Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipata bahati ya kupiga picha na Kim lazima ulie kuonesha furaha ya juu uliyonayo kuwa karibu na Chairman.Wanajeshi hao wanalia au sioni vizuri?
Wanajeshi hua wanamwaga machozi kumbe?Ukipata bahati ya kupiga picha na Kim lazima ulie kuonesha furaha ya juu uliyonayo kuwa karibu na Chairman.
Usipolia ni uhaini
Kipigo cha mjomba zele sio poaKuduku mboni kaweka hivyo vywele tumezoea Kiduku
Zele anamwaga kipigo mpaka Kiduku kaacha kunyoa KidukuKipigo cha mjomba zele sio poa
Na huyo ni zele tu mmpewa misaada ya silaha..........je angetaka ugomvi na marekani yenyewe ?? Si kisanga hiki.... hapo kiduku akajifunze kwanza na manati ndio aje kwenye reality
AI imegoma😀😀Hao wanajeshi mboni km wanalia?
Umenivunja mbavu asubuhi asubuhi eti usilie kwani wewe nani labda ? Jirani na Kim.Ukipata bahati ya kupiga picha na Kim lazima ulie kuonesha furaha ya juu uliyonayo kuwa karibu na Chairman.
Usipolia ni uhaini
Hakuna kipigo tumia akili ....niliwaambia hapa kuwa waukreni hawana akili na NATO wao ....ukitumia akili vizuri utajua kwanini kursk bado urussi ajaichukua kikamilifu mpaka leo kuna manufaa makubwa sana kijeshi kwa urussi na hata kwa hiyo North Korea pia ...niliwaambia kuwa mbinu anayo tumia mrussi hapo KURSK INAITWA KULINA ASALI INATUMIKA KWENYE UFUGAJI WA NYUKI...inatakiwa ukilina asali ubakishe kidogo hili nyuki waendelee kubaki na wewe uendelee kupata manufaa ya asali .....sasa ukweli ni kuwa urussi ingetaka kukomboa eneo lote la KURSK ingutumia mwezi mmoja tu kusambaratisha jeshi la UKRAIN NA NATO kwa asilimia 100% ....ningekuwa na muda ningeandika hapa kwanini warussi wanawafuga NATO NA UKRAIN HAPO KURSK kuna manufaa gani kijeshi kwa upande wa urussi? na kuna hasara gani kubwa sana wanayo pata ukrain na NATO hapo kursk ....hivyo kurudi nyuma ni kuzidi kuwafanya waukrain na NATO wasiondoke hapo kursk wazidi kuuliwa na kualibiwa silaha zao nyingi kirahisi for nothing goal.Kipigo cha mjomba zele sio poa
Kuandika tu hujui. Utajua mambo ya vita na akili kweli? Mlete mtu anayekusimulia siyo wewe unayekariri.Hakuna kipigo tumia akili ....niliwaambia hapa kuwa waukreni hawana akili na NATO wao ....ukitumia akili vizuri utajua kwanini kursk bado urussi ajaichukua kikamilifu mpaka leo kuna manufaa makubwa sana kijeshi kwa urussi na hata kwa hiyo North Korea pia ...niliwaambia kuwa mbinu anayo tumia mrussi hapo KURSK INAITWA KULINA ASALI INATUMIKA KWENYE UFUGAJI WA NYUKI...inatakiwa ukilina asali ubakishe kidogo hili nyuki waendelee kubaki na wewe uendelee kupata manufaa ya asali .....sasa ukweli ni kuwa urussi ingetaka kukomboa eneo lote la KURSK ingutumia mwezi mmoja tu kusambaratisha jeshi la UKRAIN NA NATO kwa asilimia 100% ....ningekuwa na muda ningeandika hapa kwanini warussi wanawafuga NATO NA UKRAIN HAPO KURSK kuna manufaa gani kijeshi kwa upande wa urussi? na kuna hasara gani kubwa sana wanayo pata ukrain na NATO hapo kursk ....hivyo kurudi nyuma ni kuzidi kuwafanya waukrain na NATO wasiondoke hapo kursk wazidi kuuliwa na kualibiwa silaha zao nyingi kirahisi for nothing goal.
