Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Yes baba PUTIN ANATUPA RAHA SANA. Unataka tufanyaje??
Yani unafurahia kabisa kumsifia mwanaume mwenzako anakupa raha!
Hizi ni dalili za rainbow [emoji304]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes baba PUTIN ANATUPA RAHA SANA. Unataka tufanyaje??
Kichapo kinaendelea na malengo lazima yafikiwe!
Hizo nyingine ni ngonjera tu ambazo hazibadilishi chochote!
Vita sio birthday kwamba mnafumua shampeni kwa dakika 2
Weka link mkuu tuone alivyo semaBabu yenu Putin alivyosema kwamba ni operation ndogo itaisha ndani ya saa 72 alifikiri vita ni birthday sio!
Nenda google wewe usisubiri kutafuniwa kila kitu.Weka link mkuu tuone alivyo sema
Russia anaitandika ulaya yote na kaka yao marekani. Unakumbuka umoja wa ulaya walivyosema kushindwa kwa Ukraine ni kushindwa kwa ulaya eti wakitegemea sanctions zitawasaidia. IMEKULA KWAO kudadekiBabu yenu Putin alivyosema kwamba ni operation ndogo itaisha ndani ya saa 72 alifikiri vita ni birthday sio!
Hizo zilipendwa, sasahivi tunakwenda na mdundo wa hypersonic. Sasahivi mna kazi ya kubadilisha michumachuma yenu wenyewe mnaiita mifumo ya ulinzi wa anga 🤣🤣Nenda google wewe usisubiri kutafuniwa kila kitu.
Ule msafara wa gari zaidi ya Mia kuelekea Kyiv umeishia wapi?!
Weka link kiongozi kama huna sema maneno ya taarabu haya fai humuNenda google wewe usisubiri kutafuniwa kila kitu.
Ule msafara wa gari zaidi ya Mia kuelekea Kyiv umeishia wapi?!
Weka link kiongozi kama huna sema maneno ya taarabu haya fai humu
Nenda google mzee! Usisubiri kutafuniwa.Weka link kiongozi kama huna sema maneno ya taarabu haya fai humu
SMO ya masaa 72 imegeuka mwaka sasaHizo zilipendwa, sasahivi tunakwenda na mdundo wa hypersonic. Sasahivi mna kazi ya kubadilisha michumachuma yenu wenyewe mnaiita mifumo ya ulinzi wa anga 🤣🤣
Washington ikisema jambo huwa inalijua angalau kwa 85%. Walisema ana mpamgo wa kuishambulia Ukraine, akapingapinga halafu baadaye akashambulia kweli.
So ile ishu ya masaa 72 kumaliza vita walimu underestimate Ukraine?Haya maneno ya kwenye kanga ndiyo yamesababisha Ukraine kubaki magofu malengo ya stori kama hizi ni kui underate Russia ndo maana kipigo kipo palepale. Russia anapigana na nchi 56 ikiwamo USA canada uingereza ujeruman ufaransa Japan Italy na nyingine nyingi na kuna jeshi kubwa lipo Ukraine kutoka hizi nchi na silaha lukuki pamoja na màbilion ya dola vyote hivi vimepelekwa na bado vimepelekwa huko Ukraine ili kupambana na Russian.
Wapo matekà zaidi ya 800 ambao wengi ñi Makomando wapo mikononi mwa jeshi la urusi hawa ni majemadari waliokamatwa na jeshi la urusi ni wa mataifa hayo 56 wanabanwa kende huko ili waeleze vizuri walitumwa na nani ktk kiwanja wa vita. Urusi yaweza zidiwa vitu vingi na NATO allies lakini ktk kiwanja wa vita urusi ni kigingi ndo maàna wakubwa waliungana iĺi kumdhibiti mrusi
Hii vita imesababisha Marekani apoteze ushawishi wote aliokuwa nao miaka ya nyuma.Baada ya hivi Vita sidhani kama Putin atabaki na ushawishi aliokuwa nao kabla.....hii Vita imemdhalilisha kabisa.
Ajasema ila wapambe ndio mmesharukia hilo.Babu yenu Putin alivyosema kwamba ni operation ndogo itaisha ndani ya saa 72 alifikiri vita ni birthday sio!
Alipiga mkwara mwanzoni kabisa hadi mpaka Wamarekani wakaingia upepo wakataka dogo Zele akimbie nchi ila dogo akakomaa kiume!Ajasema ila wapambe ndio mmesharukia hilo.
Wapi aliposema hivyo,, acha umbea naona umekaza fuvu mda wote,,, tuwekee basi hata link au video tuone hapo Putin aliposema hivyo na sisi tuone,,,Alipiga mkwara mwanzoni kabisa hadi mpaka Wamarekani wakaingia upepo wakataka dogo Zele akimbie nchi ila dogo akakomaa kiume!
ushabiki unakutia ukichaa , fuatilia bila mahaba kila kitu kipo waz , bila kwenda mbali Putin amewai waomba jeshi la Ukraine kumuondoa madarakan ZeleTupatie ushahidi wa unaothibitisha kwamba Pitin alipania kumuondoa madatakani Zelensky - mnaendeleza propaganda zenu eto Putin alitaka kusimika Serikali ya Kibaraka wake huko Kiev - tukisema leta ushahidi huna, unayo yasema umeyasikia kwenye MSM basi.
na urusi rasmi inaenda kuwa kolon la China , warusi wenye itimamu washaanza lalamika tyrBaada ya hivi Vita sidhani kama Putin atabaki na ushawishi aliokuwa nao kabla.....hii Vita imemdhalilisha kabisa.
hii reply imeandikwa na mtu mzima mwenye familia yake kabisaMpaka Wa Finland Wote umtegewa mabomu ya Nuclear tena usalama imeimarishwa just incase finland ndio itaanza kuchomwa moto yote..Yaani Hawa NATO WOOTE wameungana wakimuogopa Mrusi na Mchina tu...hakuna watu waoga kama hawa...
kwahiyo wewe ndo unajua kuliko al qaida ? wao wasipinge ila wewe ndo mpingaj , hao sio mazuzu kama wewe , wanaangalia kesho , kufanya hivyo ingeleta taharuk Osama alikuwa mtu wa watu , hata hizo mentality zako wao USA ndo wameziunda piaKuwa na akili basi ata kidogo, kukubali kiongozi wao amekufa, haimaanishi ameuwawa na USA.