaka huu jijini Arusha.

Uzinduzi huo ulioambatana na mkusanyiko mkubwa wa nyota wakubwa kutokea tasnia hiyo na wengineo jijini hapo, ulifana kwelikweli!
Pesa ilitumika, pesa ikaonekana katika uzinduzi huo!

Irene aliyeonekana kuwekeza nguvu na pesa nyingi katika filamu hiyo, alikuwa na mipango mingi, ikiwemo uzinduzi katika majiji makubwa nchini.

Hata hivyo, mipango sio matumizi… Mipango hiyo ilivurugika alipotua jijini Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya uzinduzi wa filamu hiyo jijini hapo, hali yake ya kiafya ilibadilika ghafla!

Hali ilikuwa mbaya sana, uamuzi wa haraka ukachukuliwa kumuwahisha Dar Es Salaam kwa ajili ya uangalizi zaidi wa kimatibabu.
Irene aliugua sana, hali iliyopekea kupungua kimwili.

USHIRIKINA WATAJWA…
Kama mjuavyo palipo na wengi pana mengi, kila mmoja ana lake juu ya kilichomkuta Uwoya katikati ya uzinduzi wa filamu yake hiyo aliyowekeza hela nyingi.

Irene alipokea sifa kedekede kutoka kwa wadau wa filamu nchini baada ya kuonesha njia ya mabadiliko na mapinduzi baada ya tasnia hiyo kudorora, inasemekana wenzie hawakupendezwa na hilo, wakafanya ya kufanya!

Tazama pichani, hapa ni kabla ya kuuguaView attachment 2855638


Baada ya kuugua… Huu ndio muonekano wake mpya.View attachment 2855639

KUOKOKA SIO KAZI…
Kumrudia Mungu ni jambo jema, na yafaa kupongezwa katika hilo. Lakini haizuii sisi kujiuliza kutokana na aina ya maisha yake iliyozoeleka…
Atadumu katika Ulokole? Vipi zile bata na machawa wake ndio zimekwisha? Aristoste na wenzie watafute cha kufanya mjini boss kaokoka?

Irene ameonesha mabadiliko katika matanuzi kwani hata birthday yake mwaka huu ambayo husheherekea kila mwaka ifikapo Dec. 18 haikuwa kama ilivyozoeleka wakati mwingine akikodi eneo zima la starehe na kufanya kufuru ya hela!
Tumuombee!


Kupitia chanzo changu cha kuaminika,

Nifah
Maji kupwa maji kujaa kilimo cha mwani chashamiri chawaondoa watu mjini!
 
Ile ya shambulio la moyo haikuwa na madhara kwa jamii... hii ya figo inaambatana na michango kutoka kwa raia. Baadhi yao wameenda mbali zaidi kwa kufungua FOUNDATION kupitia hii excuse ya gonjwa na figo. Ninawashauri mastaa wakiwa kwenye umaarufu wao walinde sana afya ya figo.
Lakini yule inafahamika alikuwa zee la tungi sana, hivyo figo kuleta shida ni haki kabisa.
 
Inabidi aache na kuigiza sasa maana huwezi ishi bongo movie kilokole. Bongo movie is a cult
 
Dah , huyu km wema sepetu tu , hawana akili ...ngoja nikupe kisa cha huyu mdada ndio maana namkubali

2010, April nilikua Kigali,Rwanda..wkt niko club usiku ,club KBC ,nikaona ulinzi mkubwa, waandishi wa habari ,wadada wanaita Oprah,Oprah ile ya kutaka kumgusa na kupiga nae picha ..ikawa ngumu , mie muda huo nashangaa yule nani ..sasa ile club ina V.I.P ..na mm kwa mgeni niliyekua nae inabidi kukaa VIP ,naingia VIP namkuta huyu Irene akiwa na yule mumewe player ,macdonald maliga, tukajumuika meza moja na yule mgeni wangu ...aisee huko nje ilikua ni Oprah,Oprah,Oprah ili wamtoe awasalimie ..
Yani hao utadhani walizaliwa pamoja, vichwa maji wote!

Mimi huwa naona huyu alichomfanyia yule mume wake hakitokaa kimuache, anayopitia ni Karma.
Uamuzi wa kuokoka ni sahihi kama atatubu kweli ile dhambi imuondokee.
 
Unajua nabii mkuu msemaji wa serikali ya mbinguni ana uzoefu mwingi kuhusu mahitaji binafsi ya kondoo zake hasa wale wa jinsia ya kike.

Wanaosumbuliwa na upwiru anawajua sana na huwahudumia ipasavyo.

Wanaosumbuliwa na njaa anawajua pia na hao huwahudumia kwa masharti nafuu ya kuchora tattoo kwenye miili yao kisha Wanapewa cash kupoza njaa zao.

Zote hizo ni biashara.
Mkuu nimecheka sana 🤣🤣🤣

Kwamba Nabii Mkuu ana macho ya ‘rohoni’ na ‘huduma’ zote anatoa?
Za kiroho na kimwili?
Lols
 
Inabidi aache na kuigiza sasa maana huwezi ishi bongo movie kilokole. Bongo movie is a cult
Mbona wapo waigizaji waliompokea Yesu? Ile ni kazi Mkuu.
 
Mbona wapo waigizaji waliompokea Yesu? Ile ni kazi Mkuu.
Wanafiq hao. Ili ukae bongo movie lazima uende kwa sangoma vinginevyo watakuzima fasta. Bongo movie wanarogana sana kama wanavyo rogana wasanii wa singeli
 
Mkuu nimecheka sana 🤣🤣🤣

Kwamba Nabii Mkuu ana macho ya ‘rohoni’ na ‘huduma’ zote anatoa?
Za kiroho na kimwili?
Lols
Ukielewa msemo wa mbuzi kafia kwa muuza supu utaelewa pia nabii mkuu hanaga macho ya kawaida 😂
 
Back
Top Bottom