Baada ya kunyimwa silaha na China, Urusi sasa yaendelea kufuata Korea Kaskazini

Baada ya kunyimwa silaha na China, Urusi sasa yaendelea kufuata Korea Kaskazini

Wapi aliposema hivyo,, acha umbea naona umekaza fuvu mda wote,,, tuwekee basi hata link au video tuone hapo Putin aliposema hivyo na sisi tuone,,,
hz habari tulizisoma wote hapa hapa na mlikuwa mnasifia kuwa ndo SMO fupi kupita kiasi na mlifika hatua na kufananisha na SMO ya USA huko Iraq , hizo link unataka utumiwe kwan umejiunga JF jana ?
 
hz habari tulizisoma wote hapa hapa na mlikuwa mnasifia kuwa ndo SMO fupi kupita kiasi na mlifika hatua na kufananisha na SMO ya USA huko Iraq , hizo link unataka utumiwe kwan umejiunga JF jana ?
Umezisoma wote na nani? Hizo ngonjera zenu mlizitunga tu ili kujitia moyo, eti operesheni ya masaa 72,, weka basi hata kavideo au link au post number ngapi pro Russia yoyote aliesema kwamba iyo smo itaenda masaa 72 kama sio nyie mliozusha haya pro upinde,,,!!
 
Mashoga katika ubora wao, inasikitisha sana mwafrika kushabikia marekani na nato. Mtafumuliwa malinda hadi mfe pumbavu kabisa.

Maustadhi mumekomalia ushoga ila kwenu huko pwani, Mombasa na Pemba ndio ushoga umeshamiri.
 
Mashoga katika ubora wao, inasikitisha sana mwafrika kushabikia marekani na nato. Mtafumuliwa malinda hadi mfe pumbavu kabisa.
Nyie mnaojifanyia kuutaja ushoga kila dakika ndio unakuta mnafukuliwa mitaro hadi mnatia huruma.
 
Enzi za vita vya pili vya dunia upande wa allies ambako USSR(sio Russia) ilikuwepo ulipewa msaada wa kijeshi na Marekani, vinginevyo uwanja ulikuwa umeshainamia kwao.
Germany hakutakiwa shindwa ile vita
 
Babu yenu Putin alivyosema kwamba ni operation ndogo itaisha ndani ya saa 72 alifikiri vita ni birthday sio!
Putin na wafuasi wake hawana akili, mtu yuko vitani afu anaanza lia oooh tunaupinga ushoga, kama vile vita ni ya ushoga
 
Back
Top Bottom