Hata mzungu ajui kuandika kiswahili .... kwa hiyo wewe una amini kuwa urussi kashindwa kuchukua eneo lake la kursk 😁😁😁 your very stupidKuandika tu hujui. Utajua mambo ya vita na akili kweli? Mlete mtu anayekusimulia siyo wewe unayekariri.
February 3, 2025Kipigo cha mjomba zele sio poa
Unatudanganya unatangaza vita kama mpira wao wanasema wamerudisha wanajeshi nyuma na wao kila kukicha wanatangaza wanajeshi wao wanavyokufa huko wewe upo zako mbalizi unatuona watoto unatupa hadithi za Asali..Warusi wafe kwenye hiyo vita watapona Wakorea au unataka ubishi wa Simba/ Yanga kwenye vita.Hakuna kipigo tumia akili ....niliwaambia hapa kuwa waukreni hawana akili na NATO wao ....ukitumia akili vizuri utajua kwanini kursk bado urussi ajaichukua kikamilifu mpaka leo kuna manufaa makubwa sana kijeshi kwa urussi na hata kwa hiyo North Korea pia ...niliwaambia kuwa mbinu anayo tumia mrussi hapo KURSK INAITWA KULINA ASALI INATUMIKA KWENYE UFUGAJI WA NYUKI...inatakiwa ukilina asali ubakishe kidogo hili nyuki waendelee kubaki na wewe uendelee kupata manufaa ya asali .....sasa ukweli ni kuwa urussi ingetaka kukomboa eneo lote la KURSK ingutumia mwezi mmoja tu kusambaratisha jeshi la UKRAIN NA NATO kwa asilimia 100% ....ningekuwa na muda ningeandika hapa kwanini warussi wanawafuga NATO NA UKRAIN HAPO KURSK kuna manufaa gani kijeshi kwa upande wa urussi? na kuna hasara gani kubwa sana wanayo pata ukrain na NATO hapo kursk ....hivyo kurudi nyuma ni kuzidi kuwafanya waukrain na NATO wasiondoke hapo kursk wazidi kuuliwa na kualibiwa silaha zao nyingi kirahisi for nothing goal.
Kwa hiyo kwa akili zako urussi inashindwa kuchukua kursk ndani ya mwezi mmoja tu ....wamerudisha wanajeshi nyuma ili waukreni na NATO wao, waongeze asali ya majeshi na vifaa wasije kukimbia kabisa kursk hili urussi iendelee kuvuna asali ambayo ni kuwaua askari wa ukrain na NATO na kuteketeza vifaa vyao vya kijeshi....Unatudanganya unatangaza vita kama mpira wao wanasema wamerudisha wanajeshi nyuma na wao kila kukicha wanatangaza wanajeshi wao wanavyokufa huko wewe upo zako mbalizi unatuona watoto unatupa hadithi za Asali..Warusi wafe kwenye hiyo vita watapona Wakorea au unataka ubishi wa Simba/ Yanga kwenye vita.
Shida nini mzee Urusi hadi anaomba msaada wa Majeshi kutoka nje ina maana hali ni ngumu hili haliitaji akili...mbona vitu vidogo tu vinakusumbua kichwa mazee shida nini..Kwa hiyo kwa akili zako urussi inashindwa kuchukua kursk ndani ya mwezi mmoja tu ....wamerudisha wanajeshi nyuma ili waukreni na NATO wao, waongeze asali ya majeshi na vifaa wasije kukimbia kabisa kursk hili urussi iendelee kuvuna asali ambayo ni kuwaua askari wa ukrain na NATO na kuteketeza vifaa vyao vya kijeshi....
Ukrain na nato wanateketea vibaya sana kursk kuliko sehemu nyingine yoyote kwenye hii vita....Siku utasikia NATO na waukrain wanakili ninacho kuambia kuwa urussi inafanya makusudi kuto kuichukua kursk na sababu zitakuwa hizi hizi nilizosema hapa... siku hiyo mnikumbuke kuwa jiniasi niliwaambieni.