Baada ya kunyimwa silaha na China, Urusi sasa yaendelea kufuata Korea Kaskazini

Baada ya kunyimwa silaha na China, Urusi sasa yaendelea kufuata Korea Kaskazini

Washington ikisema jambo huwa inalijua angalau kwa 85%. Walisema ana mpamgo wa kuishambulia Ukraine, akapingapinga halafu baadaye akashambulia kweli. Walichoksea tena kidogo tu ni kudhani kuwa aatashinda mashambuliz yale kwani waliamini walikuwa na vifaru vingi pamoja na jeshi kubwa kuliko Ukraine, lakini jeshi la jamaa likafeywaka na vifaru vikateketezwa hovyo hovyo.

Halafu warusi ni washenzi kweli; mwenzao akiumizwa wanammalizia na kumwacha huko huko porini, hawana ile motto ya kijeshi kuwa "No one left behind."
Unaandika kujifurahisha!Kama Russia anarudisha maiti za askari wa Ukraine Tena kwenye majeneza,ataachaje kuwarudisha wa kwake?
Pili,Hilo la kuivamia hata Mimi nilijua!Baada ya kuona Russia kasogeza jeshi na vifaa vita zaidi ya laki Moja mpakani na Ukraine nilijua kinachofuata!Watu wengi walijua!
Hakuna maajabu hapo,kama wewe hukujua basi una tatizo!
Yaani Leo China isogeze majeshi na vifaa vita kuisogelea Taiwan halafu usijue kifuatacho!!!
 
Ndiyo maana waliimarisha ukusanyaji habari.wajichangechangeYaani ile ya miaka 20 iliyopita wakati Urusi ikiwa bado ni maskini wa kutupa, na hata jeshi la Marekani la leo siyo lile la miaka 20 iliyopita.

Una mawazo yale yale mgando ya Putin ya miaka 20 iliyopita ambapo kila akihutubia lazima alaumu Marekani asema uvamizi wa Iraq wakati wenzake wameshakwenda mbele. Miaka hiyo ishiri hata China haikuwa na kitu lakini leo anaenda kuwaomba msaada.
Russia haombi msaada,ananunua silaha!USA angekuwa anajiweza,si angetoa silaha peke yake?Kwanini wajichangechange silaha Ili kumsaidia Ukraine?
Au hujajua stock za NATO nlzilivyokaushwa Ammunition mpaka wanaongeza Production?
Kwenda tu Iraq,nchi dhaifu kijeshi,US alienda na washirika wake!
Nyie watu sijui mnawa vipi?Ukraine kusaidiwa silaha ni sawa na mnapigw vigelegele,ila Russia kununua silaha mnapata tabu!
 
Urusi walikuwa wakitembea jina la Soviet Union tu kudhani kuwa wanaogopwa kama ilivyokuwa Soviet Union ya enzi hizo. Hata walipoanza mazungumzo ya amani huko Belarus na Uturuki, Lavrov alikuwa akiingia mkutanoni kwa majigambo akidai kuwa lazima Ukraine i-surrender kwanza ndipo kuwe na amani ama sivyo hakutakuwa na Ukraine itakayobaki. Majuzi nimesikia kwenye mjadala huko India akiwa analalamika kuwa eti Ukraine ndiyo ilianzisha vita hiyo, na hapo Urusi inajitetea tu.
Kichapo kinaendelea na malengo lazima yafikiwe!
Hizo nyingine ni ngonjera tu ambazo hazibadilishi chochote!
 
Urusi walikuwa wakitembea jina la Soviet Union tu kudhani kuwa wanaogopwa kama ilivyokuwa Soviet Union ya enzi hizo. Hata walipoanza mazungumzo ya amani huko Belarus na Uturuki, Lavrov alikuwa akiingia mkutanoni kwa majigambo akidai kuwa lazima Ukraine i-surrender kwanza ndipo kuwe na amani ama sivyo hakutakuwa na Ukraine itakayobaki. Majuzi nimesikia kwenye mjadala huko India akiwa analalamika kuwa eti Ukraine ndiyo ilianzisha vita hiyo, na hapo Urusi inajitetea tu.
Sasahivi tunatembelea jina la PUTIN
 
