Baada ya kunyimwa silaha na China, Urusi sasa yaendelea kufuata Korea Kaskazini

Baada ya kunyimwa silaha na China, Urusi sasa yaendelea kufuata Korea Kaskazini

Hii vita itaangusha wengi kwa njia tofauti
 

Attachments

  • VID-20230330-WA0006.mp4
    3.7 MB
Unarudia propaganda za Urusi kudai kuwa inapigana na NATO baada ya kubanwa na taifa dogo la Ukraine. zile Himars 12 tu zimemtoa jasho la damu sasa kweli Marekani atue pale na silaha zake zote Urusi itafurukuta kweli?
Nani kamzuia kutua sasa?
 
Kwani vita ya marekani hiyo? Umesahahu hiyo ni special military operation ya Putin.
Huyo Putin akitaka akutane na kichapo cha Marekani apige Alaska ambapo anapakana na Marekani moja kwa moja aone cha mtema kuni.
Kwani msaada anatoa nani kwenye hiyo vita sio marekani na washirika wake kwanini asiingie kama anaweza ili amalize hiyo operation ya putin.
 
Mtu kukusaid hain maana anakupiganie vita. Tanzania tunasaidiwa sana na na nchi za Magharibi, je unataka zije zichukue majukumu yetu kwa vile zinatusaidia?
Tabu anayo ipata zele hawaioni miji inavyo haribiwa hawaioni msaada upi huo wakati bado mambo ni magumu au ni uoga tu ebu muone huju mwanajeshi wa Ukraine akilalamika mbona Syria mpaka kambi wameeka hapa wanaogopa nini

Tazama mwanajeshi huyu anavyo lia
 
Shida sio kuachia Bakhmut, Urusi mliyokua mnaisifia ilipaswa iparamie ka-Ukraine ndani ya wiki, leo imepoteza wanajeshi 70,000 kwa oplohapo Bakhmut tu, yaani Putin anatumia wan98jajeshi wake na wafungwa kama mifugo wajifie mizoga itapakae kote kisa kamji ka Bakhmut.
Siku ukielewa kuwa Russia iliwahi mtoa mvamizi Moscow hadi Berlin ndio utaelewa kwanini hao jamaa wanaogopwa na mataifa yote. Hao jamaa wana mbinu kama million 6 za kushinda vita na wana uzoefu wa kutosha. Don't be fooled na speed yao hapo Ukraine. Huwa wanapigana kushinda sio kwa kujihami
 
Supapawa anatapatapa, kalemazwa na kainchi kadogo.

"We have new information that Russia is actively seeking to acquire additional munitions from North Korea," said White House national security spokesman John Kirby.

He said the man, identified as Ashot Mkrtychev, 56, of Bratislava, was working on arms-related sales and barter deals between the two countries between late 2022 and the early part of this year.

"With the support of Russian officials, Mkrtychev has been attempting to broker a secret arms agreement between Russia and North Korea," he said.

Under discussion was for North Korea to ship "over two dozen" kinds of weapons and munitions to Russia, according to the US Treasury, which placed Mkrtychev on its sanctions blacklist.

In exchange, the Treasury said, Pyongyang would obtain cash, commercial aircraft, commodities and raw materials.

Kirby said Washington understands that Russia seeks to send a delegation to North Korea and is offering Pyongyang food in exchange for munitions.

He did not say if any deals had been completed, or detail the specific weapons involved.

Joe biden alisema China, inahusika kuipa silaha Urusi ...mwenzako anatumia intelligence ya CIA kutoa majibu hayo WEWE unatumia intelligence gani?????????

Wewe ni shabiki wa Vita unayetumia hisia, Huna mapenzi na Ukraine......unafurahi kuona NATO wakiichakaza Ukraine...Maneno yako hayana matumaini yoyote kwa Ukraine.....vita inapigwa Ukraine wanaumia wa Ukraine...watu wanakufa Ukraine.....sababu ya NATO PUPPETS ......na una wa support ...duu LOST DREAM....
 
