Baada ya kunyimwa silaha na China, Urusi sasa yaendelea kufuata Korea Kaskazini

Baada ya kunyimwa silaha na China, Urusi sasa yaendelea kufuata Korea Kaskazini

Inategemea, ukiwa supapawa wa kweli vita unapigana huku wanajeshi wako wakila burger na pizza....
Hebu tupe vita za superpower alizopigana peke yake akiwa anakula pizza na burger
 
umeandika gazeti refu sana kama vile wewe ni msemaji wa Putin. Unakumbuka mikutano hii? Huyu ndugu yako alikuwa ajiamaini kuwa ana special military operation ataingia Ukraine na kuondoa serikali ilipo ili aweke ya kibaraka wake na mambo yawe yamekwisha; kumbe amekali kaa la moto. Hizi propaganda zako haziendi popote kwa wenye kujua mambo kikamilifu.

Kwa taarifa yako ni kwamba Putin anaumizwaa nchi za jirani zinapofanya uchaguzi wa kidemokrasia na kubadili viongozi. Aliivamia Georgia kwa sababu hiyo hiyo na sasa kaivamia Ukraine akidhani ni sppecial military operation kwa sababu Ukraine imekuwa inafanya uchaguzi kubadili viongozi mara kwa mara. Hajailalamikia Belarus kwa vile pale kuna dikteta mwingine kama yeye. Sasa wewe unakuja na filimbi ndefu za kipropaganda ukidhani wote hapa ni mbu,mbumbu wa global politics.

220216-putin-scholz-mn-1630-72c559.jpg

c28a0000-0aff-0242-3bfb-08d9eb0508a3_w1200_r1.jpg

960x0.jpg
Tupatie ushahidi wa unaothibitisha kwamba Pitin alipania kumuondoa madatakani Zelensky - mnaendeleza propaganda zenu eto Putin alitaka kusimika Serikali ya Kibaraka wake huko Kiev - tukisema leta ushahidi huna, unayo yasema umeyasikia kwenye MSM basi.
 
Washington ikisema jambo huwa inalijua angalau kwa 85%. Walisema ana mpamgo wa kuishambulia Ukraine, akapingapinga halafu baadaye akashambulia kweli. Walichokosea tena kidogo tu ni kudhani kuwa atashinda mashambulizi yale kwani waliamini walikuwa na vifaru vingi pamoja na jeshi kubwa kuliko Ukraine, lakini jeshi la jamaa likafyekwa na vifaru vikateketezwa hovyo hovyo.

Halafu warusi ni washenzi kweli; mwenzao akiumizwa wanammalizia na kumwacha huko huko porini, hawana ile motto ya kijeshi kuwa "No one left behind."
Baada ya hivi Vita sidhani kama Putin atabaki na ushawishi aliokuwa nao kabla.....hii Vita imemdhalilisha kabisa.
 
Tupatie ushahidi wa unaothibitisha kwamba Pitin alipania kumuondoa madatakani Zelensky - mnaendeleza propaganda zenu eto Putin alitaka kusimika Serikali ya Kibaraka wake huko Kiev - tukisema leta ushahidi huna, unayo yasema umeyasikia kwenye MSM basi.
Mtetezi mkuu wa Putin!

Haya na wewe leta ushahidi kwamba urusi ilivamiwa NATO kupitia Ukraine kwa hiyo ikalazimika kujitetea
 
Aisee, kwa hiyo, unapingana na wasemaji wa Pentagon kuwa shehena za silaha hizo walizopeleka Ukraine hazikufika? Kwamba DoD inawaibia Wamarekani kwa kuwasilisha maelezo yasiyosahihi kuhusu silaha wanazopela Ukraine?
===
Mkuu kuwa makini, utaenguliwa kwenye kitengo cha kuibeba(kufisha udhaifu) Marekani mitandaoni.