mleta maada hana tofauti kubwa na MTU yule anaeona kibanzi ktk jicho la mwengine na kusahau boliti ktk jicho lake usipende kukosoa kosoa ni ujinga usipende kuona shida sana za jirani mpaka inafikia mahali unasahau shida zako unaongea sana maswala ya urusi as if ww ni mrusi warusi wameshikana kutetea malengo yao sisi waafrika tulishindwa hata kukemea uvamiz wa Libya yapo matatizo mengi yanayotukabiri ukosefu wa ajira utegemezi wa kiuchumi na tecknolojia je hayo huyaoni au hayana tija napenda taarifa zako Ila malengo ya taarifa zako yananipa wasiwasi kwa hivi sasa nimewadharau sana bbc ,aljazeera,CNN na DW koz taarifa zao ni za upande mmoja ww unajitia kuweka pamba ktk masikio yajayo si mazuri gala wewe mrusi anajiandaa kwa battle kubwa zaidi wamemdanganya mchekeshaji wa urusi watumie Ukraine kama battle field ameingia ktk mtego wao hawa watu hawa sasa wapo na ajenda ya feminism na ushoga hatujui n nn wanachokitafuta au wewe ni mfuasi wa ushoga dingi maana huoni kasoro kwa Sera za nato

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Your comments serves him right - tatizo lake ni kig'ang'anizi akati tamaa, hata umuelimishe vipi atarudia ngojera zake zile zile za ku-exaggerate matukio na kuwasema sema hasa Waislaam na Putin, hazungumzii chochote kuhusu advanture za jeshi la Kenya nchini Somalia na Jamuhuri ya Kongo zilivyo BUMA.
 
Unaandika kujifurahisha!Kama Russia anarudisha maiti za askari wa Ukraine Tena kwenye majeneza,ataachaje kuwarudisha wa kwake?
Pili,Hilo la kuivamia hata Mimi nilijua!Baada ya kuona Russia kasogeza jeshi na vifaa vita zaidi ya laki Moja mpakani na Ukraine nilijua kinachofuata!Watu wengi walijua!
Hakuna maajabu hapo,kama wewe hukujua basi una tatizo!
Yaani Leo China isogeze majeshi na vifaa vita kuisogelea Taiwan halafu usijue kifuatacho!!!
Inategemea wewe unapata habari zako kutoka wapi. Ukraine mpaka sasa hivi imejaza maiti za warusi kwenye mabehewa ya barafu halafu unasema inawachukuan owte. Ni kweli wanachukua baadhi lakini vile vile huwa wanawaacha wengi sana nyuma wanapofia kwenye mapambano. Urusi haijawahi kurudisha maiti za askari wa Ukraine bali wale waliokuwa wafungwa walitoka Mariupol, halafu wakawau makusudi wakiwa wafungwa; maiti za hao ndizo walizorudisha siyo kuwa eti huziokota kwenye uwanja wa vita na kuwarudisha.
 
Inategemea wewe unapata habari zako kutoka wapi. Ukraine mpaka sasa hivi imejaza maiti za warusi kwenye mabehewa ya barafu halafu unasema inawachukuan owte. Ni kweli wanachukua baadhi lakini vile vile huwa wanawaacha wengi sana nyuma wanapofia kwenye mapambano. Urusi haijawahi kurudisha maiti za askari wa Ukraine bali wale waliokuwa wafungwa walitoka Mariupol, halafu wakawau makusudi wakiwa mafungwa; maiti za hao ndizo walizorudhisha siyo kuwa eti huziokota kwenye uwanja wa vita na kuwarudisha.
Huelewi mazingira ya vita,huwezi kurudisha askari wote wanaokufa!Mfano mmefanyiwa counter offensive,Kuna mazingira ambayo hamuwezi kuevacuate askari waliouwawa maana mnaweza kuhatarisha maisha ya askari zaidi!Ndio maana Ukraine ana maiti za Russia na Russia pia ana maiti za Ukraine!
Naona kuhusu kujua kama Russia atavamia Ukraine umeelewa!
 
