Hakuna kipigo tumia akili ....niliwaambia hapa kuwa waukreni hawana akili na NATO wao ....ukitumia akili vizuri utajua kwanini kursk bado urussi ajaichukua kikamilifu mpaka leo kuna manufaa makubwa sana kijeshi kwa urussi na hata kwa hiyo North Korea pia ...niliwaambia kuwa mbinu anayo tumia mrussi hapo KURSK INAITWA KULINA ASALI INATUMIKA KWENYE UFUGAJI WA NYUKI...inatakiwa ukilina asali ubakishe kidogo hili nyuki waendelee kubaki na wewe uendelee kupata manufaa ya asali .....sasa ukweli ni kuwa urussi ingetaka kukomboa eneo lote la KURSK ingutumia mwezi mmoja tu kusambaratisha jeshi la UKRAIN NA NATO kwa asilimia 100% ....ningekuwa na muda ningeandika hapa kwanini warussi wanawafuga NATO NA UKRAIN HAPO KURSK kuna manufaa gani kijeshi kwa upande wa urussi? na kuna hasara gani kubwa sana wanayo pata ukrain na NATO hapo kursk ....hivyo kurudi nyuma ni kuzidi kuwafanya waukrain na NATO wasiondoke hapo kursk wazidi kuuliwa na kualibiwa silaha zao nyingi kirahisi for nothing goal.