Shehena isikuumize kichwa, ila napenda sana namna wazalendo wa Ukraine wamezitumia kutembeza kichapo kwa supapawa mtume wenu Putin. Aisei kwa kiherehere mlichokua nacho nilihani Ukraine itafutika kwa wiki moja, leo mnalialia kuhusu shehena....hehehe
 
Hebu tupe vita za superpower alizopigana peke yake akiwa anakula pizza na burger

Supapawa hajakumbana na changamoto ya kushindwa kufumua kainchi jirani hapo kama ambavyo mutme wenu ameshindwa na Ukraine.
 
Shehena isikuumize kichwa, ila napenda sana namna wazalendo wa Ukraine wamezitumia kutembeza kichapo kwa supapawa mtume wenu Putin. Aisei kwa kiherehere mlichokua nacho nilihani Ukraine itafutika kwa wiki moja, leo mnalialia kuhusu shehena....hehehe
Sasa naona umerudi kwenye mstari. Endelea Sasa na Mjadala wako. Asubuhi njema.
 
Mpaka Wa Finland Wote umtegewa mabomu ya Nuclear tena usalama imeimarishwa just incase finland ndio itaanza kuchomwa moto yote..Yaani Hawa NATO WOOTE wameungana wakimuogopa Mrusi na Mchina tu...hakuna watu waoga kama hawa...

Hehehe huwa mnachekesha sana, yaani vitu ambavyo huwa mnaaminishana huko na kufarijiana....
 
Washington ikisema jambo huwa inalijua angalau kwa 85%. Walisema ana mpamgo wa kuishambulia Ukraine, akapingapinga halafu baadaye akashambulia kweli. Walichokosea tena kidogo tu ni kudhani kuwa atashinda mashambulizi yale kwani waliamini walikuwa na vifaru vingi pamoja na jeshi kubwa kuliko Ukraine, lakini jeshi la jamaa likafyekwa na vifaru vikateketezwa hovyo hovyo.

Halafu warusi ni washenzi kweli; mwenzao akiumizwa wanammalizia na kumwacha huko huko porini, hawana ile motto ya kijeshi kuwa "No one left behind."
Russia ni jeshi lisilo na weledi, lina nidhamu kidogo na morali ya chini sana kwa sababu ya Rushwa, nepotism na siasa kutawala zaidi hadi frontlines.
 
Serikali ya Putini inawafanyia mambo mabaya sana baadhi ya jamii ambao ni raia wa Russia, inaokoteza vijana kwa sababu ya njaa zao tu na kwenda kuwafanya cannon fodder huko Ukraine.
Huwa wanawaua wenyewe na kuwaacha huko huko, siyo kwamba wameafanyiwa counter offensive. Vijana wengi waliokuwa conscripted kutoka sehemu za mashariki mwa urusi walipofika kwenye uwanja wa mapamabano wakatetemeka kwa vile walikuwa hawategemei mapambano ya ana kwa ana. Walipoogopa kuingia mapambanoni, askari contracted wakapiga risasi ni kuacha miili yao huko huko. Aliyepona kifo akajisamilisha Ukraine kama mateka alikuwa anaongea mbele ya camera akirekodiwa.
 
Enzi za vita vya pili vya dunia upande wa allies ambako USSR(sio Russia) ilikuwepo ulipewa msaada wa kijeshi na Marekani, vinginevyo uwanja ulikuwa umeshainamia kwao.
Siku ukielewa kuwa Russia iliwahi mtoa mvamizi Moscow hadi Berlin ndio utaelewa kwanini hao jamaa wanaogopwa na mataifa yote. Hao jamaa wana mbinu kama million 6 za kushinda vita na wana uzoefu wa kutosha. Don't be fooled na speed yao hapo Ukraine. Huwa wanapigana kushinda sio kwa kujihami
 
Nilitegemea USA aingie Moja kwa Moja UKRAINE nakumtwanga mvamizi akimbie kurudia kwake URUSI. Nasio kutuma askari wakajifiche kwenye mashimo huko UKRAINE.

Aingie kufanya nini wakati dogo Zele anatosha kumpapasa makalio Putin.
Au unadhani vita ni kama mchezo wa mieleka?
 
Back
Top Bottom