Huelewi mazingira ya vita,huwezi kurudisha askari wote wanaokufa!Mfano mmefanyiwa counter offensive,Kuna mazingira ambayo hamuwezi kuevacuate askari waliouwawa maana mnaweza kuhatarisha maisha ya askari zaidi!Ndio maana Ukraine ana maiti za Russia na Russia pia ana maiti za Ukraine!
Naona kuhusu kujua kama Russia atavamia Ukraine umeelewa!
Huwa wanawaua wenyewe na kuwaacha huko huko, siyo kwamba wameafanyiwa counter offensive. Vijana wengi waliokuwa conscripted kutoka sehemu za mashariki mwa urusi walipofika kwenye uwanja wa mapamabano wakatetemeka kwa vile walikuwa hawategemei mapambano ya ana kwa ana. Walipoogopa kuingia mapambanoni, askari contracted wakapiga risasi ni kuacha miili yao huko huko. Aliyepona kifo akajisamilisha Ukraine kama mateka alikuwa anaongea mbele ya camera akirekodiwa.
 
Huwa wanawaua wenyewe na kuwaacha huko huko, siyo kwamva wameafanyiwa counter offensive. Vijana wengi waliokuwa conscripted kutoka sehemu za mashari mwa urusi walipofika kwenye uwanja wa mapamabano wakatetemeka kwa vile walikuwa hawategemei mapambano ya ana kwa ana. Walipoogopa kuingia mapambanani, askari contracted wakapiga risasa ni kuacha miili yao huko huko. Aliyejisamilisha na kutekwa alikuwa anaongea mbele ya camera akirekodiwa.
Hukuona jinsi sniper wa Ukraine alivyowaua wajeda wenzake ambao walikuwa wamenyoosha vitambaa vyeupe na kuelekea upande wa Russia kujisalimisha?Video ziliwekwa humu!Unless hukuwa humu!
Vitani Kuna mengi ambayo hatuwezi kuyajua,zinabaki kuwa protocol zao!
 
Urusi walikuwa wakitembea jina la Soviet Union tu kudhani kuwa wanaogopwa kama ilivyokuwa Soviet Union ya enzi hizo. Hata walipoanza mazungumzo ya amani huko Belarus na Uturuki, Lavrov alikuwa akiingia mkutanoni kwa majigambo akidai kuwa lazima Ukraine i-surrender kwanza ndipo kuwe na amani ama sivyo hakutakuwa na Ukraine itakayobaki. Majuzi nimesikia kwenye mjadala huko India akiwa analalamika kuwa eti Ukraine ndiyo ilianzisha vita hiyo, na hapo Urusi inajitetea tu.
Someni historia ya kweli kuhusu Taifa la Ukraine lilivyo geuzwa malaya wa mabeberu baada ya mapinduzi yaliyo iondoa Serikali halali ya Ukraine ambayo ilikuwa imechaguliwa kidemokrasia na wananchi - aliye engineer mapinduzi hayo kwa kutumia NGOs za uongo na kweli, intel agencies za magharibi kuwarubuni baadhi ya waandamanaji kwa malipo na kuwalipa vile vile ma snipers walio safirishwa kutoka Merikami wakawekwa kwenye maghorofa marefu ili wawalenge na wawapige risasi baadhi ya waandamanaji halafu baadae vyombo vya habari vya magharibi vije kudai kwamba Serikali ya Ukraine iliyopo madarakani ndio inahusika na mauaji hayo - kumbe ulaghai mtupu.

Kama nilivyo sema tangu mwanzo muhusika mkuu aliye engineer vitendo hivyo vya mapinduzi: maidan/Colour/Orange revolution in Ukraine ni Merikani yenyewe. Yaani huna hata habari kwamba mazungumzo ya amani yalikuwa ni kiini macho tu - the so called wapatanishi kutoka western leadership were not serious from the word go-sasa unamlahumu Lavrov calling him names kwa kutumia vigezo gani?? FYI Lavrov is mega smart upstairs huwezi kumlinganisha na they have been wengine, one more thing as we speak Russia has gone a notch further ie no longer a super power but a HYPERPOWER.

