Baada ya kuona hali tete Korea Kaskazini yaondoa Wanajeshi wake Mstari wa Mbele huko Ukraine

Baada ya kuona hali tete Korea Kaskazini yaondoa Wanajeshi wake Mstari wa Mbele huko Ukraine

Shida nini mzee Urusi hadi anaomba msaada wa Majeshi kutoka nje ina maana hali ni ngumu hili haliitaji akili...mbona vitu vidogo tu vinakusumbua kichwa mazee shida nini..
Wewe umeshindwa nini kujiuliza kwanini hayo majeshi ya nje yapo kursk tu ....kwanini wakorea awajaingia ndani ya ukrain ....kursk ipo ndani ya urussi hivyo ni fursa kwa majeshi washirika kulitumia kujifunza vita na kupata uzoefu kivita ...urussi na kiduku watasikitika sana nato na ukrain wakiondoka kursk....ndiyo maana wanawalina asali taratibu
 
Na huyo ni zele tu mmpewa misaada ya silaha..........je angetaka ugomvi na marekani yenyewe ?? Si kisanga hiki.... hapo kiduku akajifunze kwanza na manati ndio aje kwenye reality
Anatokea msukuma mmoja anakwambia NATO ni cha mtoto sana kwa Russia. Russia ameonesha uwezo wa kawaida tu ktk hii game hasa pale ambapo Ukraine alipovamia Russia na kukalia kipande cha ardhi ya Russia.
 
Unatudanganya unatangaza vita kama mpira wao wanasema wamerudisha wanajeshi nyuma na wao kila kukicha wanatangaza wanajeshi wao wanavyokufa huko wewe upo zako mbalizi unatuona watoto unatupa hadithi za Asali..Warusi wafe kwenye hiyo vita watapona Wakorea au unataka ubishi wa Simba/ Yanga kwenye vita.
Jamaa kaongea ujinga mtupu. Hata kumquote nimeshindwa. Ni moja ya post ya hovyo kwenye hii thread.
 
Ule msafara haukufyekwa wote ila ulielekea Ukraine mashariki kwa mujibu wa wachambuzi wa JF.

Lee Van free TUJITEGEMEE
Ule msafara ulidhihirisha ni namna gani military intelligence ya Russia ilivyo weak, waliiunderstimate sana Ukraine kiasi kwamba wakaona hata mafunzo na silaha walizonunua kutoka Magharibi nazo ni hovyo.
 
Ule msafara ulidhihirisha ni namna gani military intelligence ya Russia ilivyo weak, waliiunderstimate sana Ukraine kiasi kwamba wakaona hata mafunzo na silaha walizonunua kutoka Magharibi nazo ni hovyo.
Ukraine kiuwezo ni ukweli wapo weak mbele ya Russia, pasipo NATO Ukraine ingekuwa imechukuliwa yote na Zelensky amekimbia nchi.
NATO inatoa kila aina ya msaada kwa Ukraine.
NATO inafanya kila namna kuisaidia Ukraine, kiufupi wanaopambana na Russia ni NATO.
 
Ni muda wa kuyapeleka makomando wetu wanaipasua matofali pale taifa kusaidia urusi.wakorea wanaonekana ni legelege sana
 
Ni muda wa kuyapeleka makomando wetu wanaipasua matofali pale taifa kusaidia urusi.wakorea wanaonekana ni legelege sana
Dunia ya sasa hivi inatakiwa waje na drone walizotengeneza wenyewe kama Ukraine wanavyofanya wapo vitani huku wanatengeneza drone zao sio kuchimba shimo au kupasua matofali..
 
Ukraine kiuwezo ni ukweli wapo weak mbele ya Russia, pasipo NATO Ukraine ingekuwa imechukuliwa yote na Zelensky amekimbia nchi.
NATO inatoa kila aina ya msaada kwa Ukraine.
NATO inafanya kila namna kuisaidia Ukraine, kiufupi wanaopambana na Russia ni NATO.
Ni mjinga tu mwenye akili kama zako ndo anaweza understimate Ukraine kwa kiasi kile. Ukraine toka 2014 huko alikuwa anafanya mazoezi ya kijeshi na nchi za NATO na kupewa mafunzo. Sasa utaweza vipi mchukulia kawaida?
 
Dunia ya sasa hivi inatakiwa waje na drone walizotengeneza wenyewe kama Ukraine wanavyofanya wapo vitani huku wanatengeneza drone zao sio kuchimba shimo au kupasua matofali..
Hata Kama ukiwa unatengeneza drone lakini lazima mwili uwe ngangali.
 
Ni mjinga tu mwenye akili kama zako ndo anaweza understimate Ukraine kwa kiasi kile. Ukraine toka 2014 huko alikuwa anafanya mazoezi ya kijeshi na nchi za NATO na kupewa mafunzo. Sasa utaweza vipi mchukulia kawaida?
Wewe ni mweupe na huelewi chochote.
Laiti ungelifahamu msaada NATO wanaotoa, ungekaa kimya.
 
Ukraine kiuwezo ni ukweli wapo weak mbele ya Russia, pasipo NATO Ukraine ingekuwa imechukuliwa yote na Zelensky amekimbia nchi.
NATO inatoa kila aina ya msaada kwa Ukraine.
NATO inafanya kila namna kuisaidia Ukraine, kiufupi wanaopambana na Russia ni NATO.
Acha uongo wewe Russia ni kubwa jinga mbele ya Ukraine anapigika vibaya sana
 
Russia ni kubwa jinga mbele ya Ukraine eti kabisa unasema Ukraine wako weak akili huna
Russia inapigana na NATO na si ukrein , kama ukrein ingesimama bila NATO vita ingekuwa imeisha siku nyingi, tumia akiri
 
Back
Top Bottom