Siku ukielewa kuwa Russia iliwahi mtoa mvamizi Moscow hadi Berlin ndio utaelewa kwanini hao jamaa wanaogopwa na mataifa yote. Hao jamaa wana mbinu kama million 6 za kushinda vita na wana uzoefu wa kutosha. Don't be fooled na speed yao hapo Ukraine. Huwa wanapigana kushinda sio kwa kujihami

Ahha wapi, soma historia uelewe nini kilisababisha Hitler ajikanganye bada ya kuwapiga Warusi, tena alidhoofishwa na mataifa ya Magharibi wakiwemo Marekani, huwa simpendi Hittler lakini alikua bonge la military genious, ni ile tu alichemsha hapo Stalingrad.
Urusi ilipoteza wanajeshi zaidi ya milioni 20, yaani meat grinder, na yote hiyo baada ya kusaidiwa moja kwa moja na Marekani na mataifa yote ya Magharibi.
Kwa kifupi Urusi ni bonge la useless...
 
Joe biden alisema China, inahusika kuipa silaha Urusi ...mwenzako anatumia intelligence ya CIA kutoa majibu hayo WEWE unatumia intelligence gani?????????

Wewe ni shabiki wa Vita unayetumia hisia, Huna mapenzi na Ukraine......unafurahi kuona NATO wakiichakaza Ukraine...Maneno yako hayana matumaini yoyote kwa Ukraine.....vita inapigwa Ukraine wanaumia wa Ukraine...watu wanakufa Ukraine.....sababu ya NATO PUPPETS ......na una wa support ...duu LOST DREAM....

Wacha kutegemea taarifa za vijiweni, jielimishe kidogo kuhusu hivi vita, China ilionywa na Marekani isijaribu kuisaidia Urusi ‘Gigantic mistake’: Biden warned China’s Xi over aiding Russia
 
Ahha wapi, soma historia uelewe nini kilisababisha Hitler ajikanganye bada ya kuwapiga Warusi, tena alidhoofishwa na mataifa ya Magharibi wakiwemo Marekani, huwa simpendi Hittler lakini alikua bonge la military genious, ni ile tu alichemsha hapo Stalingrad.
Urusi ilipoteza wanajeshi zaidi ya milioni 20, yaani meat grinder, na yote hiyo baada ya kusaidiwa moja kwa moja na Marekani na mataifa yote ya Magharibi.
Kwa kifupi Urusi ni bonge la useless...
Subiria sasa huyo Useless awaonyeshe kazi.
 
Unarudia propaganda za Urusi kudai kuwa inapigana na NATO baada ya kubanwa na taifa dogo la Ukraine. zile Himars 12 tu zimemtoa jasho la damu sasa kweli Marekani atue pale na silaha zake zote Urusi itafurukuta kweli?
Haifurukuti atue sasa ili mvamizi akimbizwe.
 
Haya maneno ya kwenye kanga ndiyo yamesababisha Ukraine kubaki magofu malengo ya stori kama hizi ni kui underate Russia ndo maana kipigo kipo palepale. Russia anapigana na nchi 56 ikiwamo USA canada uingereza ujeruman ufaransa Japan Italy na nyingine nyingi na kuna jeshi kubwa lipo Ukraine kutoka hizi nchi na silaha lukuki pamoja na màbilion ya dola vyote hivi vimepelekwa na bado vimepelekwa huko Ukraine ili kupambana na Russian.

Wapo matekà zaidi ya 800 ambao wengi ñi Makomando wapo mikononi mwa jeshi la urusi hawa ni majemadari waliokamatwa na jeshi la urusi ni wa mataifa hayo 56 wanabanwa kende huko ili waeleze vizuri walitumwa na nani ktk kiwanja wa vita. Urusi yaweza zidiwa vitu vingi na NATO allies lakini ktk kiwanja wa vita urusi ni kigingi ndo maàna wakubwa waliungana iĺi kumdhibiti mrusi
Ukraine anaisaidia superpower wa EAC
 
Back
Top Bottom