Now back to the main poini: Ni hivi - vita nchini Ukraine vilianza baada ya maidan revolution iliyo simamiwa na USA mwaka 2014 toka mwaka huo Ukraine has never been same again, hapo ndipo majimbo ya kusini mashariki mwa Ukraine ambayo raia wengi ni wenye asili ya Urusi wakahamua kuitambuwa Serikali ya kimapinduzi mjini Kiev wakapendekeza wajitenge na Serikali haramu ya Kiev ya wakati huo na kuwa mataifa huru au waungane na taifa la Urusi.
Wanamgabo wakahamua kuazisha armed struggle ili kutekeleza malengo yao ya kujitenga.

Lakini Zelensky kwa ushauri wa Merikani wakahamua kulazimisha majimbo ambayo yanataka kujitenga yalazimishwe kujiunga tena na Serikali ya Kiev kwa kupitia njia ya mapambano ya silaha - tangu 2014 mpaka January 2022 nchi za magharibi zikawa zinaipa Ukraine silaha za kisasa na ku-recruit wanajeshi wengi na kuwapa mafunzo ya kijeshi wakawaongezea mamluki na some NATO troops walio valia uniform za jeshi la Ukraine wakati huo huo nchi za magharibi zinajitia kutaka kuwapatanisha Putin na Zelensky kwenye maazimio ya Minsk1&2 kumbe huo ulikiwa ni ulaghai mtupu wenye lengo la ku-buy time ili Ukraine ijimaalishe kijeshi kwanza, hayo yalikuja kusemwa na Angela Merkel na baadae Macron, viongozi ambao walikuwa wanajifanya kusimamia mazungumzo ya kuleta amani kumbe walikuwa ni waongo tu-kauli za ukigeu geu wa viongozi hao wawili zilishangaza Dunia. Kumbe mwanzo mwanzoni mwa ya mwezi wa pili 2022 wajeshi wa Ukraine,some US/NATO troops,mamluki walikuwa wamekwisha jipanga vilivyo kuvamia majimbo ya kusini mashariki kwa nguvu zao zote pamoja na kujaribu kukomboa Crimea na na baadae kuivamia Russian Federation wakiona operation ya Crimea imetekelezwa bila ya upinzani mkubwa, kwa bahati nzuri Putin got a wind of what Ukraine military, some US/NATO troops ma mamluki were planning ndio Putin kawawahi by resorting to pre emptive strike akavuruga mipango yao yote ndio maana hawapendi Putin, mara zote media za magharibi utasikia Putin kaivamia Ukraine, kumbe ukweli wa mambo ni tofauti kabisa!!

Kutokana na historia ya Merikani ya muda mrefu kuhusu Taifa la Ukraine, watu wenye akili Duniani walishajua kwamba mabeberu hasa Merikani ina mpango kabambe wa kuitumia Ukraine kupambana a proxy war on USA behalf lengo likiwa ni kutaka kuidhoofisha Urusi kijeshi kwanza halafu baadae waihujumu kiuchumi, mwishowe waisambaratishe kabisa Urusi - hayo ndio malengo makuu ya mabeberu hawa kuhusu hatma ya baadae ya Urusi, wako determined kweli kweli hasa US, the good news ni kwamba Urusi itawapa cha moto kwa kuwasambaratisha wote na kuwatia aibu, they won't even know what hit them.

Mwisho wa siku Viongozi wa Ulaya nzima kila mmoja atakwenda kwa wakati wake kumuomba Putin msamaha ili yaishe, waridishe maelewano baina yao kama ilivyo kuwa hapo zamani, watasema walikubali kulubuniwa na foreign policy za Merikani za kuchukia baadhi ya mataifa fulani bila ya sababu zozote za msingi, mfano: NATO/USA wamewahi kuvamia mataifa fulani kuuwa watu wengi na kuwaondoa baadhi ya viongozi wa mataifa hayo madarakani lakini si Merikani wala NATO nations waliwahi kuwa slapped with punitive sanctions kwa vitendo vyao ovu hata siku moja - why pick on Russia.

Binafsi sina shaka hivi sasa viongozi wengi wa Ulaya wanajuta sana kufanya mahamuzi ya kukurupuka bila ya kutafakali mambo kiundani, kuiwekea vikwazo lukuki Urusi ulikuwa na uhamuzi wa kijinga sana ambao una wa affect wao kiuchumi kuliko Urusi.
 
Urusi walikuwa wakitembea jina la Soviet Union tu kudhani kuwa wanaogopwa kama ilivyokuwa Soviet Union ya enzi hizo. Hata walipoanza mazungumzo ya amani huko Belarus na Uturuki, Lavrov alikuwa akiingia mkutanoni kwa majigambo akidai kuwa lazima Ukraine i-surrender kwanza ndipo kuwe na amani ama sivyo hakutakuwa na Ukraine itakayobaki. Majuzi nimesikia kwenye mjadala huko India akiwa analalamika kuwa eti Ukraine ndiyo ilianzisha vita hiyo, na hapo Urusi inajitetea tu.
Alidhani mambo ni rahis[emoji28]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Washington ikisema jambo huwa inalijua angalau kwa 85%. Walisema ana mpamgo wa kuishambulia Ukraine, akapingapinga halafu baadaye akashambulia kweli. Walichoksea tena kidogo tu ni kudhani kuwa aatashinda mashambuliz yale kwani waliamini walikuwa na vifaru vingi pamoja na jeshi kubwa kuliko Ukraine, lakini jeshi la jamaa likafeywaka na vifaru vikateketezwa hovyo hovyo.

Halafu warusi ni washenzi kweli; mwenzao akiumizwa wanammalizia na kumwacha huko huko porini, hawana ile motto ya kijeshi kuwa "No one left behind."
Nafikiri mazingira ya vita ni magumu, labda hawana molari kupigana
 
Mpumbavu usiyejua mambo ya kijeshi usiyangilee bali baki kijiweni tu. Unadhani wanaofanya hivi hu ni wajinga

images

no-one-left-behind-v0-fddejnk31o5a1.jpg

carrying-wounded-comrade-bettmann.jpg
Shusha sketi uchanjwe
 
Supapawa anatapatapa, kalemazwa na kainchi kadogo.

"We have new information that Russia is actively seeking to acquire additional munitions from North Korea," said White House national security spokesman John Kirby.

He said the man, identified as Ashot Mkrtychev, 56, of Bratislava, was working on arms-related sales and barter deals between the two countries between late 2022 and the early part of this year.

"With the support of Russian officials, Mkrtychev has been attempting to broker a secret arms agreement between Russia and North Korea," he said.

Under discussion was for North Korea to ship "over two dozen" kinds of weapons and munitions to Russia, according to the US Treasury, which placed Mkrtychev on its sanctions blacklist.

In exchange, the Treasury said, Pyongyang would obtain cash, commercial aircraft, commodities and raw materials.

Kirby said Washington understands that Russia seeks to send a delegation to North Korea and is offering Pyongyang food in exchange for munitions.

He did not say if any deals had been completed, or detail the specific weapons involved.

USA say, USA say, USA say, USA say akili yako ndogo Sana. One country against 50 countries. Russia (1)/ 50 NATO, USA etc
 
Washington ikisema jambo huwa inalijua angalau kwa 85%. Walisema ana mpamgo wa kuishambulia Ukraine, akapingapinga halafu baadaye akashambulia kweli. Walichoksea tena kidogo tu ni kudhani kuwa aatashinda mashambuliz yale kwani waliamini walikuwa na vifaru vingi pamoja na jeshi kubwa kuliko Ukraine, lakini jeshi la jamaa likafeywaka na vifaru vikateketezwa hovyo hovyo.

Halafu warusi ni washenzi kweli; mwenzao akiumizwa wanammalizia na kumwacha huko huko porini, hawana ile motto ya kijeshi kuwa "No one left behind."
Wewe na Washington ni kama umekuwa shoga kwa USA, mfano walisema Iraq Ina WMD weapon of mass destruction nuclear. Lakini siyo mamilion ya watu walipoteza maisha.
 
Someni historia ya kweli kuhusu Taifa la Ukraine lilivyo geuzwa malaya wa mabeberu baada ya mapinduzi yaliyo iondoa Serikali halali ya Ukraine ambayo ilikuwa imechaguliwa kidemokrasia na wananchi - aliye engineer mapinduzi hayo kwa kutumia NGOs za uongo na kweli, intel agencies za magharibi kuwarubuni baadhi ya waandamanaji kwa malipo na kuwalipa vile vile ma snipers walio safirishwa kutoka Merikami wakawekwa kwenye maghorofa marefu ili wawalenge na wawapige risasi baadhi ya waandamanaji halafu baadae vyombo vya habari vya magharibi vije kudai kwamba Serikali ya Ukraine iliyopo madarakani ndio inahusika na mauaji hayo - kumbe ulaghai mtupu.

Kama nilivyo sema tangu mwanzo muhusika mkuu aliye engineer vitendo hivyo vya mapinduzi: maidan/Colour/Orange revolution in Ukraine ni Merikani yenyewe. Yaani huna hata habari kwamba mazungumzo ya amani yalikuwa ni kiini macho tu - the so called wapatanishi kutoka western leadership were not serious from the word go-sasa unamlahumu Lavrov calling him names kwa kutumia vigezo gani?? FYI Lavrov is mega smart upstairs huwezi kumlinganisha na they have been wengine, one more thing as we speak Russia has gone a notch further ie no longer a super power but a HYPERPOWER.

Now back to the main poini: Ni hivi - vita nchini Ukraine vilianza baada ya maidan revolution iliyo simamiwa na USA mwaka 2014 toka mwaka huo Ukraine has never been same again, hapo ndipo majimbo ya kusini mashariki mwa Ukraine ambayo raia wengi ni wenye asili ya Urusi wakahamua kuitambuwa Serikali ya kimapinduzi mjini Kiev wakapendekeza wajitenge na Serikali haramu ya Kiev ya wakati huo na kuwa mataifa huru au waungane na taifa la Urusi.
Wanamgabo wakahamua kuazisha armed struggle ili kutekeleza malengo yao ya kujitenga.

Lakini Zelensky kwa ushauri wa Merikani wakahamua kulazimisha majimbo ambayo yanataka kujitenga yalazimishwe kujiunga tena na Serikali ya Kiev kwa kupitia njia ya mapambano ya silaha - tangu 2014 mpaka January 2022 nchi za magharibi zikawa zinaipa Ukraine silaha za kisasa na ku-recruit wanajeshi wengi na kuwapa mafunzo ya kijeshi wakawaongezea mamluki na some NATO troops walio valia uniform za jeshi la Ukraine wakati huo huo nchi za magharibi zinajitia kutaka kuwapatanisha Putin na Zelensky kwenye maazimio ya Minsk1&2 kumbe huo ulikiwa ni ulaghai mtupu wenye lengo la ku-buy time ili Ukraine ijimaalishe kijeshi kwanza, hayo yalikuja kusemwa na Angela Merkel na baadae Macron, viongozi ambao walikuwa wanajifanya kusimamia mazungumzo ya kuleta amani kumbe walikuwa ni waongo tu-kauli za ukigeu geu wa viongozi hao wawili zilishangaza Dunia. Kumbe mwanzo mwanzoni mwa ya mwezi wa pili 2022 wajeshi wa Ukraine,some US/NATO troops,mamluki walikuwa wamekwisha jipanga vilivyo kuvamia majimbo ya kusini mashariki kwa nguvu zao zote pamoja na kujaribu kukomboa Crimea na na baadae kuivamia Russian Federation wakiona operation ya Crimea imetekelezwa bila ya upinzani mkubwa, kwa bahati nzuri Putin got a wind of what Ukraine military, some US/NATO troops ma mamluki were planning ndio Putin kawawahi by resorting to pre emptive strike akavuruga mipango yao yote ndio maana hawapendi Putin, mara zote media za magharibi utasikia Putin kaivamia Ukraine, kumbe ukweli wa mambo ni tofauti kabisa!!

Kutokana na historia ya Merikani ya muda mrefu kuhusu Taifa la Ukraine, watu wenye akili Duniani walishajua kwamba mabeberu hasa Merikani ina mpango kabambe wa kuitumia Ukraine kupambana a proxy war on USA behalf lengo likiwa ni kutaka kuidhoofisha Urusi kijeshi kwanza halafu baadae waihujumu kiuchumi, mwishowe waisambaratishe kabisa Urusi - hayo ndio malengo makuu ya mabeberu hawa kuhusu hatma ya baadae ya Urusi, wako determined kweli kweli hasa US, the good news ni kwamba Urusi itawapa cha moto kwa kuwasambaratisha wote na kuwatia aibu, they won't even know what hit them.

Mwisho wa siku Viongozi wa Ulaya nzima kila mmoja atakwenda kwa wakati wake kumuomba Putin msamaha ili yaishe, waridishe maelewano baina yao kama ilivyo kuwa hapo zamani, watasema walikubali kulubuniwa na foreign policy za Merikani za kuchukia baadhi ya mataifa fulani bila ya sababu zozote za msingi, mfano: NATO/USA wamewahi kuvamia mataifa fulani kuuwa watu wengi na kuwaondoa baadhi ya viongozi wa mataifa hayo madarakani lakini si Merikani wala NATO nations waliwahi kuwa slapped with punitive sanctions kwa vitendo vyao ovu hata siku moja - why pick on Russia.

Binafsi sina shaka hivi sasa viongozi wengi wa Ulaya wanajuta sana kufanya mahamuzi ya kukurupuka bila ya kutafakali mambo kiundani, kuiwekea vikwazo lukuki Urusi ulikuwa na uhamuzi wa kijinga sana ambao una wa affect wao kiuchumi kuliko Urusi.
umeandika gazeti refu sana kama vile wewe ni msemaji wa Putin. Unakumbuka mikutano hii? Huyu ndugu yako alikuwa ajiamaini kuwa ana special military operation ataingia Ukraine na kuondoa serikali ilipo ili aweke ya kibaraka wake na mambo yawe yamekwisha; kumbe amekalia kaa la moto. Hizi propaganda zako haziendi popote kwa wenye kujua mambo kikamilifu.

Kwa taarifa yako ni kwamba Putin anaumizwa sana nchi za jirani zinapofanya uchaguzi wa kidemokrasia na kubadili viongozi. Aliivamia Georgia kwa sababu hiyo hiyo na sasa kaivamia Ukraine akidhani ni special military operation kwa sababu Ukraine imekuwa inafanya uchaguzi kubadili viongozi mara kwa mara. Hajailalamikia Belarus kwa vile pale kuna dikteta mwingine kama yeye anayeng'ang'ani madaraka maisha yake yote. Sasa wewe unakuja na filimbi ndefu za kipropaganda ukidhani wote hapa ni mbumbumbu wa global politics.

220216-putin-scholz-mn-1630-72c559.jpg

c28a0000-0aff-0242-3bfb-08d9eb0508a3_w1200_r1.jpg

960x0.jpg
 
Wewe na Washington ni kama umekuwa shoga kwa USA, mfano walisema Iraq Ina WMD weapon of mass destruction nuclear. Lakini siyo mamilion ya watu walipoteza maisha.
Nadhani wewe ni shoga wa gizani; mbona neno shoga liko mdomoni mwako sana. Inaelekea mtu akikuzungia gizani kazi inaisha chap chap. Watu wanaongea mambo ya dunia wewe unaongelea ushoga tu, ndiyo dhana kubwa ilizama ndani ya ubongo wako. Ila unajificha kwa kuusema sema negatively kama vile sizitaki mbichi hizi. Wengine tunaongea jambo la vita ambayo imekuwa na madhara kwa dunia nzima; wewe na ushoga wako nenda kwa wenzako mkauongelee mtosheke wenyewe.
 
Askari waliolewa VODKA ndio hao USA pamoja na NATO wanashindwa kuwavamia nakuwafurusha UKRAINE, basi ukiona hivo ujue Kuna shida Kwa hao askari ambao wanaongozwa na USA.
Unarudia propaganda za Urusi kudai kuwa inapigana na NATO baada ya kubanwa na taifa dogo la Ukraine. zile Himars 12 tu zimemtoa jasho la damu sasa kweli Marekani atue pale na silaha zake zote Urusi itafurukuta kweli?
 
Back
Top Bottom